Wife material anahitajika

Hivi mbona mtaani madem kibao na wakali, binafsi nashangaa sana mtu anayetafuta mpenzi mtandaoni hususani kwa sisi waafrica.
Kwanza mwanamke miaka 27 kuendelea mbona kama unanunua gazeti jioni.
huyo hana usumbufu, usichana umeisha, haringiringi, akiringa thelathini inagonga kashakuwa mama mtu mzima. Huyu atakuwa amekomaa na maisha anayajua, atatulia kwenye ndoa
 
Hivi mbona mtaani madem kibao na wakali, binafsi nashangaa sana mtu anayetafuta mpenzi mtandaoni hususani kwa sisi waafrica.
Kwanza mwanamke miaka 27 kuendelea mbona kama unanunua gazeti jioni.
Hivi mitaa ipi hiyo mnayoiongelea?
 
Shoga Hilo tena lenye ukimwi hatari hakuna Mwaume hapo usipoteze Mb zako
 
Mke wangu nilimpata kijabuajabu sana na sijawahi kuulizauliza.Mungu Mwenyezi akuongoze.
 
Tatizo mimi sitaki kuanza chini ningezama pm chaap
Amehlo changamka mwaka huu tushone sare onhoo
Ha haaa,mambo ya kuanzia chini pamoja Kwa kweli ni jau sana,akishajipata jiandae na kale kamsemo ka lets shake hands ๐Ÿ™†
 
Ha haaa,mambo ya kuanzia chini pamoja Kwa kweli ni jau sana,akishajipata jiandae na kale kamsemo ka lets shake hands ๐Ÿ™†
Sitaki kabisa me tuhela twangu twa vicoba ninunue tofali halafu aje aseme sikuwahi kukupenda onhoo mbona atatrend kwa Milard ayo
 
7. Uwe na uzoefu wa mahusiano yasio pungua 2 yrs

Nananakesha Club..... We utaniua๐Ÿคฃ
 
nakazia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ