"Wife material" ukichunguza kwa tafsiri ya wanaume walio wengi maana yake ni mwanamke "zoba"

"Wife material" ukichunguza kwa tafsiri ya wanaume walio wengi maana yake ni mwanamke "zoba"

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Kwa tafsiri ya wanaume wengi, "wife material" ni mwanamke ambaye:

1. Mume akichepuka asiseme chochote.

2. Mume akichelewa kurudi anaseme hewala.

3. Mume akiondoka bila kuaga anasema poa tu, Ila yeye kuondoka bila taarifa ni kosa.

4. Kazi ya kupika, kufua, na kusafisha nyumba ni jukumu lake na siyo mume.

5. Hana uhuru wa kufanya jambo lake au kuondoka na kwenda mahali kwa ratiba yake na matakwa yake.

6. Anarudi nyumbani saa 12 jioni kama kuku wa kienyeji.

7. Hana uhuru wa kupinga mawazo ya mume.

8. Kuongeza mume wa pili ni dhambi, lakini yeye kuongezewa mke wa pili ni sawa (atasomewa vifungi vya Quran kama vyote hapa ili kuhalalisha ujinga huu)
N.k, n.k.

Kiufupi wanaume humsifia mwanamke zezeta kuwa ndiye wife material. Lakini yule ambaye anataka kuishi kwa uhuru na kufuatia matakwa ya mwili na akili yake, huitwa kicheche
 
We ndo umeelewa vibaya
Wife material ni yule anaeendana na matakwa ya mume wake, wengine wife material ni dini, wengine ni uchakarikaji wa pesa, wengine ni umbile n. K

Although wengi watakubaliana kwenye heshima.
 
Kwa tafsiri ya wanaume wengi, "wife material" ni mwanamke ambaye:-
1. Mume akichepuka asiseme chochote.
2. Mume akichelewa kurudi anaseme hewala.
3. Mume akiondoka bila kuaga anasema poa tu, Ila yeye kuondoka bila taarifa ni kosa.
4. Kazi ya kupika, kufua, na kusafisha nyumba ni jukumu lake na siyo mume.
5. Hana uhuru wa kufanya jambo lake au kuondoka na kwenda mahali kwa ratiba yake na matakwa yake.
6. Anarudi nyumbani saa 12 jioni kama kuku wa kienyeji.
7. Hana uhuru wa kupinga mawazo ya mume.
8. Kuongeza mume wa pili ni dhambi, lkn yeye kuongezewa mke wa pili ni sawa (atasomewa vifungi vya Quran kama vyote hapa ili kuhalalisha ujinga huu)
N.k, n.k.

Kiufupi wanaume humsifia mwanamke zezeta kuwa ndiye wife material. Lkn yule ambaye anataka kuishi kwa uhuru na kufuatia matakwa ya mwili na akili yake, huitwa kicheche
Haya chukuwa MCHARUKO kama hutajipiga KITANZI!
 
Never mistaken humility for weakness. Mwanamke anaweza kuwa mnyenyekevu lakini akawa thabiti. Unyenyekevu si unyonge na woga wala ujasiri si ujeuri.

Unyenyekevu ni kujua uwezo na udhaifu wako; kutambua mipaka yako. Mtu (awe mwanamke au mwanaume), endapo hatambui hili, ni bure kabisa. Kazi yake tu ni ^kusukuma siku ziende ili arudi nyumbani.^
 
1..ukimuamrisha anakutii kwenye mazuri lakini
2...ukiondoka mbali nae anakuhifadhia mali yako na amana yko kile ktu
3...Pia ukimuangalia unapata furaha.

Hyo ni tafsiri ya imani ya kiislam lakini..
 
Sio kweli

Wife material ni mwanamke anaejua majukumu yake.

●Kumuandaa Mume kwenda kazini
●Kuweka mazingira ktk mpangilio nyumbani (hata kama ni geto)
●Anaekubali kuelekezwa na Kujifunza wakati wowote mnyenyekevu.
●Msimamia Haki ya familia yake (mume/watoto)
●Anaejua mipaka yake kwa mume wake,anae elewa mume ana Privacy zake pia.
●Asie Mchokozi bali mpenda Kuuliza kila jambo kwa heshima na unyenyekevu.
●Anaejiheshimu
●Anaemkumbusha mume pale anapohisi mume kasahau jambo alilomuahidi au alilotakiwa tekeleza kwa ajili yake/familia/mume binafsi.
●Anae ijua ratiba ya mume wake na kumsaidia mume kuweza itimiza
●Mfatiliaji wa Mambo yake/mume/familia
●Mwenye utu huruma na kumjua Mungu (sio lazima akeshe kwa mwamposa)

Huyo ndie wife Material
 
wanaume wa kiafrika hawajiamini mwanamke akiwa msomi hawamtaki
,akiwa na hela hawamtaki
akiwa na exposure ya vitu vya maana hawamtaki

yani wanataka mwanamke awe mjingamjinga
Inategemea na mwanaume huyo ametokea kwenye malezi yapi
 
Mbona unaongea matusi ndugu?
Sijamtukana nimemuuliza swari kutokana na koment yake.
Kwenye moment yake amedai kuwa wanaume wa kiafrika hatujiamini hivyo tunapenda wanawake wajinga na mazoba.
 
wanaume wa kiafrika hawajiamini mwanamke akiwa msomi hawamtaki
,akiwa na hela hawamtaki
akiwa na exposure ya vitu vya maana hawamtaki

yani wanataka mwanamke awe mjingamjinga
Akiwa maskini ndiyo eeee🙆
 
Back
Top Bottom