Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Upweke ndio chanzo cha matatizo yote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtongozo nasikiliza. Tutongozane hapa hapaPm tu mnafunga, mtongozo si ndio hausukilizwi kabisa
Si kaenda kuliwa uroda ww baki huko huko irelandi ukirudi ulute makombo yako. Alafu punguza chai jua kali havinogiNiko mjini Dublin-Ireland kikazi, so hii sikukuu ya pasaka haijanikutia huko bongo.
Juzi ijumaa tuliongea kwa kirefu tu na wife aliyeko huko bongo na nikawatumia kama pound 1000 hivi kwa ajili ya sikukuu coz aliniambia kuna wageni wake wangemtembelea.
Leo siku nzima hajanitafuta, jioni hii kwa saa za hapa kwetu nikasema nimtafute, akapokea ila alikua kwenye kelele mno hatukusilizana.
Baada ya like 1 hour hivi nikaona niwapigie tena akapokea mtoto wetu mdogo akasema walikua out sijui wapi huko mbezi beach, nimeskia wife anamgombeza dogo kuwa aache kisabengo cha kuongea mambo ambayo hajaulizwa.
Je, wakuu hili limekaaje la mke wa mtu kutoka out bila mumewe kutokuwepo?
Dah! Hapa kuna watoto wataiba madiniMtongozo nasikiliza. Tutongozane hapa hapa
Hawa watoto wa siku hizi tunaishi nao kizungu hawajali wala niniDah! Hapa kuna watoto wataiba madini
Hao ndo wa kuwakimbia.Kuna mademu ambao wao kutiwa ni kama chakula yani, anatombwa kila weekend na watu tofauti 🤣🤣🤣 na wala hajali. Hao ndio ukioa umeisha.
Demi 😊Hawa watoto wa siku hizi tunaishi nao kizungu hawajali wala nini
Abeeee😊
😊😊 ivi unajua , una kitu cha kufanya mtu ajisikie raha ( furaha ) kipindi una interact nae hata kwa njia kama hii ya maandishi ? Kuna ile inner joy hivi inakujaAbeeee😊
Huwa ni nyege tu...trust me.😊😊 ivi unajua , una kitu cha kufanya mtu ajisikie raha ( furaha ) kipindi una interact nae hata kwa njia kama hii ya maandishi ? Kuna ile inner joy hivi inakuja
Demi , hapana sio nyege.. kwani watu huwa hakuambii , kujikuta mda wote wanatamani kuwa nawe 😊Huwa ni nyege tu...trust me.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yani uko Dublin na bado una wivu na mbususu iliyoko huku ulimwengu wa mwisho?
Anyway, piga chini huyo hakuheshimu
Unajia maandishi yana onesha mtu mzuri kiasi gani kuliko hata face to face.. mtu akisha elewa maandishi kakuelewa vibaya sana hapoNakuelewa sana maana ilishawahi kunitokea nikapenda maandishi. Ilinitesa sana
Bado hata ule Mchuzi wake wa Mbunyeni utatoka tu Mkuu. Hujui kuwa na Wao huwa Wanakojoa?Kam
KAma amerumia mpira utajuaje?