Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
5.Awe tayari kugongana muda wowote bila usumbufu. Hii sifa ni wakati sasa iongezewe kwenye waraka wa kutafta wake wa kuoa.Nahitaji mdada aliye siriasi kabisa na mahitaji ya kuwa mke wa mtu:
Sifa zangu:
Miaka 40
Elimu : shahada ya kwanza
Dini : mkristo ( mkatoliki)
Kazi : mtumishi wa umma pia mjasiriamali
Location : Dar Es salaam
Mchumba awe angalau na sifa hizi
1. Awe mkristo ispokuwa msabatho
2. Umri kuanzia miaka 30 mpaka 38
3. Kazi awe nayo au asiwe nayo haina shida
4. Elimu walau kidato cha nne
Mengine ni maelewano na kujifunza maana kila kitu kinawezekana
Karibu I