"Wife material" ukichunguza kwa tafsiri ya wanaume walio wengi maana yake ni mwanamke "zoba"

"Wife material" ukichunguza kwa tafsiri ya wanaume walio wengi maana yake ni mwanamke "zoba"

Kwahiyo mama yako ni mjinga na zoba ndo maana alipendwa na baba yako?
Huenda ni ndiyo mkuu,au uliandika ili ajisikie vibaya? Maana hapo ni pamoja na mama yako pia😉😊
 
wanaume wa kiafrika hawajiamini mwanamke akiwa msomi hawamtaki
,akiwa na hela hawamtaki
akiwa na exposure ya vitu vya maana hawamtaki

yani wanataka mwanamke awe mjingamjinga
And thats nature, wooow!
 
Mume akipendwa na mkewake....hata ateseki....
Wanaume wenyewe kazi muda wote
Hivyo vyombo kuviosha atanisaidia saa ngapi?
Yaan mwanaume uliyebusy masaa yote kufanya kazi ukaoa mke yupo busy masaa yote kazini usitegemee kuhudumiwa..hapo mtagombana tu kwa kweli...umechoka kachoka...
 
Kwa tafsiri ya wanaume wengi, "wife material" ni mwanamke ambaye:-
1. Mume akichepuka asiseme chochote.
2. Mume akichelewa kurudi anaseme hewala.
3. Mume akiondoka bila kuaga anasema poa tu, Ila yeye kuondoka bila taarifa ni kosa.
4. Kazi ya kupika, kufua, na kusafisha nyumba ni jukumu lake na siyo mume.
5. Hana uhuru wa kufanya jambo lake au kuondoka na kwenda mahali kwa ratiba yake na matakwa yake.
6. Anarudi nyumbani saa 12 jioni kama kuku wa kienyeji.
7. Hana uhuru wa kupinga mawazo ya mume.
8. Kuongeza mume wa pili ni dhambi, lkn yeye kuongezewa mke wa pili ni sawa (atasomewa vifungi vya Quran kama vyote hapa ili kuhalalisha ujinga huu)
N.k, n.k.

Kiufupi wanaume humsifia mwanamke zezeta kuwa ndiye wife material. Lkn yule ambaye anataka kuishi kwa uhuru na kufuatia matakwa ya mwili na akili yake, huitwa kicheche
Sasa mkuu izo sifa ulizozitaja zikiwa kinyume chake kuna mke tena hapo?
 
WAtu kama wewe ndio wanaume wajinga ambao mmepumbazwa akiki na mfumo jike uliosimikwa duniani kwa sasa

Nyie ndio mmekalikishwa kwamba mwanaume kushusha standars zako na kukubaliana na disrespects na ujinga wa mwanamke ndio usasa. Mtu kama wewe hata ukioa katika iyo ndoa mke ndie atakua mume.

Mwanamke kuwa na exposure sijui empowered haimuondolei takwa la kuwa na heshima na utiifu kwa mumewe
 
Kwa tafsiri ya wanaume wengi, "wife material" ni mwanamke ambaye:-
1. Mume akichepuka asiseme chochote.
2. Mume akichelewa kurudi anaseme hewala.
3. Mume akiondoka bila kuaga anasema poa tu, Ila yeye kuondoka bila taarifa ni kosa.
4. Kazi ya kupika, kufua, na kusafisha nyumba ni jukumu lake na siyo mume.
5. Hana uhuru wa kufanya jambo lake au kuondoka na kwenda mahali kwa ratiba yake na matakwa yake.
6. Anarudi nyumbani saa 12 jioni kama kuku wa kienyeji.
7. Hana uhuru wa kupinga mawazo ya mume.
8. Kuongeza mume wa pili ni dhambi, lkn yeye kuongezewa mke wa pili ni sawa (atasomewa vifungi vya Quran kama vyote hapa ili kuhalalisha ujinga huu)
N.k, n.k.

Kiufupi wanaume humsifia mwanamke zezeta kuwa ndiye wife material. Lkn yule ambaye anataka kuishi kwa uhuru na kufuatia matakwa ya mwili na akili yake, huitwa kicheche
Tafsiri ya wife material ni Mishangazi
 
Huenda ni ndiyo mkuu,au uliandika ili ajisikie vibaya? Maana hapo ni pamoja na mama yako pia😉😊
Mm nimemuuliza swali kutokana na comment yake aliyo iweka juu ya wanaume wa kiafrika.
Amesema wanaume wa kiafrika hatujiamini ndio maana huwa tunapenda wanawake wajinga wajinga.
 
Kwa tafsiri ya wanaume wengi, "wife material" ni mwanamke ambaye:

1. Mume akichepuka asiseme chochote.

2. Mume akichelewa kurudi anaseme hewala.

3. Mume akiondoka bila kuaga anasema poa tu, Ila yeye kuondoka bila taarifa ni kosa.

4. Kazi ya kupika, kufua, na kusafisha nyumba ni jukumu lake na siyo mume.

5. Hana uhuru wa kufanya jambo lake au kuondoka na kwenda mahali kwa ratiba yake na matakwa yake.

6. Anarudi nyumbani saa 12 jioni kama kuku wa kienyeji.

7. Hana uhuru wa kupinga mawazo ya mume.

8. Kuongeza mume wa pili ni dhambi, lakini yeye kuongezewa mke wa pili ni sawa (atasomewa vifungi vya Quran kama vyote hapa ili kuhalalisha ujinga huu)
N.k, n.k.

Kiufupi wanaume humsifia mwanamke zezeta kuwa ndiye wife material. Lakini yule ambaye anataka kuishi kwa uhuru na kufuatia matakwa ya mwili na akili yake, huitwa kicheche
Upo sahihi.
 
Sijamtukana nimemuuliza swari kutokana na koment yake.
Kwenye moment yake amedai kuwa wanaume wa kiafrika hatujiamini hivyo tunapenda wanawake wajinga na mazoba.
Yuko sasa wanaume kwel tunataka awe mjinga mjinga aone kila afanyalo mwanaume ni bora sana
 
Back
Top Bottom