Wiki sasa sina amani

Sema hapo kwa vile umejua ishia hapo hapo ila ni kweli kabisa hawezi kukuambuzika kama unacheza salama i mean haufukui mitaro na faulo zingine
 
Sema hapo kwa vile umejua ishia hapo hapo ila ni kweli kabisa hawezi kukuambuzika kama unacheza salama i mean haufukui mitaro na faulo zingine
Ndio mkuu sina hizo tabia..
Ila sijawahi tumia kinga kabisa kila siku...

Kingine mkuu naona hii doze kila siku usiku anatumia ila aliniambia ni ya vidonda vya tumbo.

Kuhusu kutumia yupo strictly sana
 
Lengo la kukwambia ukapime anataka ajue status yako ili aweze kukulinda
 
Mkuu acha tuu najuta sasa ...
Kwa maneno yale nilijua kabisa ni mtu wa kujali afya yake .

Na ndani ana vipimo vile vidogo kibao mkuu sasa nashangaa kwa kweli how
Mimi kuna mmoja alisema tukapime, nilipofika hospital nampigia anaongea maneno yasioeleweka, nilipokutana nae anasema kuna mwalimu anamtaka na waliwahi kwenda wote kupima yeye na huyo sir teacher walikua salama ila hakutaka kumpa k yake. Akili ikanicheza huyu anataka nijichanganye
 
Kabisa mkuu.Maana kukwepa changamoto ni kuzalisha matatizo.Nyanyuka ukapime kama afya yako ina mushkeli kidogo.Kukaa tu kusubiri kudra za Mungu haujitetendei haki.Wakati ni huu wa kuonesha wewe ni "Bright-brain"!
Mkuu hapa nitasema nitaenda kupima ila in reality hiko kitu siwezi

Napata visavingi sana kwa watu ambao wanaenda kupima na kujulikana ni positive..

Happ ndipo huanza kuwa weak kabisa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…