Wiki tatu nyuma Ksh dhidi ya Tsh ilikuwa 16.3, Leo 21.1. Wachumi wa Tanzania mnatusaidiaje?

Wiki tatu nyuma Ksh dhidi ya Tsh ilikuwa 16.3, Leo 21.1. Wachumi wa Tanzania mnatusaidiaje?

Thamani ya Sarafu Haina maana yeyote kubwa kwenye uchumi wa Nchi na welfare.

Sana sana labda inaweza kuwa ni athari kwenye Nchi Kwa kuongeza deni la Serikali ila Kwa individual level hakuna issue sana.

Ndio maana pamoja na Sarafu ya Uganda,DRC,Burundi nk kuwa Juu ya Shilingi yetu ila hakuna kitu wametuzidi.

Mwisho sababu kubwa ni uhaba wa dollar au gedha zingine za kigeni.
Bro shilingi ya Tanzania ni kubwa kwa shilingi ya Uganda.
 
Unaelewa maana ya shilingi kuimarika zaidi ya nyingine yaan inapunguza gape la thamani.

Jitambue kilaza wewe!
 
Unaweza kuzalisha halafu wakenya wasinunue.

sema angalia kile unanuaga sana kutoka kenya,ndiyo ukizalishe ili uuze ndani.unaweza kuta tunahangaika na maziwa ya kenya badala ya kuwawezesha wawekezaji kwenye ufugaji wa tija na viawanda vya maziwa vikapewa ruzuku.

Yaani soln ni kuwekeza kimkakati zaidi.

sasa unakuta mmsai anakamua lita kumi za maziwa kutoka kwenye ngombe 20
Inasubiria uwezeshwe badala ya kujiwezesha? Wajamaa bana
 
Hii sio sababu .....huwezi kwepa huduma

Solution ni kuzalisha sana ili tuuze kenya tukiuza kenya tunakuwa na akiba kubwa ya pesa yao


Kinachotucost sisi tunanunua tu bila kuuza

Ndio maana sio kenya tu mpaka dollar inapanda balaa dhidi ya shilingi yetu..
 
Pamoja na thamani ya fedha ya Kenya kuwa juu ila Tanzania maisha ni mepesi. Nilikuwa Nairobi juzi, Watanzania tutembee kidogo tujionee hali halisi ya hawa tunaoambiwa wametuzidi.
 
Bro hizo zilizoandikwq hapo sio realistic. Kama mbishi niletee dola 5,000 kwa exchange rate hiyo niko nitainunua.
Tofautisha black market na official market ukienda banks inapewa Kwa hizo rates hapo ilaukienda huko vichochoroni lazima upigwe
 
Pamoja na thamani ya fedha ya Kenya kuwa juu ila Tanzania maisha ni mepesi. Nilikuwa Nairobi juzi, Watanzania tutembee kidogo tujionee hali halisi ya hawa tunaoambiwa wametuzidi.
Sio mepesi sema nafuu.Ndio maana nimewaoza watu ni lini walikosa ugali au maji Kwa sababu za exchange rates?

Hiyo hainaga maana yeyote ya msingi kwenye uchumi,ni sawa na mambo ya inflation
 
Sio mepesi sema nafuu.Ndio maana nimewaoza watu ni lini walikosa ugali au maji Kwa sababu za exchange rates?

Hiyo hainaga maana yeyote ya msingi kwenye uchumi,ni sawa na mambo ya inflation
Mepesi kulinganisha na Kenya boss.

Kuhusu exchange rate kuwa juu kuna madhara kwa sababu demand ya pesa yetu inapokuwa chini huko duniani ina maana tunahitaji fedha nyingi zaidi kupata huduma mfano mafuta, na mafuta yakishakuwa juu hapo tayari bidhaa zinapanda bei.

We sema si tatizo jipya sababu dolla imekuwa ikipanda tangu uhuru.
 
Tofautisha black market na official market ukienda banks inapewa Kwa hizo rates hapo ilaukienda huko vichochoroni lazima upigwe
Unaelewa maana ya black market?

Kwenye black market kitu kikiwa kinauzwa huko sokoni 100 basi black market unakipata kwa chini ya hapo mpaka nusu Bei.

Rate unayoiona kwenye website za BUREAU au BOT kamwe huwez badilisha nayo pesa wenye pesa ambazo n bank na taasisi za kifedha huzibadilisha kwa Zaid ya asilimia 30%.

Angalia crdb, nmb, equity bank na kcb wanabadilishia kwa ngapi utakachokiona huo ndio uhalisia wa thamani ya pesa ya taifa lako dhidi ya taifa lingine ila black market unapata chini ya hapo
 
Kupanda na kushuka kwa thamani sio indicator ya uchumi wetu umekuwa au umeshuka kwa sababu kiuchumi nchi inaweza ikawa na sera ya devaluation and appreciation ambapo watakapo itumia ile kucontrol imports and exports kwa mfano watakapo taka kuongeza exports lazima wapunguze value ya fedha yake against fedha ya kigeni na watakapo taka kucontrol imports lazima wapandishe thamani ya fedha yao against fedha ya kigeni na muda mgeni unategemea na tunatumia njia gani katika exchange rate kwa tanzania tunatumia managed exchange rate na kutokana huaba ya dola inapelekea kuathiri exchange rate kwa sababu tunahitaji fedha za kigeni kumanage exchange rate against foreign curreny
 
Thamani ya Sarafu Haina maana yeyote kubwa kwenye uchumi wa Nchi na welfare.

Sana sana labda inaweza kuwa ni athari kwenye Nchi Kwa kuongeza deni la Serikali ila Kwa individual level hakuna issue sana.

Ndio maana pamoja na Sarafu ya Uganda,DRC,Burundi nk kuwa Juu ya Shilingi yetu ila hakuna kitu wametuzidi.

Mwisho sababu kubwa ni uhaba wa dollar au gedha zingine za kigeni.
Ina maana kaka tuulize sidi tunafanya biashara na nchi jirani
 
Back
Top Bottom