orturoo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 2,947
- 4,876
Kamrekebishie huko hukoTaadhari❌
Tahadhari✅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamrekebishie huko hukoTaadhari❌
Tahadhari✅
Sawa sawa😊 nitaamini tu kwa sababu binadamu ni wale wale tu kichwa miguu masikio mdomo na nk labda uwe na masikio kama ya aliens 👽
kwa afya yangu mimi chupa 1😂😂😂😂sijui afya za wengineHii kwa kawaida na kiafya, mtu anatakiwa atumie kiasi gani
nna videos kadhaa za Xavier Thicc akiwakuna vizuri sana kina BrendaHapo mwamba kama vile naona hesabu zako.
"Hv kwenye 500k natoa kopo za babycare ngapi, au tubadili radha kdg nichukue vaseline. Ongezea bando la kuingia brazzers au pornhub."
Wakulungwa wanasema sitafanikiwa, kwa sababu sijaweka mgao wa pisi kali 😀Kwa bajeti hy ukifeli ulaumiwe
Hongereni kwa ugreat thinker mkuu.Hata kama sisi ni peace mbovu, we don keaaa anymore....
ila pisi za humu ziko na mahusiano imara
Zimestirika na wengine tunakaribia kustirika soon
Hatutembezi nyapu nje nje kama mbuzi WA insta, yote Tisa., Kumi, sisi ni great thinkers s unajua ten uzuri bila akili ni ulemavu.
Kalaghabaho jf hamna pisi kijana, ukumbuke kuna vidume vina id za kike.Sio kwel mkuu pisi zipo sema ni smart sana , zinajilinda kukumbana na vijana wa ovyo , tulio jazana humu , zile za insta ni changanyikeni njaa kali na mwajuma ndala ndefu .
Ni ukweli mkuuWakikusikia watakuponda mawe mkuu
Hahahahahanna videos kadhaa za Xavier Thicc akiwakuna vizuri sana kina Brenda
nakwea nazo chap, nikifika Tabata zile pisi naona ni takataka
Hii ya wanaume kutumia id za kike haina afya kabisaKalaghabaho jf hamna pisi kijana, ukumbuke kuna vidume vina id za kike.
Usijezama pm ukatumiwa picha kali ukadhani ni yeye.
Hujawahi kusikia story ya giresi toka kwa mwanajf mwandamizi?? Hayaa
Mimi sio pisi kali, ila naomba elf kumi ninywe bia, safari kubwa za moto tano.Nina ka mia tano hapa mfuko wa shati 😀, natafuta pisi inayojitambua tukaitumie jioni ya leo.
Matumizi yatakuwa kama ifuatavyo:-
Chakula.........100,000/= Vinywaji.........200,000/= Malazi..............100,000/= Tahadhari........100,000/=Kama unajiamini wewe ni pisi kali, ukipita sehemu lazima watu wavunjike shingo kwa kukutazama, sogea karibu uje ufurahi na marafiki.
Sawa amini hivyo.Hii ya wanaume kutumia id za kike haina afya kabisa
Ni kweli na pia kuna step umeruka hapo ila huwezi kujua weekend ndefu hiiWakulungwa wanasema sitafanikiwa, kwa sababu sijaweka mgao wa pisi kali 😀
HahahahahaMimi sio pisi kali, ila naomba elf kumi ninywe bia, safari kubwa za moto tano.
Natanguliza shukrani.
WametegwaDah wanawake huko walipo Sasa hivi nafsizinashindana na moyo
Tatizo wewe una mambo mengi 😀Mimi sio pisi kali, ila naomba elf kumi ninywe bia, safari kubwa za moto tano.
Natanguliza shukrani.
Picha ya huyo binti unayo ? NaombaHahahahaha
Hv ule msambwanda alomega mwanetu RC umekupita salama kweli, isije kuwa ulivaa uhusika upo kwenye crown unapiga backshots tu na makofi juu
Mkuu kuna I'd hata ukinusa tu unatambua huyu ni bakari .Kalaghabaho jf hamna pisi kijana, ukumbuke kuna vidume vina id za kike.
Usijezama pm ukatumiwa picha kali ukadhani ni yeye.
Hujawahi kusikia story ya giresi toka kwa mwanajf mwandamizi?? Hayaa