Wife Material akuje!

Wife Material akuje!

Nahitaji mdada aliye siriasi kabisa na mahitaji ya kuwa mke wa mtu:
Sifa zangu:
Miaka 40
Elimu : shahada ya kwanza
Dini : mkristo ( mkatoliki)
Kazi : mtumishi wa umma pia mjasiriamali
Location : Dar Es salaam
Mchumba awe angalau na sifa hizi
1. Awe mkristo ispokuwa msabatho
2. Umri kuanzia miaka 30 mpaka 38
3. Kazi awe nayo au asiwe nayo haina shida
4. Elimu walau kidato cha nne
Mengine ni maelewano na kujifunza maana kila kitu kinawezekana
Karibu I
5.Awe tayari kugongana muda wowote bila usumbufu. Hii sifa ni wakati sasa iongezewe kwenye waraka wa kutafta wake wa kuoa.
 
Nahitaji mdada aliye siriasi kabisa na mahitaji ya kuwa mke wa mtu:
Sifa zangu:
Miaka 40
Elimu : shahada ya kwanza
Dini : mkristo ( mkatoliki)
Kazi : mtumishi wa umma pia mjasiriamali
Location : Dar Es salaam
Mchumba awe angalau na sifa hizi
1. Awe mkristo ispokuwa msabatho
2. Umri kuanzia miaka 30 mpaka 38
3. Kazi awe nayo au asiwe nayo haina shida
4. Elimu walau kidato cha nne
Mengine ni maelewano na kujifunza maana kila kitu kinawezekana
Karibu I
Mzee uneamua kuachana na ukapela safi sana!! Mzee mrema katupa somo.
 
Nahitaji mdada aliye siriasi kabisa na mahitaji ya kuwa mke wa mtu:
Sifa zangu:
Miaka 40
Elimu : shahada ya kwanza
Dini : mkristo ( mkatoliki)
Kazi : mtumishi wa umma pia mjasiriamali
Location : Dar Es salaam
Mchumba awe angalau na sifa hizi
1. Awe mkristo ispokuwa msabatho
2. Umri kuanzia miaka 30 mpaka 38
3. Kazi awe nayo au asiwe nayo haina shida
4. Elimu walau kidato cha nne
Mengine ni maelewano na kujifunza maana kila kitu kinawezekana
Karibu I
Unatafuta mke au mchepuko?
 
Nahitaji mdada aliye siriasi kabisa na mahitaji ya kuwa mke wa mtu:
Sifa zangu:
Miaka 40
Elimu : shahada ya kwanza
Dini : mkristo ( mkatoliki)
Kazi : mtumishi wa umma pia mjasiriamali
Location : Dar Es salaam
Mchumba awe angalau na sifa hizi
1. Awe mkristo ispokuwa msabatho
2. Umri kuanzia miaka 30 mpaka 38
3. Kazi awe nayo au asiwe nayo haina shida
4. Elimu walau kidato cha nne
Mengine ni maelewano na kujifunza maana kila kitu kinawezekana
Karibu I
Watakuja kusema kuwa kuna mtu atapigwa na kitu kizito kichwani
 
Kama uko serious kweli Mungu akusaidie!!
But huwa najiuliza! Ni sababu ipi inayomfanya mtu kuwaamini watu wa mitandaoni kuliko wale ambao Anaonana nao ana KWA Ana??
 
😂😂😂😂😂jamani...sifa zote ninazo..hapo kwenye umaterial🤔..bana tutafundishana..
Nipo hapa 🤗
Hebu kuja pm kwanza tuangalie muafaka wa kuuaga ukapera😅
 
Sifa zote ninazo. Hilo la kwanza.
La pili mnifundishe nikizama pm mimi nimwambie nini mleta bango?

Bahati mbaya sijawahi mfata mtu pm.

Nipeni shule huu ni mwaka wa ndoa wakuu.
 
But Nina kaswali are you kahandsome japo kidogo hii kwa afya ya watoto wetu😂😂🤦
Nyoooolo!😂😂😂 hivi kweli wewe ndoa unaitaka? Embu kwanza dili na mmevbana hayo mengine baadae.

Mwenyewe huu uzi nimeupenda sema naanzaje kumfata piem mtu hajaweka hata no. Embu kama humtaki nifundishe nikienda piem nithemeje?
 
Back
Top Bottom