Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Umeyatimba? Wakati nakwambia mijimama sio mchongo hukuniskia....ukianza kuharisha nishtue nikuwekee gunzi maeneo yale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kweli unavoona upo sahihi kusema hivo ,,,,?Huwezi kuangamia kimyakimya mkuu.Atakugawia na wewe upate tiba.Usitaharuki.Take it easy!
Ukiacha kupima ndo unajimaliza...Mkuu now nipo stressed sana...
Mkuu nipo kipindi cha majuto..
Nawaza kwenda kupima ila naona kupima nitajimaliza kabisa.
Nimekua nae huu ni mwezi wa pili sasa nakula tuu sijali wala nini..
Leo naona ishu kama hiyo alafu useme naweza nisipate
Sema hapo kwa vile umejua ishia hapo hapo ila ni kweli kabisa hawezi kukuambuzika kama unacheza salama i mean haufukui mitaro na faulo zingineHabari za muda huu ndugu zangu,
Wakuu nina week sasa nimekuwa na hali ya unyonge tangu nikutane na kopo la vidonge kwenye droo la huyu mwenzangu.
Hali ambayo imenistua zaidi hivi vidonge nina asilimia mia ni vya HIV.
Kuna siku nilimfuma anakunywa kwa siri nikauliza akasema ni dawa za vidonda vya tumbo..
Wakuu nina wasi wasi sana maana hata ishu ya kupima yeye ndio alifosi mimi nikapime nimletee majibu.
Baada ya kusema hivo nikajiwekea asilimia mia kua yeye yupo salama..
Ila mpaka sasa nimekua na wasi wasi mno.
Nataka kujua yafuatayo wakuu wenye experience hivi mtu anayetumia dawa vizuri kabisa ni kweli hawezi kuambukiza au ni story za vijiweni...?
Na ile ya kusema kuna watu hawapati virusi ni kweli au ? maana mpaka sasa naona nipo poa kabisa...
Wakuu ni week sasa hata hamu ya kula chakula cha usiku sina mpaka ananistukia sasa...
Najuta.... Kitu kinachoitwa kupima kwa sasa HAPANA
Mkuu usiseme hivo...Umeyatimba? Wakati nakwambia mijimama sio mchongo hukuniskia....ukianza kuharisha nishtue nikuwekee gunzi maeneo yale
Mkuu kupima ni kitu kingine tuache kwanza...Ukiacha kupima ndo unajimaliza...
Still am strong bloodPrepare for the worst.
Hakutaka nione ilikua ni mistake amefanya, ni kweli huwa zinafichwa sanaMkuu huyo alikua mzembe kuficha au aliweka makusudi uogope tu..
Hivo vitu wanaficha sana aiseee an hata mda anachoma moto yale makablasha yake ngumu sana kujua aiseeee
Kabisa mkuu.Maana kukwepa changamoto ni kuzalisha matatizo.Nyanyuka ukapime kama afya yako ina mushkeli kidogo.Kukaa tu kusubiri kudra za Mungu haujitetendei haki.Wakati ni huu wa kuonesha wewe ni "Bright-brain"!Mkuu kweli unavoona upo sahihi kusema hivo ,,,,?
Ndio mkuu sina hizo tabia..Sema hapo kwa vile umejua ishia hapo hapo ila ni kweli kabisa hawezi kukuambuzika kama unacheza salama i mean haufukui mitaro na faulo zingine
Huko ni kupendwa.Anagawiwa kila kitu kimfaacho.Ana bahati ya mtende.Si ndio wewe unaejisifiaga kuhongwa na mishangazi?
Lengo la kukwambia ukapime anataka ajue status yako ili aweze kukulindaHabari za muda huu ndugu zangu,
Wakuu nina week sasa nimekuwa na hali ya unyonge tangu nikutane na kopo la vidonge kwenye droo la huyu mwenzangu.
Hali ambayo imenistua zaidi hivi vidonge nina asilimia mia ni vya HIV.
Kuna siku nilimfuma anakunywa kwa siri nikauliza akasema ni dawa za vidonda vya tumbo..
Wakuu nina wasi wasi sana maana hata ishu ya kupima yeye ndio alifosi mimi nikapime nimletee majibu.
Baada ya kusema hivo nikajiwekea asilimia mia kua yeye yupo salama..
Ila mpaka sasa nimekua na wasi wasi mno.
Nataka kujua yafuatayo wakuu wenye experience hivi mtu anayetumia dawa vizuri kabisa ni kweli hawezi kuambukiza au ni story za vijiweni...?
Na ile ya kusema kuna watu hawapati virusi ni kweli au ? maana mpaka sasa naona nipo poa kabisa...
Wakuu ni week sasa hata hamu ya kula chakula cha usiku sina mpaka ananistukia sasa...
Najuta.... Kitu kinachoitwa kupima kwa sasa HAPANA
Sana mimi nilikua natafuta albamu ya picha ndo nakutana na hayo makablasha yapo chini ya wigi huko kwa droo mkuu...🥺🥺🥺🥺Hakutaka nione ilikua ni mistake amefanya, ni kweli huwa zinafichwa sana
Mimi kuna mmoja alisema tukapime, nilipofika hospital nampigia anaongea maneno yasioeleweka, nilipokutana nae anasema kuna mwalimu anamtaka na waliwahi kwenda wote kupima yeye na huyo sir teacher walikua salama ila hakutaka kumpa k yake. Akili ikanicheza huyu anataka nijichanganyeMkuu acha tuu najuta sasa ...
Kwa maneno yale nilijua kabisa ni mtu wa kujali afya yake .
Na ndani ana vipimo vile vidogo kibao mkuu sasa nashangaa kwa kweli how
Mkuu hapa nitasema nitaenda kupima ila in reality hiko kitu siweziKabisa mkuu.Maana kukwepa changamoto ni kuzalisha matatizo.Nyanyuka ukapime kama afya yako ina mushkeli kidogo.Kukaa tu kusubiri kudra za Mungu haujitetendei haki.Wakati ni huu wa kuonesha wewe ni "Bright-brain"!
Kama amekuwa mwaminifu kumeza wanasema uwezekano wa kuambukiza ni negligible, kuwa na amani mkuu. Changamoto ni namna ambavyo mtu anakula dawa kwa siri na mnajifunika shuka moja.🥺🥺🥺🥺Mkuu acha tuuu mpaka sasa hata selewi how imekua hivi ..
Ila nina imani awezi ambukiza mtu huyu...