Wiki sasa sina amani

Poor Brain

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2019
Posts
19,644
Reaction score
40,546
Habari za muda huu ndugu zangu,

Wakuu nina week sasa nimekuwa na hali ya unyonge tangu nikutane na kopo la vidonge kwenye droo la huyu mwenzangu.

Hali ambayo imenistua zaidi hivi vidonge nina asilimia mia ni vya HIV.

Kuna siku nilimfuma anakunywa kwa siri nikauliza akasema ni dawa za vidonda vya tumbo..

Wakuu nina wasi wasi sana maana hata ishu ya kupima yeye ndio alifosi mimi nikapime nimletee majibu.

Baada ya kusema hivo nikajiwekea asilimia mia kua yeye yupo salama..

Ila mpaka sasa nimekua na wasi wasi mno.

Nataka kujua yafuatayo wakuu wenye experience hivi mtu anayetumia dawa vizuri kabisa ni kweli hawezi kuambukiza au ni story za vijiweni...?

Na ile ya kusema kuna watu hawapati virusi ni kweli au ? maana mpaka sasa naona nipo poa kabisa...

Wakuu ni week sasa hata hamu ya kula chakula cha usiku sina mpaka ananistukia sasa...

Najuta.... Kitu kinachoitwa kupima kwa sasa HAPANA

MREJESHO wakuu .... Nipo salama salimini na nimepima kipimo cha damu kubwa...
 
Binadamu ni kiumbe hatari sana, zaidi ya mnyama. Unaishi na mtu kumbe anameza madonge na hakuambii...dah๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ
Pole sana mkuu!
๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ๐ŸฅบMkuu acha tuuu mpaka sasa hata selewi how imekua hivi ..

Ila nina imani awezi ambukiza mtu huyu...
 
Acha wasiwasi mkuu.Ni mambo ya vidonda vya tumbo tu.Na anaviweka chini ili vipate ubaridi na matunzo mazuri.Furahia life mkuu!
 
Kama anat
Kama anatumia dawa Kwa usahihi, hawezi kukuambukiza, pia wapo watu wasio weza kupata maambukizi lakini Hawa watu ni adimu kama almasi.....Tuliza akili uamue Kwa hekima......
 
๐™’๐™š๐™ฌ๐™š ๐™ฃ๐™ž ๐™ˆ๐™š ๐™ค๐™ง ๐™†๐™š?? ๐™ƒ๐™–๐™ฎ๐™ค ๐™ˆ๐™–๐™ข๐™—๐™ค ๐™ฎ๐™–๐™ฅ๐™ค ๐™Ž๐™–๐™ฃ๐™– ๐™จ๐™ž๐™ ๐™ช ๐™๐™ฏ ๐™˜๐™๐™– ๐™ข๐™จ๐™ž๐™ฃ๐™œ๐™ž ๐™ฃ๐™š๐™ฃ๐™™๐™– ๐™ ๐™–๐™ฅ๐™ž๐™ข๐™š ๐™ฉ๐™š๐™ฃ๐™– ๐™†๐™ž๐™ข๐™ฎ๐™– ๐™ ๐™ž๐™ข๐™ฎ๐™– ๐™—๐™–๐™–๐™™๐™– ๐™ฎ๐™– ๐™๐™–๐™ฅ๐™ค ๐™ฃ๐™™๐™ž๐™ค ๐™ช๐™ฉ๐™–๐™ ๐™ช๐™ฌ๐™– ๐™ฃ๐™– ๐™ข๐™–๐™Ÿ๐™ž๐™—๐™ช ๐™ฎ๐™– ๐™ฃ๐™ž๐™ฃ๐™ž ๐™ช๐™›๐™–๐™ฃ๐™ฎ๐™š..

๐™†๐™ฌ๐™– ๐™ข๐™ฌ๐™–๐™ฃ๐™–๐™ช๐™ข๐™š ๐™ž๐™ฃ๐™–๐™ฌ๐™š๐™ฏ๐™š๐™ ๐™–๐™ฃ๐™– ๐™Ž๐™–๐™ฃ๐™– ๐™ฌ๐™š๐™ฌ๐™š ๐™ ๐™ช๐™—๐™–๐™ ๐™ž ๐™จ๐™–๐™ก๐™–๐™ข๐™– ๐™๐™–๐™ฉ๐™– ๐™ ๐™–๐™ข๐™– ๐™ข๐™ ๐™š๐™Š ๐™–๐™ฃ๐™– ๐™ข๐™–๐™–๐™ข๐™—๐™ช๐™ ๐™ž๐™ฏ๐™ž!! ๐˜พ๐™๐™– ๐™ข๐™จ๐™ž๐™ฃ๐™œ๐™ž ๐™ฃ๐™ž ๐™ ๐™ฌ๐™–๐™ฃ๐™ฏ๐™– ๐™ ๐™ช๐™ฅ๐™ž๐™ข๐™– ๐™ฉ๐™š๐™ฃ๐™– ๐™๐™ค๐™จ๐™ฅ๐™ž๐™ฉ๐™–๐™ก ๐™ฃ๐™ฎ๐™ž๐™ฃ๐™œ๐™ž๐™ฃ๐™š ๐™ข๐™—๐™–๐™ก๐™ž ๐™ฃ๐™– ๐™ฎ๐™– ๐™–๐™ฌ๐™–๐™ก๐™ž ๐™ ๐™ช๐™จ๐™๐™ž๐™ง๐™ž๐™ ๐™ž ๐™ฉ๐™š๐™ฃ๐™™๐™ค ๐™ ๐™ฌ๐™– ๐™จ๐™–๐™จ๐™– ๐™จ๐™ž๐™ค ๐™ข๐™ช๐™๐™ž๐™ข๐™ช ๐™ฉ๐™š๐™ฃ๐™– ๐™„๐™ก๐™– ๐™ ๐™–๐™ข๐™– ๐™ข๐™ฃ๐™– ๐™ฌ๐™–๐™ฉ๐™ค๐™ฉ๐™ค ๐™ฃ๐™–๐™ค ๐™ ๐™–๐™ฌ๐™–๐™ฅ๐™–๐™ž๐™ข๐™š ๐™ช๐™Ÿ๐™ช๐™š ๐™๐™–๐™ก๐™„ ๐™ฏ๐™–๐™ค.
๐™†๐™–๐™ข๐™– ๐™ฌ๐™–๐™ฅ๐™ค ๐™จ๐™–๐™ก๐™–๐™ข๐™– ๐™ฃ๐™–๐™ฌ๐™š ๐™ช๐™ฅ๐™ค ๐™จ๐™–๐™ก๐™–๐™ข๐™– ๐™๐™ž๐™ž ๐™ž๐™ฉ๐™–๐™ ๐™ช๐™จ๐™–๐™ž๐™™๐™ž๐™– ๐™ ๐™ช๐™›๐™–๐™ฃ๐™ฎ๐™– ๐™ˆ๐™–๐™–๐™ข๐™ช๐™ฏ๐™ž ๐™ฎ๐™– ๐™ฃ๐™ž๐™ฃ๐™ž ๐™ ๐™ž๐™›๐™–๐™ฃ๐™ฎ๐™ž๐™ ๐™š!!
๐™Ž๐™ช๐™–๐™ก๐™– ๐™‡๐™–๐™ ๐™ค ๐™ฃ๐™ž ๐™œ๐™ช๐™ข๐™ช ๐™Ž๐™–๐™ฃ๐™– ๐™„๐™ก๐™– ๐™๐™–๐™ฎ๐™ค ๐™ฃ๐™™๐™ž๐™ค ๐™ˆ๐™–๐™ข๐™—๐™ค ๐™ฎ๐™– ๐™–๐™ฌ๐™–๐™ก๐™ž ๐™ฉ๐™๐™š๐™ฃ ๐™ช๐™ ๐™ž๐™จ๐™๐™–๐™ฅ๐™–๐™ฉ๐™– ๐™ข๐™–๐™Ÿ๐™ž๐™—๐™ช ๐™ ๐™–๐™ง๐™ž๐™—๐™ช ๐™ ๐™ฌ๐™– ๐™ช๐™จ๐™๐™–๐™ช๐™ง๐™ž ๐™ฃ๐™ž๐™ฃ๐™ž ๐™ ๐™ž๐™›๐™–๐™ฃ๐™ฎ๐™ž๐™ ๐™š..
๐™‰๐˜ฝ;๐™†๐™–๐™ข๐™– ๐™ช๐™ฃ๐™–๐™Ÿ๐™ช๐™– ๐™ˆ๐™ค๐™ฎ๐™ค ๐™ฌ๐™–๐™ ๐™ค ๐™๐™–๐™ช๐™ฌ๐™š๐™ฏ๐™ž ๐™ ๐™ช๐™–๐™˜๐™๐™–๐™ฃ๐™– ๐™ฃ๐™–๐™ฎ๐™š ๐˜ผ๐˜พ๐™ƒ๐˜ผ๐™‰๐˜ผ ๐™‰๐˜ผ ๐™ˆ๐˜ผ๐™ˆ๐˜ฝ๐™Š ๐™”๐™Š๐™๐™€ ๐™€๐™‰๐˜ฟ๐™€๐™‡๐™€๐™€๐™‰๐™„ ๐™‰๐˜ผ ๐™ˆ๐˜ผ๐™„๐™Ž๐™ƒ๐˜ผ ๐™๐™. ๐™†๐™ฌ๐™–๐™ฃ๐™ž ๐™ฌ๐™–๐™ฃ๐™œ๐™–๐™ฅ๐™ž ๐™ฌ๐™–๐™ฃ๐™–๐™ ๐™ช๐™›๐™– ๐™ ๐™ฌ๐™– ajali๐Ÿ˜Œ๐Ÿ˜Œ
 
Kama anat

Kama anatumia dawa Kwa usahihi, hawezi kukuambukiza, pia wapo watu wasio weza kupata maambukizi lakini Hawa watu ni adimu kama almasi.....Tuliza akili uamue Kwa hekima......
Mkuu now nipo stressed sana...
Mkuu nipo kipindi cha majuto..
Nawaza kwenda kupima ila naona kupima nitajimaliza kabisa.

Nimekua nae huu ni mwezi wa pili sasa nakula tuu sijali wala nini..
Leo naona ishu kama hiyo alafu useme naweza nisipate
 
Asante mkuu kwa ushauri wako..
Na nakuahidi taufanyia kazi mkuu ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™
 
Watu wengi siku hizi wenye HIV ukiongea nao wana maneno positive sana juu ya kujikinga na HIV, kama kupima, kutumia mpira sasa ukijichanganya tu imekula kwako
Mkuu acha tuu najuta sasa ...
Kwa maneno yale nilijua kabisa ni mtu wa kujali afya yake .

Na ndani ana vipimo vile vidogo kibao mkuu sasa nashangaa kwa kweli how
 
Umenikumbusha Kuna dada mmoja muuza uji mtaani nilikua namzimia kinoma sasa mi siyo mpenzi wa uji lakini nikaanza tabia ya kunywa uji kila siku siku moja nimempa hela nimesimama nae karibu akafungua pochi yake ili anipe chenji eeh bana wee si nikaona kikopo cha ARV
Nilipiga zile breki za katuni
 
Mkuu huyo alikua mzembe kuficha au aliweka makusudi uogope tu..

Hivo vitu wanaficha sana aiseee an hata mda anachoma moto yale makablasha yake ngumu sana kujua aiseeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ