Wiki iliyopita nimekutana na jamaa aliyenibugudhi gheto kwa sababu ya kuchoma udi

Wiki iliyopita nimekutana na jamaa aliyenibugudhi gheto kwa sababu ya kuchoma udi

Mbona kama Uzi wako umejaa kashifa Kwa wakristo pia unataka kutuaminisha kwamba Siri ya mafanikio yako ni ubani Tu au uislam. Mbona Kuna makapuku wengi Tu na wanachoma ubani mi nakumbuka home Mzee aliwahi mfukuza jamaa na mkewe Kwa kushindwa kulipa Kodi na mkewe alikuwa mchoma ubani mzuri Tu alikuwa muislam vp au ye alikosea masharti ya ubani nn
 
Unauhakika kuwa wewe ni muislam??

Uislamu ni unyenyekevu, kama mtoa maada ni mnyenyekevu mbele za Mola wake, amejawa na roho ya huruma , mwenye matendo ya kumpendeza Allah huyo ndiye, lah kama hauna hayo hata uswali lakha zote kila dakika, hudhuruia ibada za Umra kila mwaka, funga vyungu vyote, taja nguzo za uislamu zote bado tu utakua wa laana, utafaidika kuvaa kanzu na baraghashia, au hijabu na nikabu lakini utabaki wa laana tu. Allah Atusamehe na Atupe mwisho mwema. Dini Dini hizi
 
Nilipo maliza chuo mwaka 2011 sikutaka kabisa kukaa home. Infact nimeanza kukaa gheto toka nipo form five way back in 2005.

So nilipo maliza chuo fasta Nika Enda kupanga chumba mitaa fulani jijini Darusalama Mbali Na kitaa nilicho zaliwa Na kukulia..

Sikutaka kuishi karibu Na mitaa ya nyumbani kwetu...

Kwa Sisi watoto wa kiislamu kuchoma ubani Ni Jambo la kawaida Sana.

So kama kawaida nilikuwa nachoma ubani Kila ifikapo usiku wa kuamkia ijumaa.

Kwa Sababu nafahamu baadhi ya ndugu zetu wakristo kwa Sababu ya kukosa kwao maarifa sahihi ya kiroho ( Hosea 2:18) wanakuwaga na phobia Sana Na Moshi wa ubani hasa ubani ujulikanao kama ubani Maka ( Frank incense) so nilikuwa najitahidi kadri ya uwezo wangu kuhakikisha Moshi hauvuki kwenda vyumba vya wapangaji wenzangu Kwa Sababu baadhi Yao walikuwa wakiristo..

So nilikuwa nikisha washa mkaa ukawa tayari kwa kuchoma ubani ntajifunika gubi gubi na shuka then ndo natosa ubani wangu kwenye chetezo.

Hata hivyo still bado Moshi kidogo ulikuwa unavuka na kwenda vyumba vya jirani Ingawa sio Kwa kiasi kikubwa kihivyo..

Bana we, ilikuwa kila nikichoma ubani hata kabla sijamaliza Dua zangu nasikia jamaa ( mpangaji mwenzangu) ana bisha hodi..

Alikuwa anapiga mlango mpaka ahakikishe nimefungua na kila nikifungua ananiambia aisee kuna moshi unatoka kwako, uzime.

Alikuwa ananikwaza sana huyu jamaa. And as if that is not enough akaenda kumwambia na mwenye nyumba kwamba kuna mtu anachoma ubani usiku.

Bahati nzuri mwenye nyumba ni mtoto wa mjini na yeye mwenyewe ni mswahili so akawa ananiacha. Kuna boya mjinga mjinga anasema eti unachoma ubani unamkwaza ila usimjali sana kwa sababu mtu mwenyewe mgalatia halafu ametoka mkoani mjini ameletwa na chuo kwa hiyo wewe ishi naye hivyohivyo..

Three months later nilitoka katika nyumba hiyo nikaenda kupanga nyumba nzima ya peke yangu ambako huko nilikuwa huru kuchoma ubani na mafusho kila siku kulingana na siku husika plus kuwaleta mashekhe na watoto yatima kwa ajili ya visomo vya usiku, kuchinja kondoo nakadhalika..

Two years later nikahamia kwenye nyumba yangu mwenyewe..

Fast forward ten years later baada ya kuondoka kwenye Kile chumba nilichokuwa nimepanga:

Last weekend nilienda kwenye duka la kuuza dawa za kisuna kununua ubani. Hamad!!! Nakutana uso kwa macho na jamaa.

Amechoka Hatari.

He looks like he died last week.

Viatu suruali na shati alilovaa they look like the ones which were used by Mr. Noah in the ark..

Jamaa alikuwa mpole sana aliponiona .

Alikuwa anajikuta Yohana Mbatizaji sasa hivi na yeye anajua ubani mashtaka na chetezo ni nini..

Wagalatia bana yani ukichoma ubani ule moshi wa ubani huwa wanahisi kama majini yanawavaa wanapo nusa harufu ya moshi huo.

Wanaunyanyapaa kama mti wa shetani vile wakati kwenye bible imeandikwa hapo Mwanzo alikuwepo neno nae neno alikuwa Kwa Mungu nae neno alikuwa Mungu vitu vyote visingeweza kufanyika pasipo neno . So hata mti wa frankincense ( ubani Maka) uliumbwa Na neno pia ambae Kwa wa wakristo huyo NENO Ni Yesu.

Ndio maana Mungu anasema Watu wangu Wana angamia Kwa kukosa maarifa ( Hosea 2:13)

Is it not in ur Bible kwamba Yesu alipo zaliwa mamajusi walipeleka zawadi ya Ubani Na Manemane?

Who instructed you guys to demonize Frankincense and myrrh?

Big up Sana Kwa kanisa katoliki, wao WANAJUA nguvu ya Ubani Ni Nini ndio maana kwenye ibada zao huwa Wana Choma ubani.

Moja Kati ya faida ZA ubani Na/au mafusho mengineyo Ni kufungua Anga la sayari husika kulingana Na siku husika ili kutumika kama point of contact Kati yako wewe unae omba Dua Na Malaika WANAO tawala sayari/siku hiyo. Hili Ni Moja Tu Kati ya matumizi ya Ubani.



Moral of the story: Mnaoishi kwenye nyumba za kupanga acheni kuwabugudhi wapangaji wenzenu wanao Choma ubani.

Na nyie mnao Choma ubani kwenye nyumba za kupanga just be proud of urself. Msione aibu kuchoma ubani. It is okay for you to do that
😱😱🚶🏿🚶🏿
 
Nilipo maliza chuo mwaka 2011 sikutaka kabisa kukaa home. Infact nimeanza kukaa gheto toka nipo form five way back in 2005.

So nilipo maliza chuo fasta Nika Enda kupanga chumba mitaa fulani jijini Darusalama Mbali Na kitaa nilicho zaliwa Na kukulia..

Sikutaka kuishi karibu Na mitaa ya nyumbani kwetu...

Kwa Sisi watoto wa kiislamu kuchoma ubani Ni Jambo la kawaida Sana.

So kama kawaida nilikuwa nachoma ubani Kila ifikapo usiku wa kuamkia ijumaa.

Kwa Sababu nafahamu baadhi ya ndugu zetu wakristo kwa Sababu ya kukosa kwao maarifa sahihi ya kiroho ( Hosea 2:18) wanakuwaga na phobia Sana Na Moshi wa ubani hasa ubani ujulikanao kama ubani Maka ( Frank incense) so nilikuwa najitahidi kadri ya uwezo wangu kuhakikisha Moshi hauvuki kwenda vyumba vya wapangaji wenzangu Kwa Sababu baadhi Yao walikuwa wakiristo..

So nilikuwa nikisha washa mkaa ukawa tayari kwa kuchoma ubani ntajifunika gubi gubi na shuka then ndo natosa ubani wangu kwenye chetezo.

Hata hivyo still bado Moshi kidogo ulikuwa unavuka na kwenda vyumba vya jirani Ingawa sio Kwa kiasi kikubwa kihivyo..

Bana we, ilikuwa kila nikichoma ubani hata kabla sijamaliza Dua zangu nasikia jamaa ( mpangaji mwenzangu) ana bisha hodi..

Alikuwa anapiga mlango mpaka ahakikishe nimefungua na kila nikifungua ananiambia aisee kuna moshi unatoka kwako, uzime.

Alikuwa ananikwaza sana huyu jamaa. And as if that is not enough akaenda kumwambia na mwenye nyumba kwamba kuna mtu anachoma ubani usiku.

Bahati nzuri mwenye nyumba ni mtoto wa mjini na yeye mwenyewe ni mswahili so akawa ananiacha. Kuna boya mjinga mjinga anasema eti unachoma ubani unamkwaza ila usimjali sana kwa sababu mtu mwenyewe mgalatia halafu ametoka mkoani mjini ameletwa na chuo kwa hiyo wewe ishi naye hivyohivyo..

Three months later nilitoka katika nyumba hiyo nikaenda kupanga nyumba nzima ya peke yangu ambako huko nilikuwa huru kuchoma ubani na mafusho kila siku kulingana na siku husika plus kuwaleta mashekhe na watoto yatima kwa ajili ya visomo vya usiku, kuchinja kondoo nakadhalika..

Two years later nikahamia kwenye nyumba yangu mwenyewe..

Fast forward ten years later baada ya kuondoka kwenye Kile chumba nilichokuwa nimepanga:

Last weekend nilienda kwenye duka la kuuza dawa za kisuna kununua ubani. Hamad!!! Nakutana uso kwa macho na jamaa.

Amechoka Hatari.

He looks like he died last week.

Viatu suruali na shati alilovaa they look like the ones which were used by Mr. Noah in the ark..

Jamaa alikuwa mpole sana aliponiona .

Alikuwa anajikuta Yohana Mbatizaji sasa hivi na yeye anajua ubani mashtaka na chetezo ni nini..

Wagalatia bana yani ukichoma ubani ule moshi wa ubani huwa wanahisi kama majini yanawavaa wanapo nusa harufu ya moshi huo.

Wanaunyanyapaa kama mti wa shetani vile wakati kwenye bible imeandikwa hapo Mwanzo alikuwepo neno nae neno alikuwa Kwa Mungu nae neno alikuwa Mungu vitu vyote visingeweza kufanyika pasipo neno . So hata mti wa frankincense ( ubani Maka) uliumbwa Na neno pia ambae Kwa wa wakristo huyo NENO Ni Yesu.

Ndio maana Mungu anasema Watu wangu Wana angamia Kwa kukosa maarifa ( Hosea 2:13)

Is it not in ur Bible kwamba Yesu alipo zaliwa mamajusi walipeleka zawadi ya Ubani Na Manemane?

Who instructed you guys to demonize Frankincense and myrrh?

Big up Sana Kwa kanisa katoliki, wao WANAJUA nguvu ya Ubani Ni Nini ndio maana kwenye ibada zao huwa Wana Choma ubani.

Moja Kati ya faida ZA ubani Na/au mafusho mengineyo Ni kufungua Anga la sayari husika kulingana Na siku husika ili kutumika kama point of contact Kati yako wewe unae omba Dua Na Malaika WANAO tawala sayari/siku hiyo. Hili Ni Moja Tu Kati ya matumizi ya Ubani.



Moral of the story: Mnaoishi kwenye nyumba za kupanga acheni kuwabugudhi wapangaji wenzenu wanao Choma ubani.

Na nyie mnao Choma ubani kwenye nyumba za kupanga just be proud of urself. Msione aibu kuchoma ubani. It is okay for you to do that

Ushirikina unakutesa
 
Nilipo maliza chuo mwaka 2011 sikutaka kabisa kukaa home. Infact nimeanza kukaa gheto toka nipo form five way back in 2005.

So nilipo maliza chuo fasta Nika Enda kupanga chumba mitaa fulani jijini Darusalama Mbali Na kitaa nilicho zaliwa Na kukulia..

Sikutaka kuishi karibu Na mitaa ya nyumbani kwetu...

Kwa Sisi watoto wa kiislamu kuchoma ubani Ni Jambo la kawaida Sana.

So kama kawaida nilikuwa nachoma ubani Kila ifikapo usiku wa kuamkia ijumaa.

Kwa Sababu nafahamu baadhi ya ndugu zetu wakristo kwa Sababu ya kukosa kwao maarifa sahihi ya kiroho ( Hosea 2:18) wanakuwaga na phobia Sana Na Moshi wa ubani hasa ubani ujulikanao kama ubani Maka ( Frank incense) so nilikuwa najitahidi kadri ya uwezo wangu kuhakikisha Moshi hauvuki kwenda vyumba vya wapangaji wenzangu Kwa Sababu baadhi Yao walikuwa wakiristo..

So nilikuwa nikisha washa mkaa ukawa tayari kwa kuchoma ubani ntajifunika gubi gubi na shuka then ndo natosa ubani wangu kwenye chetezo.

Hata hivyo still bado Moshi kidogo ulikuwa unavuka na kwenda vyumba vya jirani Ingawa sio Kwa kiasi kikubwa kihivyo..

Bana we, ilikuwa kila nikichoma ubani hata kabla sijamaliza Dua zangu nasikia jamaa ( mpangaji mwenzangu) ana bisha hodi..

Alikuwa anapiga mlango mpaka ahakikishe nimefungua na kila nikifungua ananiambia aisee kuna moshi unatoka kwako, uzime.

Alikuwa ananikwaza sana huyu jamaa. And as if that is not enough akaenda kumwambia na mwenye nyumba kwamba kuna mtu anachoma ubani usiku.

Bahati nzuri mwenye nyumba ni mtoto wa mjini na yeye mwenyewe ni mswahili so akawa ananiacha. Kuna boya mjinga mjinga anasema eti unachoma ubani unamkwaza ila usimjali sana kwa sababu mtu mwenyewe mgalatia halafu ametoka mkoani mjini ameletwa na chuo kwa hiyo wewe ishi naye hivyohivyo..

Three months later nilitoka katika nyumba hiyo nikaenda kupanga nyumba nzima ya peke yangu ambako huko nilikuwa huru kuchoma ubani na mafusho kila siku kulingana na siku husika plus kuwaleta mashekhe na watoto yatima kwa ajili ya visomo vya usiku, kuchinja kondoo nakadhalika..

Two years later nikahamia kwenye nyumba yangu mwenyewe..

Fast forward ten years later baada ya kuondoka kwenye Kile chumba nilichokuwa nimepanga:

Last weekend nilienda kwenye duka la kuuza dawa za kisuna kununua ubani. Hamad!!! Nakutana uso kwa macho na jamaa.

Amechoka Hatari.

He looks like he died last week.

Viatu suruali na shati alilovaa they look like the ones which were used by Mr. Noah in the ark..

Jamaa alikuwa mpole sana aliponiona .

Alikuwa anajikuta Yohana Mbatizaji sasa hivi na yeye anajua ubani mashtaka na chetezo ni nini..

Wagalatia bana yani ukichoma ubani ule moshi wa ubani huwa wanahisi kama majini yanawavaa wanapo nusa harufu ya moshi huo.

Wanaunyanyapaa kama mti wa shetani vile wakati kwenye bible imeandikwa hapo Mwanzo alikuwepo neno nae neno alikuwa Kwa Mungu nae neno alikuwa Mungu vitu vyote visingeweza kufanyika pasipo neno . So hata mti wa frankincense ( ubani Maka) uliumbwa Na neno pia ambae Kwa wa wakristo huyo NENO Ni Yesu.

Ndio maana Mungu anasema Watu wangu Wana angamia Kwa kukosa maarifa ( Hosea 2:13)

Is it not in ur Bible kwamba Yesu alipo zaliwa mamajusi walipeleka zawadi ya Ubani Na Manemane?

Who instructed you guys to demonize Frankincense and myrrh?

Big up Sana Kwa kanisa katoliki, wao WANAJUA nguvu ya Ubani Ni Nini ndio maana kwenye ibada zao huwa Wana Choma ubani.

Moja Kati ya faida ZA ubani Na/au mafusho mengineyo Ni kufungua Anga la sayari husika kulingana Na siku husika ili kutumika kama point of contact Kati yako wewe unae omba Dua Na Malaika WANAO tawala sayari/siku hiyo. Hili Ni Moja Tu Kati ya matumizi ya Ubani.



Moral of the story: Mnaoishi kwenye nyumba za kupanga acheni kuwabugudhi wapangaji wenzenu wanao Choma ubani.

Na nyie mnao Choma ubani kwenye nyumba za kupanga just be proud of urself. Msione aibu kuchoma ubani. It is okay for you to do that
Huna maana yoyote wewe.
Kwa hiyo unaamini ulichokuwa unakifanya na jirani yako hapendi ndio kichomfanya awe na hali hiyo mkuuu
Hayo ni maisha tuu mkuu ,week au mwezi hujui hatma yakoo,na yake pia.
Tumia ulimi wako vizr.
Mwenye kujua hatma ya mtu ni Mungu

Eti kachoka ,
Aliyekupa wewe ndio kamnyima yeye leo na kesho niyeye
Acha kujimwambafai mkuuu .

Usiwe na mdomo chunga mdomo wako mkuuu.

Soo unaamini hayo maudi yako ndio yaliokufanikisha mkuu.

Labda nikufungue kidogo
Sisi wakristo

Yesu aliteswa msalabani kwa ajili yetu naa ametukomboa sisi kwa damu yakee ,naa sanamu na makorokoro yotee amezimaliza msalabani
Usidanganye na hawa wachungaji wa digital
All kulitaja Jina la Yesu inatosha kufuta kila aina ya matatizo.

Imani yako iheshimu Imani ya watu wengine .
Pokea hilo andiko litakusaidia
 
Najua umeuliza Kwa Sababu nimetumia kiingereza sana kama Mkorintho
Ukiongeza fikra katka swali la huyo mtu,utajua nn anachomaanisha unless huna wingi wa elimu kuhusu uislamu...

1* Hakika ya Allah katka madhambi makubwa ambayo anayoyachukia ni shirki...

Kumshirikisha yy na alivyoviumba.

So kama kawaida nilikuwa nachoma ubani Kila ifikapo usiku wa kuamkia ijumaa
Hili jambo si ktk mafundisho ya mtume....kuna mambo tumeambiwa na yamefanywa na mtume na maswahaba wake pale inapoingia siku ya ijumaa.

Moja Kati ya faida ZA ubani Na/au mafusho mengineyo Ni kufungua Anga la sayari husika kulingana Na siku husika ili kutumika kama point of contact Kati yako wewe unae omba Dua Na Malaika WANAO tawala sayari/siku hiyo. Hili Ni Moja Tu Kati ya matumizi ya Ubani.
Kufanya hvi ni shirki...kama hujui basi acha mara moja mkuu,Ila kama unajua na unaendelea kufanya basi kaa ukijua hiyo ni shirki...That why umeulizwa wewe ni muislamu?

TUMIA UBANI KAMA MANUKATO .
 
Ukiongeza fikra katka swali la huyo mtu,utajua nn anachomaanisha unless huna wingi wa elimu kuhusu uislamu...

1* Hakika ya Allah katka madhambi makubwa ambayo anayoyachukia ni shirki...

Kumshirikisha yy na alivyoviumba.


Hili jambo si ktk mafundisho ya mtume....kuna mambo tumeambiwa na yamefanywa na mtume na maswahaba wake pale inapoingia siku ya ijumaa.


Kufanya hvi ni shirki...kama hujui basi acha mara moja mkuu,Ila kama unajua na unaendelea kufanya basi kaa ukijua hiyo ni shirki...That why umeulizwa wewe ni muislamu?

TUMIA UBANI KAMA MANUKATO .
Ohooo kimeumana kumbe bwn mdogo tambo zote na kejeli kumbe alikua anafanya mambo ya kina karumanzila.

LIKUD njoo ujifunze hapa.
 
Mshukuru Mungu kwa kidgo ulicho pata...ipo siku na yeye atapata...kila kitu kinapangwa na Mungu .. Ni vyema kuelezea faida za ubani si vyema kumsema mtu kma ulivyo fanya.
 
nilifukuzwa na majirani kwa sababu ya harufu nzuri ya misosi kama kuku,kitimoto,nyama choma,vyakula vya kizungu.pale buza
 
Mbona kama Uzi wako umejaa kashifa Kwa wakristo pia unataka kutuaminisha kwamba Siri ya mafanikio yako ni ubani Tu au uislam. Mbona Kuna makapuku wengi Tu na wanachoma ubani mi nakumbuka home Mzee aliwahi mfukuza jamaa na mkewe Kwa kushindwa kulipa Kodi na mkewe alikuwa mchoma ubani mzuri Tu alikuwa muislam vp au ye alikosea masharti ya ubani nn
[emoji23][emoji23] dhumuni lake tujue amejenga
 
Back
Top Bottom