Wikileaks wadai Afrika inachunguzwa na CIA kwa kutumia vifaa kama simu za mkononi na runinga

Wikileaks wadai Afrika inachunguzwa na CIA kwa kutumia vifaa kama simu za mkononi na runinga

mbona rahisi tu...wewe mpigie mtu simu,akipokea anzisha mazungumzo halafu chomekea maneno haya

"I'm planning to attack america tomorrow".

"my jihad brothers are on the way to USA to attack the white house".

" the suicide vest is complite".

pia unaweza ukayabadili kwa kiluga chenu almradi tu uwe unayatamka hewani ktk simu.

halafu sikilizia.
Hata nikiyatamka kwa kimasai?
 
kWENYE teknoilojia Any receiver is a transmmiter and any transmeter is a receiver.Uwe na TV yoyote,radio yote zinakuwa na uwezo wa kupokea vitu hewani na zina uwezo wa kupeleka mbele kwa mbele kutoka ulipo kwenda kokote.TV UNAITAZAMA NA YENYEWE INAKUTIZAMA MTU AWEZA kukuona hadi sebuleni kwako kupitia tv yako akiwa marekani au popote.Huu ulimwengu wa digitali una uzuri wake na mambo yake

Acha uongo, huko Lumumba ndo elimu mnayofundishwa hii.?
 
kWENYE teknoilojia Any receiver is a transmmiter and any transmeter is a receiver.Uwe na TV yoyote,radio yote zinakuwa na uwezo wa kupokea vitu hewani na zina uwezo wa kupeleka mbele kwa mbele kutoka ulipo kwenda kokote.TV UNAITAZAMA NA YENYEWE INAKUTIZAMA MTU AWEZA kukuona hadi sebuleni kwako kupitia tv yako akiwa marekani au popote.Huu ulimwengu wa digitali una uzuri wake na mambo yake

Acha uongo, huko Lumumba ndo elimu mnayofundishwa hii.?
 
mbona rahisi tu...wewe mpigie mtu simu,akipokea anzisha mazungumzo halafu chomekea maneno haya

"I'm planning to attack america tomorrow".

"my jihad brothers are on the way to USA to attack the white house".

" the suicide vest is complite".

pia unaweza ukayabadili kwa kiluga chenu almradi tu uwe unayatamka hewani ktk simu.

halafu sikilizia.
Hahahahaha hahahahaha uko deep
 
yani ninacho jifunza juu ya hili, naona hawa majamaa wanataka kujivika umungu mtu kujifanya kuiweka dunia kiganjani....
nashangaa kitu kimoja, sawa mnatuona mubashara kwenye simu zetu na ma tv, lakin wanaweza vp ku control wingi wa watu dunia nzima kama sio kufosi u Mungu!
 
mbona rahisi tu...wewe mpigie mtu simu,akipokea anzisha mazungumzo halafu chomekea maneno haya

"I'm planning to attack america tomorrow".

"my jihad brothers are on the way to USA to attack the white house".

" the suicide vest is complite".

pia unaweza ukayabadili kwa kiluga chenu almradi tu uwe unayatamka hewani ktk simu.

halafu sikilizia.
Mkuu pipo hawajui mambo mengi kwasababu hawafatilii mambo mengi. Leo Julian Asange alikuwa anajibu maswali kuhusiana na hizo documents walizopublish mkuu CIA wanasoftwere ambayo huiwezi kui tresi aliyeitumia, aliyetengeneza, yaani haiachi print yoyote hata wao hawawezi kujua agent, liason au CIA contractor gani kaitumia hata wao WIKI LEAK hawawezi kuihack.

Assange anadai CIA hawana anae i kontrol wanafanya hata kazi za NSA ss huyobl wa iPhone anahisi yupo salama ni kutokujua yupo dunia ya watu gani
 
Hata nikiyatamka kwa kimasai?
Mkuu usijaribu, hawatojua kuwa unajaribu. Itakupa shida sana.
Ngoja nikupe senario:
Kuna jamaa alishawai kuniambia kuwa nchi ya Israel inefanya tafiti za lugha nyingi na kuzihifadhi ktk softwere hivyo mazungumzo yyote hatarishi ktk devices ina detect hii aliniambia inafanyika sana ni ndani ya Israel. So,CIA can go beyond that.

Kumbuka alichokisema Snowden kuhusu usiri wa watu ktk nazungumzo ya simu.

Senario ya mwisho.
Jirani yangu ni dereva US embassy DSM. Kuna siku mfanyakazi wa gari la maji alipitisha gari nyumbani kwake kutokana na shida ya maji, mkewe na majirani kama wanne wakawa wanachota kutoka ktk ile gari. Kumbe camera ya ile gari inatuma image Pentagoni then ndo inarudishwa ubalozini. Pentagon wakapiga simu kuwa hiyo gari isirudi ubalozini ba jamaa ikawa mwisho wa kazi.

Don't try what you are suggesting itakukost....
 
mbona rahisi tu...wewe mpigie mtu simu,akipokea anzisha mazungumzo halafu chomekea maneno haya

"I'm planning to attack america tomorrow".

"my jihad brothers are on the way to USA to attack the white house".

" the suicide vest is complite".

pia unaweza ukayabadili kwa kiluga chenu almradi tu uwe unayatamka hewani ktk simu.

halafu sikilizia.

Haaa haaa haaaa haaa haaaa, teeeh teeeh teeeh,
Naona unamfundisha jamaa yako, namna ya kuonja sumu ili aone kama inaua!!
 
Ukweli ni kuwa udukuzi upo mi nilisoma program moja hivi ya internet, wakaeleza kuwa ukiunganishwa na internet tu hauko salama kabisaa.

Wakaenda, mbali zaidi kuwa microwave, friji, na vifaa vyote vya electronic ni majanga.

Maana , wanaeleeza kuwa hata kama ukizima hivyo vifaa bado kuna chembechembe Fulani hazizimi zinadukua kimyakimya .

Pia, pana mwingine ameuliza kuwa watu tuko wengi au billions tunaotumia internet na simu kwa kifupi ni kuwa CIA na intelligence system nyingi zimetengeneza xinaitwa intelligence software sytem ambayo imewekewa language code detectors , ambazo wakati ukiongea hiyo software inachambua automatically hizo coded languages/ words ili Simu uliyopiga ichunguzwe zaidi kwa hiyo wote billion tukiongea wanachukua zile Simu ambazo software itakuwa imetoa ishara kuwa Simu mbili au nne haziko salama.

Sasa hapo, utaona vitengo vile 5 vya CAI hapo chini vinachukua nafasi yake hadi utadakwa tu.


Zaidi, aliyesema tutumie barua, mfano makao mkuu ya CIA, wana vitengo kama 5
1. Mathematicians
2. Information system technicians ( computer experts and internet - ,ICT unity )
3. Linguistics mfano, USA wana hiki kikundi cha peace corps wale wanajifunza hadi lugha mama kisha wanaenda kutengeneza language codes za hizo lugha kwa hiyo hata ukiongea kimasai wataelewa tu ( MF. Kimasai, haajifunzi mambo yote wana mbinu za kujifunza maneno wanayoyataka na ndiyo maana basi hao peace corps wa kutoka USA huwa wanafanyiwa mafunzo kabla ya kuja huku Africa hata Tz mfano, mwaka huu wana kuja 50 hapo Tanzania)
4. Biologist hasa wale wa maabara
5. Na Intelligence analysits

Sasa hapo kila watu, wanafanya kazi zao.

Mfano, ukisema utumie barua , barua ikiwa na utata wanaipeleka maabara kitengo na 4, wanafanya kazi ya kutafuta aina ya wino ulioandikia, umetoka nchi/ umetengenezwa nchi ipi? Na kisha linguistics wanatoa maana ya maneno uliyoandika kisha intelligence analyst wanafanya kazi zao.

Kwa kifupi, ni kuwa hauko salama na pia uko salama.

Mfano, gaidi atajulikana hayupo salama.
Asiye gaidi itamsaidia kuwa salama.maana kila mahala alipo ataonekana na kusaidia hata kama uko katika matatizo.

Kwa hiyo usiri na maisha ya pekee ( privacy ) ni hakuna tena.

Maoni zaidi wadau .
 
CIA wanakulaa tu ubuyu yan ad mechi za usiku wenyewe wanazifaidi freeeeee#the more u adapt the more u live
 
Kama wewe sio gaidi sioni cha kuogopa hapo,wadukue tu sana sana watakutana na msg za michepuko yangu na call za kuomba nyuchi.uzuri ni kwamba wakiona kiashilia kibaya kwa nchi wanazipa taarifa mamlaka husika ziweze kufatilia.ni kitu kizuri kwa ulinzi wa dunia yetu dhidi matukio ya kikatili ya kigaidi.waendelee tu
upo mbali sana na ukweli
 
Back
Top Bottom