Wiki tatu nyuma Ksh dhidi ya Tsh ilikuwa 16.3, Leo 21.1. Wachumi wa Tanzania mnatusaidiaje?

Acha kukurupuka ,soma comment yangu hapo Juu kuhusu Hilo.

Tangu lini kushuka Kwa thamani ya Shilingi kumezuia maendeleo ikiwemo kupata maji,umeme na ugali?
 
Chanzo chako cha taarifa ni kipi? Umeandika upotoshaji mtupu. Tangu lini shilingi ya Uganda ni bora kuliko ya Tanzania? Halafu naona kuna nyumbu zinakupa sapoti.
 
Haki ya Mungu Wallah Mungu anakuona.
Ina athari. Mfano dolla kama ilikuwa 2400 now 2600 ina maana kama nilikuwa nikitaka kwenda china kufauta mzigo, nikihitaji dollar 10000, nilikuwa ninatumia milioni 24 sasa nitatumia milioni 26. Maana yake ni kwamba nikiuleta nitaongeza bei ili kufidia hilo ongezeko.
Mwananchi atanunua bidhaa zikiwa zimepanda halafu wewe unasema haina athari.
Mimi kwa sababu si mzalendo na nina maslahi na shilingi ya Kenya kustabilize against TZ, kwangu ni faraja ila ukweli effect ipo.
And shilingi ya Uganda haijawahi kuwa an thamani zaidi ya shilingi ya TZ mkuu.
 
 
Yawezekana kabisa wewe ni msomi wa uchumi kutoka UDSM na Wala haujui ulichokisoma

Yani kuporomoka Kwa sarafu yetu hakuna tatizo Kwa wananchi?

Wakati tunanunua mafuta Kwa bei ya juu Kwa sababu shilimgi yetu imeporomoka alafu wewe unasema Haina shida
 
Unaweza mlaumu Mwigulu mambo mengine ila sio Hela yetu vs Kenya, wakati Mwigulu anachukua hio nafasi ksh 1 ilikua tsh 22, hela ya Tanzania ilipanda sana against kenya na watu wengi Nawafahamu wamepiga pesa ya kutosha kwa kununua vitu kenya.
Kwani ni Kenyan shilling tu?? Almost every currency inaaprreciate against ours. Mwigulu kichwa maji uchumi wa kukariri darasani field sifuri na blah blah nyingi.

Iko siku majuzi tu hapa Kimei alitoa lecture ya Uchumi pale bungeni mpaka wabunge wakamuongeza muda aendelee na darasa. That was a message kwa muhimili uliojikita chini, Mwigulu ni mpiga kelele tu.
 
Masisitiza hakuna shida yeyote ya maana zaidi ya hicho nimekieleza hapo Juu.

Sarafu hii imeanza Kuporomoka Toka awamu ya kwanza Hadi Leo hii ilaumeona imezuia nini hasa kupatikana?

Pili ,Sarafu ya Tanzania vs Kenya ilikuwa kati ya 19-21 Kwa miaka Mingi sana so hapa imerejea kwenye viwango vyake vya siku zote.
 
Tupe dhidi ya USD , ilikuwaje?
 
Hiyo imeshajifia miaka na inazidi kufa kibudu...mkenya akija tanzania kuspend akibeba laki 3 ya kwao hamalizi mpka anarudi kwao
 
Kati ya Mkenya na Mtanzania wakiwa na pesa yenye thamani sawa katika nchi zao husika ni nani ana purchasing power kubwa katika kupata bidhaa na huduma?
 
Uchumi upo vizuri. Watu tunanunua magari, foleni bank za kufa mtu. Harusi zinajaa, bars na guest houses zinajaa. Hayo mengine ni minor things.
 
Hivi CCM huwa wanatoa wapi takataka kama hizi kuwa chawa wa mama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…