Alfred
JF-Expert Member
- Apr 13, 2008
- 2,093
- 2,843
Poleni na Majukumu ya Siku Ndugu zangu WanaJF.
Awali ya yote Tumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia Afya njema, pia kwa kutujalia kuiona hii siku nyingine takatifu mbele zake!
Karibuni Katika Bandiko hili, Niulize chochote ambacho kitasaidia kuijenga jamii yetu, wanaJF na hata wasomaji na wataokuja kusoma Jukwaa Hili Miaka ijayo na hata baada ya kizazi chetu Kupita!
Karibuni sana, Asanteni!
ALFRED
Awali ya yote Tumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia Afya njema, pia kwa kutujalia kuiona hii siku nyingine takatifu mbele zake!
Karibuni Katika Bandiko hili, Niulize chochote ambacho kitasaidia kuijenga jamii yetu, wanaJF na hata wasomaji na wataokuja kusoma Jukwaa Hili Miaka ijayo na hata baada ya kizazi chetu Kupita!
Karibuni sana, Asanteni!
ALFRED