mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Hii teknologia ya udukuzi watawala wa kiafrika wakiipata twafaaaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata nikiyatamka kwa kimasai?mbona rahisi tu...wewe mpigie mtu simu,akipokea anzisha mazungumzo halafu chomekea maneno haya
"I'm planning to attack america tomorrow".
"my jihad brothers are on the way to USA to attack the white house".
" the suicide vest is complite".
pia unaweza ukayabadili kwa kiluga chenu almradi tu uwe unayatamka hewani ktk simu.
halafu sikilizia.
kWENYE teknoilojia Any receiver is a transmmiter and any transmeter is a receiver.Uwe na TV yoyote,radio yote zinakuwa na uwezo wa kupokea vitu hewani na zina uwezo wa kupeleka mbele kwa mbele kutoka ulipo kwenda kokote.TV UNAITAZAMA NA YENYEWE INAKUTIZAMA MTU AWEZA kukuona hadi sebuleni kwako kupitia tv yako akiwa marekani au popote.Huu ulimwengu wa digitali una uzuri wake na mambo yake
kWENYE teknoilojia Any receiver is a transmmiter and any transmeter is a receiver.Uwe na TV yoyote,radio yote zinakuwa na uwezo wa kupokea vitu hewani na zina uwezo wa kupeleka mbele kwa mbele kutoka ulipo kwenda kokote.TV UNAITAZAMA NA YENYEWE INAKUTIZAMA MTU AWEZA kukuona hadi sebuleni kwako kupitia tv yako akiwa marekani au popote.Huu ulimwengu wa digitali una uzuri wake na mambo yake
Unajua au ulisimuliwa au ushabiki kwakua unatumia iPhone, kama kweli unajuwa niambie software ya iOS inavyo oparate tofaut na Android au password za fingerprint zinakuleweshaEndelea kujipa moyo
wee jaribu tu ndg. halafu uje utupe mrejesho.....kama utapatwa na matatizo,tutatumia tukio hilo kama case study.Hata nikiyatamka kwa kimasai?
Hahahahaha hahahahaha uko deepmbona rahisi tu...wewe mpigie mtu simu,akipokea anzisha mazungumzo halafu chomekea maneno haya
"I'm planning to attack america tomorrow".
"my jihad brothers are on the way to USA to attack the white house".
" the suicide vest is complite".
pia unaweza ukayabadili kwa kiluga chenu almradi tu uwe unayatamka hewani ktk simu.
halafu sikilizia.
Mkuu pipo hawajui mambo mengi kwasababu hawafatilii mambo mengi. Leo Julian Asange alikuwa anajibu maswali kuhusiana na hizo documents walizopublish mkuu CIA wanasoftwere ambayo huiwezi kui tresi aliyeitumia, aliyetengeneza, yaani haiachi print yoyote hata wao hawawezi kujua agent, liason au CIA contractor gani kaitumia hata wao WIKI LEAK hawawezi kuihack.mbona rahisi tu...wewe mpigie mtu simu,akipokea anzisha mazungumzo halafu chomekea maneno haya
"I'm planning to attack america tomorrow".
"my jihad brothers are on the way to USA to attack the white house".
" the suicide vest is complite".
pia unaweza ukayabadili kwa kiluga chenu almradi tu uwe unayatamka hewani ktk simu.
halafu sikilizia.
Mkuu usijaribu, hawatojua kuwa unajaribu. Itakupa shida sana.Hata nikiyatamka kwa kimasai?
mbona rahisi tu...wewe mpigie mtu simu,akipokea anzisha mazungumzo halafu chomekea maneno haya
"I'm planning to attack america tomorrow".
"my jihad brothers are on the way to USA to attack the white house".
" the suicide vest is complite".
pia unaweza ukayabadili kwa kiluga chenu almradi tu uwe unayatamka hewani ktk simu.
halafu sikilizia.
nyie ndo mkijua kiingereza mnajiona wasomi,Kama vle nakuona povu lnavyokutoka na kitechno chko
upo mbali sana na ukweliKama wewe sio gaidi sioni cha kuogopa hapo,wadukue tu sana sana watakutana na msg za michepuko yangu na call za kuomba nyuchi.uzuri ni kwamba wakiona kiashilia kibaya kwa nchi wanazipa taarifa mamlaka husika ziweze kufatilia.ni kitu kizuri kwa ulinzi wa dunia yetu dhidi matukio ya kikatili ya kigaidi.waendelee tu