Habari zenu madaktari
Nilipàta maumivu kiasi ya tumbo chini ya kitovu nikaenda hospital binafsi hapa mjini mbeya.
Nilifanyiwa kipimo cha ultrasound kikaonyesha kuwa kila kitu kipo vizuri ila mtoto bado hajageuka,ujauzito ni wiki ya 31 sasa, EDD ni 1/1/2019 wakuu hapa MNA maoni! Ushauri gani?
Nikipata mitazamo tofauti tofauti nitashukuru sana kwakweli.
Nilipàta maumivu kiasi ya tumbo chini ya kitovu nikaenda hospital binafsi hapa mjini mbeya.
Nilifanyiwa kipimo cha ultrasound kikaonyesha kuwa kila kitu kipo vizuri ila mtoto bado hajageuka,ujauzito ni wiki ya 31 sasa, EDD ni 1/1/2019 wakuu hapa MNA maoni! Ushauri gani?
Nikipata mitazamo tofauti tofauti nitashukuru sana kwakweli.