🤣🤣🤣🙌🙌uko sahihi dearMleta uzi ukute ni ni mwanaume haswa lakini tutamchukulia poa kwakuwa ni humu jf sehem ya kupunguzia stress. Huyu ilitakiwa nikutane nae mitaani nijaribu bahati yangu. Ila kwa humu jf wacha tusindikize uzi hakuna kitu naogopa kama kukutana na mtu wa mitandaoni kha
Enheee mule mule umepatia..Nisemeje sasa?
Nilikuwa nawaza nikizama piem thijui nitheme hivi?
Mimi naitwa luckyline natokea chattle HQ.Nimekuja piem kufatia bango lako. Nina vigezo vyote na zaidi.
Je utanipenda na kunijali kwa kila kitu unipe na hela hata kama sijakupenda? Na mimi nitakupenda na ndugu zako wote.
Thenki yu.
Hii imekaaje niikopie piem? Kuna cha kuongeza au kupunguza?
Let me zamaring piem ya jamaa foo yuuMleta uzi ukute ni ni mwanaume haswa lakini tutamchukulia poa kwakuwa ni humu jf sehem ya kupunguzia stress. Huyu ilitakiwa nikutane nae mitaani nijaribu bahati yangu. Ila kwa humu jf wacha tusindikize uzi hakuna kitu naogopa kama kukutana na mtu wa mitandaoni kha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan umekua km ndimu uwiiiii, ngoja niongee na mello tuone tunafanyaje.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] je km mello ni mela wako, wee unawaza ban tyuuh khaaah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eeh Mungu nisaidie mimi
😂😂😂😂😂Atiiiiii...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] je km mello ni mela wako, wee unawaza ban tyuuh khaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mie hapa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Atiiiiii...
Ngoja nianze kua mpole Kama kipindi kile
Mkikutana mtandaon si baadae mnakutana ana Kwa Amina au?Haujanielewa ninachomaanisha!
Fikiria tena
Ni kweli but Mimi naichukulia kama ni udhaifu flani kwa mwanaumeWapo watu wanadate na kuoana kupitia mitandao !
Huyu ashajitangaza hapa pm imejaa ntaweza huo mchujo? No[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa si unajaribu kwa huyu, uoga wako ndo umaskini wako lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu ashajitangaza hapa pm imejaa ntaweza huo mchujo? No