Wife material anatakiwa. Asizidi watoto wawili

Wife material anatakiwa. Asizidi watoto wawili

Single mother naona umefurahi kweli kweli!!......changamkia fursa basi my dear!![emoji4][emoji4][emoji4]


hehehehhe utasubiria sana aic! nipo na ndoa yangu hapa nafurahsha tu kambi.... niolew twice nataka vumbua nn kwa mfano! na sijawah kuwa single parent mkuu!... again pole weee
 
hehehehhe utasubiria sana aic! nipo na ndoa yangu hapa nafurahsha tu kambi.... niolew twice nataka vumbua nn kwa mfano! na sijawah kuwa single parent mkuu!... again pole weee
Msalimie shemeji![emoji53][emoji53][emoji53]
 
Teh teh..dida anaachika, wewe kwa mbiti huachiki na mume mpya kama kawa. Jisevie waume wawili banaa mbona wao wanaoa ht wanne si tumetulia tu..


hahaha kuna chuo fulan moro kuna mdada kaolewa na waume wawil .. mume wa ndoa hajui kitu maskin ya Mungu... huyu bibie kawaleta had ndg zake na coaster! walifungia bomani! na bado haijabumbuluka bado huwa nikimuona nacheka sana ! nilimuulizaga akasema [HASHTAG]#mbiti[/HASHTAG] mnaniona mie chiz ila mume wangu amenidharau sana kuzaa na beki 3,, na yy kaamua kuolewa waume wawili! ukimuona hafananii !hahahahah hatar sana aic!
 
hehehehheh woyooooooooooooooooooooooooooooooo Neybright ,demi tafadharini naomba kuwaaga rasmi jamen!

mkuje kweny kitchen party yangu(hahahahaha),hv ukiolewa ,ukaolewa tena sendoff na kitchen party huwa

inahusu??hahahhaa nawaza namuimbiaje mzee MBITIYAZI! QWI QWI HATIMAE MACHOZI YANGU YANAENDA KUFUTIKAAAAAAAAAA...safari ya pm nw......teh...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi sawa, kila la kheri wajina

Ila kumbuka mambo ni hayo hayo kila sehemu [emoji125][emoji125]
 
hahaha kuna chuo fulan moro kuna mdada kaolewa na waume wawil .. mume wa ndoa hajui kitu maskin ya Mungu... huyu bibie kawaleta had ndg zake na coaster! walifungia bomani! na bado haijabumbuluka bado huwa nikimuona nacheka sana ! nilimuulizaga akasema [HASHTAG]#mbiti[/HASHTAG] mnaniona mie chiz ila mume wangu amenidharau sana kuzaa na beki 3,, na yy kaamua kuolewa waume wawili! ukimuona hafananii !hahahahah hatar sana aic!
Duh kaamua kulipiza kisasi, sasa si bora angejiondokea tu kwa huyo mume aliyezaa na hg? Akajinafasi vzr kwa mume mpya, taabu yote ya nini?
 
Back
Top Bottom