- Thread starter
- #41
Wewe ni 1 kati ya watu mil 60 usipofanyiwa wewe wenzako wanafanyiwa muulize MO.Sijawahi kuwaona hao wanaotekwa, wala hakuna ndugu yangu, jamaa yangu wala jirani yangu, wala mwanamtaa wangu, wala jirani na mtaa wangu aliyetekwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni 1 kati ya watu mil 60 usipofanyiwa wewe wenzako wanafanyiwa muulize MO.Sijawahi kuwaona hao wanaotekwa, wala hakuna ndugu yangu, jamaa yangu wala jirani yangu, wala mwanamtaa wangu, wala jirani na mtaa wangu aliyetekwa.
Am telling you this time mtajua hamjui kama mnategemea wizi wa kura mtashangaa dili ya mawakala imefeli almost 90% wameapishwa.Wewe hadi unaleta hapa si tayari una evidence, kwa nini usianze safari ya kwenda kushitaki huko mnakoona mtapata haki
New members mmejaa sana kipindi hiki 🤣🤣🤣🤣Plan B ni kutoka barabarani nchi nzima pale tutakapotakiwa kufanya hivyo. Hakuna kinachoweza kuzuia nguvu ya umma.
Itakuwa haina maana yoyote ikiwa tumechagua Rais wetu alafu tukubali kirahisi tu kwamba hakutangazwa mshindi ikiwa ameshinda.
kutoka barabarani siyo kizazi hiki mkuu....... watz tunaishia mtandaoni tu.......hebu fikiria uone mwenzio amepasuliwa ubongo ...mbele yako we utabaki?Plan B ni kutoka barabarani nchi nzima pale tutakapotakiwa kufanya hivyo. Hakuna kinachoweza kuzuia nguvu ya umma.
Itakuwa haina maana yoyote ikiwa tumechagua Rais wetu alafu tukubali kirahisi tu kwamba hakutangazwa mshindi ikiwa ameshinda.
Jeshi letu halina unifomu nyeusi na wanyoa viduku.Wewe hadi unaleta hapa si tayari una evidence, kwa nini usianze safari ya kwenda kushitaki huko mnakoona mtapata haki
Acha porojo, JPM MITANO TENAAm telling you this time mtajua hamjui kama mnategemea wizi wa kura mtashangaa dili ya mawakala imefeli almost 90% wameapishwa.