Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
We naye unanitafuta maneno tu, kama kweli mnataka jamii isiendelee kuharibika basi himizeni maadili kwa jinsia zote siyo kwa wanawake tu, kwa sababu hata wanaume kukosa maadili nako kumechangia tena kwa kiasi kikubwa tu jamii kufika hapaJadda una lolote la kusema?