5.Awe tayari kugongana muda wowote bila usumbufu. Hii sifa ni wakati sasa iongezewe kwenye waraka wa kutafta wake wa kuoa.Nahitaji mdada aliye siriasi kabisa na mahitaji ya kuwa mke wa mtu:
Sifa zangu:
Miaka 40
Elimu : shahada ya kwanza
Dini : mkristo ( mkatoliki)
Kazi : mtumishi wa umma pia mjasiriamali
Location : Dar Es salaam
Mchumba awe angalau na sifa hizi
1. Awe mkristo ispokuwa msabatho
2. Umri kuanzia miaka 30 mpaka 38
3. Kazi awe nayo au asiwe nayo haina shida
4. Elimu walau kidato cha nne
Mengine ni maelewano na kujifunza maana kila kitu kinawezekana
Karibu I
Wewe hadi siku ntakayokupa makonzi ndiyo utaniheshimuπ usiharibu uzi wa watu, byeπ€£π€£ Bladifakini huto tu miaka 27 basi unajiona likubwa kumbe hamna kitu! Sugar mamy au chumvi mamy!
Wakiikubali waje niwabariki waendelee tu kuishi kama mikokoteni.ππππ5.Awe tayari kugongana muda wowote bila usumbufu. Hii sifa ni wakati sasa iongezewe kwenye waraka wa kutafta wake wa kuoa.
Kumwambia mtu ukweli sio kuharibu! Bye Bibi komwe!Wewe hadi siku ntakayokupa makonzi ndiyo utaniheshimuπ usiharibu uzi wa watu, bye
Komwe ni kama solar panel!Inachaji ubongo.Huwa wana akili hadi wanachosha.Kumwambia mtu ukweli sio kuharibu! Bye Bibi komwe!
Sio huyu Sasa labda humjui vyema..π€£Komwe ni kama solar panel!Inachaji ubongo.Huwa wana akili hadi wanachosha.
Mna yenu ninyi.ππππSio huyu Sasa labda humjui vyema..π€£
Toto tundu hilo! The solar panel what a name..π€£Mna yenu ninyi.ππππ
Mzee uneamua kuachana na ukapela safi sana!! Mzee mrema katupa somo.Nahitaji mdada aliye siriasi kabisa na mahitaji ya kuwa mke wa mtu:
Sifa zangu:
Miaka 40
Elimu : shahada ya kwanza
Dini : mkristo ( mkatoliki)
Kazi : mtumishi wa umma pia mjasiriamali
Location : Dar Es salaam
Mchumba awe angalau na sifa hizi
1. Awe mkristo ispokuwa msabatho
2. Umri kuanzia miaka 30 mpaka 38
3. Kazi awe nayo au asiwe nayo haina shida
4. Elimu walau kidato cha nne
Mengine ni maelewano na kujifunza maana kila kitu kinawezekana
Karibu I
Unatafuta mke au mchepuko?Nahitaji mdada aliye siriasi kabisa na mahitaji ya kuwa mke wa mtu:
Sifa zangu:
Miaka 40
Elimu : shahada ya kwanza
Dini : mkristo ( mkatoliki)
Kazi : mtumishi wa umma pia mjasiriamali
Location : Dar Es salaam
Mchumba awe angalau na sifa hizi
1. Awe mkristo ispokuwa msabatho
2. Umri kuanzia miaka 30 mpaka 38
3. Kazi awe nayo au asiwe nayo haina shida
4. Elimu walau kidato cha nne
Mengine ni maelewano na kujifunza maana kila kitu kinawezekana
Karibu I
Watakuja kusema kuwa kuna mtu atapigwa na kitu kizito kichwaniNahitaji mdada aliye siriasi kabisa na mahitaji ya kuwa mke wa mtu:
Sifa zangu:
Miaka 40
Elimu : shahada ya kwanza
Dini : mkristo ( mkatoliki)
Kazi : mtumishi wa umma pia mjasiriamali
Location : Dar Es salaam
Mchumba awe angalau na sifa hizi
1. Awe mkristo ispokuwa msabatho
2. Umri kuanzia miaka 30 mpaka 38
3. Kazi awe nayo au asiwe nayo haina shida
4. Elimu walau kidato cha nne
Mengine ni maelewano na kujifunza maana kila kitu kinawezekana
Karibu I
πππππ5.Awe tayari kugongana muda wowote bila usumbufu. Hii sifa ni wakati sasa iongezewe kwenye waraka wa kutafta wake wa kuoa.
Wanawake mmekuwa wasumbufu sana sikuhiziπππππ
Hebu kuja pm kwanza tuangalie muafaka wa kuuaga ukaperaππππππjamani...sifa zote ninazo..hapo kwenye umaterialπ€..bana tutafundishana..
Nipo hapa π€
Nyoooolo!πππ hivi kweli wewe ndoa unaitaka? Embu kwanza dili na mmevbana hayo mengine baadae.But Nina kaswali are you kahandsome japo kidogo hii kwa afya ya watoto wetuπππ€¦