Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebu njoo tujadili hili kwa kina mida ya saa 4 usiku pale kwa masawe 😀Unalipia kila mwaka 500k🤸😂
Kweli mkuu, ila kichwa kimevurugikaPesa hiyo mtaani unauweza wa kumwaga maji mwezi mzima non stop
Naijua hiyoEbu njoo tujadili hili kwa kina mida ya saa 4 usiku pale kwa masawe 😀
Nawasubiri, nafasi ni moja tuNgoja waje
Wahi mapema, nafasi ni moja tu; hakuna kula tembele leoSawa mkuu
namba angu ni ileile weka ya wine 😂😂niendele kukuombea usifumaniwe shenzi weweNjoo kwenye mtoko 😀
Sio kwel mkuu pisi zipo sema ni smart sana , zinajilinda kukumbana na vijana wa ovyo , tulio jazana humu , zile za insta ni changanyikeni njaa kali na mwajuma ndala ndefu .Jf hamna pisi kali, hili tangazo peleka insta huko utakimbia mwenyewe.
Ila hapa kwakweli sidhani.
We njoo tu, na upigilie pamba kali zile za sikukuuNaijua hiyo
Hii ni kufurahi na marafiki, hakuna biashara 😀Dau lake sjaona au n mrembo wa K3 kula, kulwa na kunyweshwa.
Hata kama sisi ni peace mbovu, we don keaaa anymore....Jf hamna pisi kali, hili tangazo peleka insta huko utakimbia mwenyewe.
Ila hapa kwakweli sidhani.
😀 😀 😀 wine gani unakunywanamba angu ni ileile weka ya wine 😂😂niendele kukuombea usifumaniwe shenzi wewe
Jiandae kupata kipigo
Dah nimelia sana 😭Hatutembezi nyapu nje nje kama mbuzi WA insta
"Akipita watu wanageuka". 🥴🥴 naijuwa hyo🥴.Hii ni kufurahi na marafiki, hakuna biashara 😀