Hongera sana MkuuYeah ni group O
mazoezi nafanya sana
Wee kuweza kumwambia mtu et """ twende mguu kwa mguu"""
Kuwa serious mkuu..
But till now nipo oky nimepima nipo sawa kabisa hapa nasbr vipimo vya mara ya pili
Kuwa serious madamAkaa!!! Sasa ndio pana ugumu gani hapo?