Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CAN YOU WALK OUT OF THIS?
![]()
:shock: kwa mpango huu itatuchukua muda mrefu kupambana na janga lileee.....
i know exactly where ya going,,,,,,,,,
Ukifika huko utajua lol!
............la panya wacheza karata.....lol
Am going NO WHERE man with this lady , , ,
Hating on a certain name only gives them fame.L.O.L
i always love and care
dats my philosophy
aaaah na wewe ndo swaga zako za kutongozea sio!!!!!l.o.l
kwanza sijui kutongoza, nifundishe basi lol
yaki kukuta utaweza tu!
You are either idle or :A S confused:, or :crazy:......! Haya yote ni adhari za kukosa ajira....! Tafadhali, fanya yafuatayo;Kila mwanamke ameumbwa na hulka ya kuamini kuwa ana sifa ya uzuri. Hivyo basi wanawake tunaamini kwamba uzuri huo unaonenaka kwa nje kupitia mivuto.
Mivuto hiyo huwavuta wanaume wengine wakusalimie, wengine wapige jicho ili mradi wajiburudishe, na wale walio na ushujaa na ujasiri huwa hawasiti kukutongoza, na hapa kila mwanaume ana gia zake za kumwingia mwanamke.
Je dada mwenzangu huwa unajisikiaje ikipita wiki nzima hujasalimiwa na wavulana wenye jicho la kukutamani, hujatongozwa na wala hujasifiwa?
Binafsi last week ndio ilikuwa wiki niliyokuwa nimekosa kabisa watu wa kunichangamkia, nkajiuliza sana je nimezeeka au nyota yangu imetembelewa na mtu (l'm kidding, siamini mambo ya nyota)
heheeh dah! na huyu ndio aspirin bana, mkuu ile tenzi uliomvurumishia mwanakijiji imeongeza sku zangu 6 za kuishi. dah!
bek to ze off topik: Mbona kimya hapa?
gud! kuna na yule mrembo wa cheusimangala naskia anatafta kontakt zako.matta......setodi
gud! Kuna na yule mrembo wa cheusimangala naskia anatafta kontakt zako.