Wiki nzima bila kutongozwa

Wiki nzima bila kutongozwa

Nakubaliana na wewe kabisa ila kuna watu wakiona comment ya fulani wataunga mkono wakiona ya fulani wanaibuka utafikiri wamepata pm jamanieeee njoeni huku. inakuwaje nyie wote mnaojuana mna mawazo sawa?
pia nawalaumu wale wanaoona koment ya mtu wanaanza kumkandia mbona mkikandiana wenyewe hampeani maneno makali mala huyu atakuwa malaya mara anaishi uswazi mara sijui nini hamuoni kwamba sio vizuri
wengi hapa tuna jua mwanamke kama hujatongozwa wala huoni vizuri iwe kwa wiki mwezi au mwaka.sasa wengine hawapendi eti wanaangalia status ya mtu kwani nani alisema houseboy hana feelings?
hakuna watu walipata story mtoto wa kigogo hapa bongo kaolewa na houseboy wao na badae kampeleka shule na sasa anafanya kazi huku akiendelea kujiendeleza?
mbona sie hapa kwetu tunaingia kwenye jf hadi na hg na hboy wetu na wote wanajiita magreat thinker hiyo ni kwa taarifa ya wote tu.watu wacomment lakini wawe wakweli sababu mnajuana kwa sura hakuna hata siku moja mdada wa humu au mkaka wa humu atasema nimulala na housegirl or boy naomba ushauri ila ambaye hajulikani atauliza tu. strength na weakness za topic sio kusema mwenzenu mtoto au anakaa uswaz. by the way ur the one of my best commentor in this forum
naomba kuwakilisha hoja

Dinna ungejua watu wanaojuana wanavyopeana madongo usingesema, na ndio maana unaona watu huwa hawakurupuki kuanzisha thread hovyo kwani wanajua ni nini kitawapata. Kwa upande wangu hata kama nakujua nishawahi kukuona ukivurunda humu nakugonga za uso hata mimi naruhusu mtu afanye hivyo kwangu. Kujuana na kuelimishana havichangamani mpenzi. Na kuhusu suala la houseboy assume wewe una mume na mnaheshimiana vzr tu halafu anatokea houseboy wenu anakutongoza kwa hiyo we utachukulia poa tu kwa sababu nae ana feeling au hebu nieleweshe kidogo mpendwa
 
i think soo...
Poleee..

Kumbuka:

A%20S-heart-2.gif
A%20S-heart-2.gif
A%20S%20465.gif
true love never die
A%20S%20465.gif
A%20S-heart-2.gif
A%20S-heart-2.gif
 
what's up my dear??? someone have already hurt me again here..

He doesnt hurt you, he simply play with you mind coz he will come here and apologize again and again, you'll forgive him

Then that apology will confuse michelle. He will apologize back to her again and so . . . .
and that's how we spend life time!
 
i... u said i'm too good to suffer eee??? why what have i done before??? i used this question to ask my self but i have got no ans...
Sure Nilham....live your life......you are too good to suffer...(at least this much)
 
Dinna ungejua watu wanaojuana wanavyopeana madongo usingesema, na ndio maana unaona watu huwa hawakurupuki kuanzisha thread hovyo kwani wanajua ni nini kitawapata. Kwa upande wangu hata kama nakujua nishawahi kukuona ukivurunda humu nakugonga za uso hata mimi naruhusu mtu afanye hivyo kwangu. Kujuana na kuelimishana havichangamani mpenzi. Na kuhusu suala la houseboy assume wewe una mume na mnaheshimiana vzr tu halafu anatokea houseboy wenu anakutongoza kwa hiyo we utachukulia poa tu kwa sababu nae ana feeling au hebu nieleweshe kidogo mpendwa

Khaa!
 
i dont think soo becouse i think he is already gone...
He doesnt hurt you, he simply play with you mind coz he will come here and apologize again and again, you'll forgive him

Then that apology will confuse michelle. He will apologize back to her again and so . . . .
and that's how we spend life time!
 
Dinna ungejua watu wanaojuana wanavyopeana madongo usingesema, na ndio maana unaona watu huwa hawakurupuki kuanzisha thread hovyo kwani wanajua ni nini kitawapata. Kwa upande wangu hata kama nakujua nishawahi kukuona ukivurunda humu nakugonga za uso hata mimi naruhusu mtu afanye hivyo kwangu. Kujuana na kuelimishana havichangamani mpenzi. Na kuhusu suala la houseboy assume wewe una mume na mnaheshimiana vzr tu halafu anatokea houseboy wenu anakutongoza kwa hiyo we utachukulia poa tu kwa sababu nae ana feeling au hebu nieleweshe kidogo mpendwa

Aisee!!! Leo umeamkia upande gani wa kitanda hii very uzi fuli posti, ngoja nikuletee VICE OF NO REASON
 
naona hiyo miguu yako yatembea mmoja kwenye light mmoja kwenye deep darkness...
Les wait him back and u'll understand what i mean.

And even if that's so will u remain SINGLE, ON JF but NOT AVAILABLE?? 🙂
 
Aisee!!! Leo umeamkia upande gani wa kitanda hii very uzi fuli posti, ngoja nikuletee VICE OF NO REASON

Hahahaaaa hakuna kujuana kipande hii mpenzi tukileta kujuana hatutaelimishana, baba na mtoto au mama na mtoto wanajuana kuliko maelezo lakini mtoto akikosea fimbo halafu kujuana baadae.
 
Hahahaaaa hakuna kujuana kipande hii mpenzi tukileta kujuana hatutaelimishana, baba na mtoto au mama na mtoto wanajuana kuliko maelezo lakini mtoto akikosea fimbo halafu kujuana baadae.

Hivi Kimey huko usalule huwa anatongoza kweli???
 
naona hiyo miguu yako yatembea mmoja kwenye light mmoja kwenye deep darkness...

Si kuna watu walinichongea Avatar yangu ya awali, kumbe walikuwa wanaona donge tu! Nikaona sasa ngoja niweke miguu ya kijeshi tuone kama atasogea mtu . . . hata aje EM OOO DII nakanyaga tu 🙂
 
Back
Top Bottom