Wikiendi yangu ya leo

Sio kwel mkuu pisi zipo sema ni smart sana , zinajilinda kukumbana na vijana wa ovyo , tulio jazana humu , zile za insta ni changanyikeni njaa kali na mwajuma ndala ndefu .
Sure , i had a trip to Moshi town last 3 weeks, niliitwa na member mmoja humu, japo alikuja kwa id mpya ili nisimtambue, ilikua ni mazungumzo strict ya kazi. Aloo, kuna pisi humu. Sema yeye ni age go kidogo around 40 hiv, kashuka zake mwenyewe ana push Harrier yake kali. Tukamaliza nikasepa kurud town ,na hiyo id sijaona tena ikiwa active ndio nikajua ilikua kikazi zaid..
So , wapo wanawa zoom tu vujana mnavyoleta makeke ya kifala fala, mara ooh single maza, mara nyoko nyoko,๐Ÿ™„wao kimyaaa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Women are so clever.
 
Nakubaliana na wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ