ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Acha kukurupuka ,soma comment yangu hapo Juu kuhusu Hilo.Madelu anasema so long as kuna gari nyingi namba E barabarani, harusi zenye nyomi kwa wingi na mnajazana kwenye shopping malls hizo ni alama za uchumi imara.
Hilo la kushuka thamani kwa sarafu si tatizo kwa serikali hii inayotetemekewa kwa furaha na kila mwananchi.
Au siyo ndugu Lucas mwashambwa na ChoiceVariable ?🤣🤪
Tangu lini kushuka Kwa thamani ya Shilingi kumezuia maendeleo ikiwemo kupata maji,umeme na ugali?