Wiki nzima bila kutongozwa

Wiki nzima bila kutongozwa

Mimi inabidi niende bagamoyo,nina mwaka sijui sijatongozwa na wala sijiulizi nilikuwa naona sawa tu,leo nimepata ''wake-up call,something might be wrong with me.'' Nakuja my dear,hii topic inaninyima usingizi,kumbe wenzangu kila siku......😛layball:

Hahaha inabidi tuanze kurekodi hayo matukio aise..!Kwakweli tuna kitu kitakua hakijakaa sawa!
 
you dont even have a single idea what that word means to me right now! its bigger than universe....

Tell me something and i come back,you have apologized, now i want you to welcome me back where i belong........lol 😛layball:
 
nilifikiri ulinielewa! mitongozo mnapenda sana tu na kuolewa pia ila hamjakutana na wenza wenu wa maisha na atakuja kwa njia hiyohiyo ya mitongozo. wala hatutofautiani hapa jf swala mtu achangie hoja kwa kukubaliana au kukataliana sio wengine wanaona wenzao hawana akili. maskini mtoa mada mpaka kakimbia.
Kuna kufikiriana visivyo nimegundua hapa JF...........ukitofautiana wewe ni muongo,kwa mwendo huu itabidi kila hoja hata mtu akija na wanawake wote ni wahuni,useme ndio.....
ukisema sio wewe muongo,unaambiwa uwe mkweli.....mbona hapatatosha hapa????
 
Tell me something and i come back,you have apologized, now i want you to welcome me back where i belong........lol 😛layball:

images
 
nilifikiri ulinielewa! Mitongozo mnapenda sana tu na kuolewa pia ila hamjakutana na wenza wenu wa maisha na atakuja kwa njia hiyohiyo ya mitongozo. Wala hatutofautiani hapa jf swala mtu achangie hoja kwa kukubaliana au kukataliana sio wengine wanaona wenzao hawana akili. Maskini mtoa mada mpaka kakimbia.

job true true!
 
Nione baadae basi...!With Michelles' pamishen ofcoz!

Nimekuruhusu my dear,naomba umwambie tu nampenda na asirudie kosa.....😛layball:

Kama alivyoona bado nyota inang'aa akiteleza tena itakula kwake...:shut-mouth:
 
Nimekuruhusu my dear,naomba umwambie tu nampenda na asirudie kosa.....😛layball:

Kama alivyoona bado nyota inang'aa akiteleza tena itakula kwake...:shut-mouth:

Kweli mapenzi ni . . . .
 
nilifikiri ulinielewa! mitongozo mnapenda sana tu na kuolewa pia ila hamjakutana na wenza wenu wa maisha na atakuja kwa njia hiyohiyo ya mitongozo. wala hatutofautiani hapa jf swala mtu achangie hoja kwa kukubaliana au kukataliana sio wengine wanaona wenzao hawana akili. maskini mtoa mada mpaka kakimbia.

Nimekuelewa Dinnah,napiga tu story na LIzzy,mi nae tunajuana kwa vilemba,so tunastorisha tu in public,ndo mambo ya JF hayo,worry not,somo lako nimeshalipata na wengine pia watakusoma,thanks!😛layball:
 
here i come......😛layball::A S-heart-2:

I may not be your PEPSI choice of the new generation; I may not be ur COKE, only the real thing; or your NIDO, world's no. 1 but i can be your REXONA I won't let you down.
 
Back
Top Bottom