Wiki nzima bila kutongozwa


Dinna ungejua watu wanaojuana wanavyopeana madongo usingesema, na ndio maana unaona watu huwa hawakurupuki kuanzisha thread hovyo kwani wanajua ni nini kitawapata. Kwa upande wangu hata kama nakujua nishawahi kukuona ukivurunda humu nakugonga za uso hata mimi naruhusu mtu afanye hivyo kwangu. Kujuana na kuelimishana havichangamani mpenzi. Na kuhusu suala la houseboy assume wewe una mume na mnaheshimiana vzr tu halafu anatokea houseboy wenu anakutongoza kwa hiyo we utachukulia poa tu kwa sababu nae ana feeling au hebu nieleweshe kidogo mpendwa
 
what's up my dear??? someone have already hurt me again here..

He doesnt hurt you, he simply play with you mind coz he will come here and apologize again and again, you'll forgive him

Then that apology will confuse michelle. He will apologize back to her again and so . . . .
and that's how we spend life time!
 
i... u said i'm too good to suffer eee??? why what have i done before??? i used this question to ask my self but i have got no ans...
Sure Nilham....live your life......you are too good to suffer...(at least this much)
 

Khaa!
 
i dont think soo becouse i think he is already gone...
He doesnt hurt you, he simply play with you mind coz he will come here and apologize again and again, you'll forgive him

Then that apology will confuse michelle. He will apologize back to her again and so . . . .
and that's how we spend life time!
 

Aisee!!! Leo umeamkia upande gani wa kitanda hii very uzi fuli posti, ngoja nikuletee VICE OF NO REASON
 
i dont think soo becouse i think he is already gone...

Les wait him back and u'll understand what i mean.

And even if that's so will u remain SINGLE, ON JF but NOT AVAILABLE?? πŸ™‚
 
naona hiyo miguu yako yatembea mmoja kwenye light mmoja kwenye deep darkness...
Les wait him back and u'll understand what i mean.

And even if that's so will u remain SINGLE, ON JF but NOT AVAILABLE?? πŸ™‚
 
Aisee!!! Leo umeamkia upande gani wa kitanda hii very uzi fuli posti, ngoja nikuletee VICE OF NO REASON

Hahahaaaa hakuna kujuana kipande hii mpenzi tukileta kujuana hatutaelimishana, baba na mtoto au mama na mtoto wanajuana kuliko maelezo lakini mtoto akikosea fimbo halafu kujuana baadae.
 
Hahahaaaa hakuna kujuana kipande hii mpenzi tukileta kujuana hatutaelimishana, baba na mtoto au mama na mtoto wanajuana kuliko maelezo lakini mtoto akikosea fimbo halafu kujuana baadae.

Hivi Kimey huko usalule huwa anatongoza kweli???
 
naona hiyo miguu yako yatembea mmoja kwenye light mmoja kwenye deep darkness...

Si kuna watu walinichongea Avatar yangu ya awali, kumbe walikuwa wanaona donge tu! Nikaona sasa ngoja niweke miguu ya kijeshi tuone kama atasogea mtu . . . hata aje EM OOO DII nakanyaga tu πŸ™‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…