Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahahah,,, teach me bad manners 🤣🤣🤣Kuna njemba imeshatafuna mbususu ya mkeo na wanao wanamuita jamaa uncle....... Njemba imefaidi mbususu na pauni zako,,, we huko piga puchu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah,,, teach me bad manners 🤣🤣🤣Kuna njemba imeshatafuna mbususu ya mkeo na wanao wanamuita jamaa uncle....... Njemba imefaidi mbususu na pauni zako,,, we huko piga puchu tu
Kwa hiyo ulitaka akae ndaniituu kama utumbo🤣🤣🤣🤣🤣Niko mjini Dublin-Ireland kikazi, so hii sikukuu ya pasaka haijanikutia huko bongo.
Juzi ijumaa tuliongea kwa kirefu tu na wife aliyeko huko bongo na nikawatumia kama pound 1000 hivi kwa ajili ya sikukuu coz aliniambia kuna wageni wake wangemtembelea.
Leo siku nzima hajanitafuta, jioni hii kwa saa za hapa kwetu nikasema nimtafute, akapokea ila alikua kwenye kelele mno hatukusilizana.
Baada ya like 1 hour hivi nikaona niwapigie tena akapokea mtoto wetu mdogo akasema walikua out sijui wapi huko mbezi beach, nimeskia wife anamgombeza dogo kuwa aache kisabengo cha kuongea mambo ambayo hajaulizwa.
Je, wakuu hili limekaaje la mke wa mtu kutoka out bila mumewe kutokuwepo?
Marinda unapimaje?Kumchunga ukiwa mbali ni ngumu, kikubwa ukirudi hakikisha unampima vipimo vyote kabla hujaanza tena kumla. By vipimo vyote namaanisha ngoma, mimba, homa ya ini, marinda etc
Niko mjini Dublin-Ireland kikazi, so hii sikukuu ya pasaka haijanikutia huko bongo.
Juzi ijumaa tuliongea kwa kirefu tu na wife aliyeko huko bongo na nikawatumia kama pound 1000 hivi kwa ajili ya sikukuu coz aliniambia kuna wageni wake wangemtembelea.
Leo siku nzima hajanitafuta, jioni hii kwa saa za hapa kwetu nikasema nimtafute, akapokea ila alikua kwenye kelele mno hatukusilizana.
Baada ya like 1 hour hivi nikaona niwapigie tena akapokea mtoto wetu mdogo akasema walikua out sijui wapi huko mbezi beach, nimeskia wife anamgombeza dogo kuwa aache kisabengo cha kuongea mambo ambayo hajaulizwa.
Je, wakuu hili limekaaje la mke wa mtu kutoka out bila mumewe kutokuwepo?
Una hakika huyo ni mke? Au ni hawara wako tu single maza flani? 🤣 🤣 🤣Niko mjini Dublin-Ireland kikazi, so hii sikukuu ya pasaka haijanikutia huko bongo.
Juzi ijumaa tuliongea kwa kirefu tu na wife aliyeko huko bongo na nikawatumia kama pound 1000 hivi kwa ajili ya sikukuu coz aliniambia kuna wageni wake wangemtembelea.
Leo siku nzima hajanitafuta, jioni hii kwa saa za hapa kwetu nikasema nimtafute, akapokea ila alikua kwenye kelele mno hatukusilizana.
Baada ya like 1 hour hivi nikaona niwapigie tena akapokea mtoto wetu mdogo akasema walikua out sijui wapi huko mbezi beach, nimeskia wife anamgombeza dogo kuwa aache kisabengo cha kuongea mambo ambayo hajaulizwa.
Je, wakuu hili limekaaje la mke wa mtu kutoka out bila mumewe kutokuwepo?
Mwache anko Steven ale mzigo bana 😀 kwanza kina junior wanampenda sana.Wanawake sio waaminifu hata kidogo,huyo mkeo usikute Kuna njemba inamtembezeaga rungu kiulaini tu.Embu fanya jitihada umpsndishe pipa aje huko Ireland maana Hawa viumbe Ni miyeyusho Sana
Kwanini kawakataza watoto kusema???Hakuna kibaya angeenda sehemu mbaya asingeenda na Watoto mkuu kwani uwa anatumia kilevi?
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Hahahahah mke alitoka na mpenzi wake jana 🤣Kamuwezesha hela ya kwenda kutumia na mchepuko wake
Hapo mke huna mzee😀 kuna mwamba anakusaidia majukumu flani flani. Mke anapata wapi nguvu ya kukata simu yako? Kuna namna lazima.Kakata simu
Wee mpepe umeanza lini kuuvuta wakati wauni tushakukataza? Jana si tulikuwa wote pale kijenge juu kwa bi mshanaa tunakula mandazi !??
Leo tena upo ayalendi??!😳😳
"Juzi ijumaa tuliongea kwa kirefu tu na wife aliyeko huko bongo na nikawatumia kama pound 1000 hivi kwa ajili ya sikukuu coz aliniambia kuna wageni wake wangemtembelea"
Fantancy, fanya kazi bidii haya malengo utayafikia, na wala hautakuwa ma sababu ya kudanganya
Is Dublin Ireland pound or euro?
The currency of Ireland is the Euro. Check before you travel that your bank cash card can be used in ATM machines in Ireland.
Hapo alipo ameshindia ugali na dagaa na yuko Keko Magurumbasi, paundi 1000 atazitoa wapi sembuse kwenda Ireland!
Inasikitisha jinsi watu wanatoa ushauri wakati hii inafahamika wazi ni chai
Nilivyoona tu £ 1000 nimeacha kusoma. Acha utoto inaonekana hata maana ya mke
Sasa nyie mnataka kuharibu interview!!!Pounds Ireland?
Amandla...
Kuna mademu ambao wao kutiwa ni kama chakula yani, anatombwa kila weekend na watu tofauti 🤣🤣🤣 na wala hajali. Hao ndio ukioa umeisha.Level kubwa ya masculinity ni kuoa yule anayekurespect.
Siku zote masculine men wanaojielewq hawawezi kuoa ex maanq walikushusha heshima na kulala na wanaume wengjne.
Tafuta anayekuheshimu, hakikisha ukikutana na mwanamke, tengeneza Questions ambazo zitakusaidia kujua tabia zake, mfano unaweza muuliza kiutani, unakunywa bia ngapi, akikujibu Moja jua ni mlevi.
Pia penda sana kujua bodycounts, usioe demu mwenye bodycounts zaidi ya wawili.
Mke wako hapaswi kutembea na wanaume zaidi ya wawili maana huwa wanabeba traits zao kutokana na sperms kuweza kupenetrate na kusafirisha genes mpaka kwenye ubongo wa mwanamke.
Bro umechagua njia nzuri
Stay masculine
Pm tu mnafunga, mtongozo si ndio hausukilizwi kabisaWamenifungia
[emoji2][emoji2]Yani uko Dublin na bado una wivu na mbususu iliyoko huku ulimwengu wa mwisho?
Anyway, piga chini huyo hakuheshimu
Dah mkuu umetisha[emoji1787]Kumchunga ukiwa mbali ni ngumu, kikubwa ukirudi hakikisha unampima vipimo vyote kabla hujaanza tena kumla. By vipimo vyote namaanisha ngoma, mimba, homa ya ini, marinda etc
Si ndio atamkimbia kwenda kwa wageniWanawake sio waaminifu hata kidogo,huyo mkeo usikute Kuna njemba inamtembezeaga rungu kiulaini tu.Embu fanya jitihada umpsndishe pipa aje huko Ireland maana Hawa viumbe Ni miyeyusho Sana
Hv dublin wanatumia Euro?Hizo pounds umezipata wapi?
KimeumanaaKATAAAAAAA NDOAAAAAA