Wewe tulia nenda kapime kaa baada ya miezi mitatu pima tena weka kupima kama desturiMkuu hapa nitasema nitaenda kupima ila in reality hiko kitu siwezi
Napata visavingi sana kwa watu ambao wanaenda kupima na kujulikana ni positive..
Happ ndipo huanza kuwa weak kabisa..
KumbeHuko ni kupendwa.Anagawiwa kila kitu kimfaacho.Ana bahati ya mtende.
Mkuu possibly ya kuwa na hivo vidudu ni ngapi ya ngapi maana kama dawa anatumiaPole Sana mkuu
Mkuu kupima is not simple like that.....Wewe tulia nenda kapime kaa baada ya miezi mitatu pima tena weka kupima kama desturi
Mtu anajijua yeye yupo wrong alafu anafosi mimi nikapime ili agundue nini.... Mkuu upo sawa weweLengo la kukwambia ukapime anataka ajue status yako ili aweze kukulinda
Mkuu possibly ya kuwa na hivo vidudu ni ngapi ya ngapi maana kama dawa anatumia
Wewe kweli ni Poor Brain!Habari za muda huu ndugu zangu,
Wakuu nina week sasa nimekuwa na hali ya unyonge tangu nikutane na kopo la vidonge kwenye droo la huyu mwenzangu.
Hali ambayo imenistua zaidi hivi vidonge nina asilimia mia ni vya HIV.
Kuna siku nilimfuma anakunywa kwa siri nikauliza akasema ni dawa za vidonda vya tumbo..
Wakuu nina wasi wasi sana maana hata ishu ya kupima yeye ndio alifosi mimi nikapime nimletee majibu.
Baada ya kusema hivo nikajiwekea asilimia mia kua yeye yupo salama..
Ila mpaka sasa nimekua na wasi wasi mno.
Nataka kujua yafuatayo wakuu wenye experience hivi mtu anayetumia dawa vizuri kabisa ni kweli hawezi kuambukiza au ni story za vijiweni...?
Na ile ya kusema kuna watu hawapati virusi ni kweli au ? maana mpaka sasa naona nipo poa kabisa...
Wakuu ni week sasa hata hamu ya kula chakula cha usiku sina mpaka ananistukia sasa...
Najuta.... Kitu kinachoitwa kupima kwa sasa HAPANA
Kapime wewe huo wasiwasi ndo utakuwa sasaHabari za muda huu ndugu zangu,
Wakuu nina week sasa nimekuwa na hali ya unyonge tangu nikutane na kopo la vidonge kwenye droo la huyu mwenzangu.
Hali ambayo imenistua zaidi hivi vidonge nina asilimia mia ni vya HIV.
Kuna siku nilimfuma anakunywa kwa siri nikauliza akasema ni dawa za vidonda vya tumbo..
Wakuu nina wasi wasi sana maana hata ishu ya kupima yeye ndio alifosi mimi nikapime nimletee majibu.
Baada ya kusema hivo nikajiwekea asilimia mia kua yeye yupo salama..
Ila mpaka sasa nimekua na wasi wasi mno.
Nataka kujua yafuatayo wakuu wenye experience hivi mtu anayetumia dawa vizuri kabisa ni kweli hawezi kuambukiza au ni story za vijiweni...?
Na ile ya kusema kuna watu hawapati virusi ni kweli au ? maana mpaka sasa naona nipo poa kabisa...
Wakuu ni week sasa hata hamu ya kula chakula cha usiku sina mpaka ananistukia sasa...
Najuta.... Kitu kinachoitwa kupima kwa sasa HAPANA
Inavuka "af moya" mkuu.Kaa chonjo saa mbaya mkuu.Mkuu possibly ya kuwa na hivo vidudu ni ngapi ya ngapi maana kama dawa anatumia
Is not fair kabisa... An ananiambie nikapime mi mawazo yangu yote she is oky na anajijali aiseeeeWatu wenye maambulizi hawanaga huruma.jichunge mwenyewe
Maisha haya unalalaje na mtu bila kupima??
Naendelea kupoa mkuuNoma sana pole sana mkuu
They are very serious kea suala la kupima ila deep down ndo hvoMimi kuna mmoja alisema tukapime, nilipofika hospital nampigia anaongea maneno yasioeleweka, nilipokutana nae anasema kuna mwalimu anamtaka na waliwahi kwenda wote kupima yeye na huyo sir teacher walikua salama ila hakutaka kumpa k yake. Akili ikanicheza huyu anataka nijichanganye
Kupima ulienda?Habari za muda huu ndugu zangu,
Wakuu nina week sasa nimekuwa na hali ya unyonge tangu nikutane na kopo la vidonge kwenye droo la huyu mwenzangu.
Hali ambayo imenistua zaidi hivi vidonge nina asilimia mia ni vya HIV.
Kuna siku nilimfuma anakunywa kwa siri nikauliza akasema ni dawa za vidonda vya tumbo..
Wakuu nina wasi wasi sana maana hata ishu ya kupima yeye ndio alifosi mimi nikapime nimletee majibu.
Baada ya kusema hivo nikajiwekea asilimia mia kua yeye yupo salama..
Ila mpaka sasa nimekua na wasi wasi mno.
Nataka kujua yafuatayo wakuu wenye experience hivi mtu anayetumia dawa vizuri kabisa ni kweli hawezi kuambukiza au ni story za vijiweni...?
Na ile ya kusema kuna watu hawapati virusi ni kweli au ? maana mpaka sasa naona nipo poa kabisa...
Wakuu ni week sasa hata hamu ya kula chakula cha usiku sina mpaka ananistukia sasa...
Najuta.... Kitu kinachoitwa kupima kwa sasa HAPANA
Mkuu unalala na nyoka kabisa an..Kama amekuwa mwaminifu kumeza wanasema uwezekano wa kuambukiza ni negligible, kuwa na amani mkuu. Changamoto ni namna ambavyo mtu anakula dawa kwa siri na mnajifunika shuka moja.
Kama anatumia dawa vizuri hajakuambukiza.nenda kapime maana hofu ni mbaya.itakuuaMtu anajijua yeye yupo wrong alafu anafosi mimi nikapime ili agundue nini.... Mkuu upo sawa wewe
Kama viral load yake ni undetectable, basi utakuwa umeponea.Still am strong blood