SANCTUS ANACLETUS
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,338
- 4,676
Mkuu usijaribu, hawatojua kuwa unajaribu. Itakupa shida sana.
Ngoja nikupe senario:
Kuna jamaa alishawai kuniambia kuwa nchi ya Israel inefanya tafiti za lugha nyingi na kuzihifadhi ktk softwere hivyo mazungumzo yyote hatarishi ktk devices ina detect hii aliniambia inafanyika sana ni ndani ya Israel. So,CIA can go beyond that.
Kumbuka alichokisema Snowden kuhusu usiri wa watu ktk nazungumzo ya simu.
Senario ya mwisho.
Jirani yangu ni dereva US embassy DSM. Kuna siku mfanyakazi wa gari la maji alipitisha gari nyumbani kwake kutokana na shida ya maji, mkewe na majirani kama wanne wakawa wanachota kutoka ktk ile gari. Kumbe camera ya ile gari inatuma image Pentagoni then ndo inarudishwa ubalozini. Pentagon wakapiga simu kuwa hiyo gari isirudi ubalozini ba jamaa ikawa mwisho wa kazi.
Don't try what you are suggesting itakukost....
Mkuu kuna Watu huwa hawakai na kujiuliza maana ya binadamu kuumbwa kwa sura na Mfano wa Mungu.Sisi binadamu ni sehemu ya waumbaji.Watu Wengi wangejua maajabu ya tekinolojia yote iliyokwisha vumbuliwa duniani toka kuwepo kwake wangestaajabu sana.Ngoja dunia iendelee kuwa "kiganja" kutoka kuwa "Kijiji" tutastaajabu zaidi.Juzi nimeona Ndege moja YouTube iki-takeoff na kufanya Landing majini.Maana yake Watu wanaanza kutafuta solution ya Ndege kutua majini panapokuwa na dharura Na nimeona Ndege ikitua kwenye mlima.Maana yake hiyo ni hatua kuelekea kutatua tatizo la Ndege kushindwa kutua mahali pasipo Na uwanja.Tatizo ni sisi Waafrika kuyapa kipaumbele majungu, matukio ya maisha ya Watu wengine Na kusahau kukabiliana Na changamoto zilizo mbele yetu.Watu wanaendelea kuaminishwa Na akina Lusekelo Na Gwajima kuwa tatizo la maendeleo yetu ni uchawi, laana Na mapepo.Tatizo letu ni kupata vyeti halafu tunavifanyia Lamination Na kwenda kuviweka kwenye briefcase Na mabegi Na kisha kusubiria kutangaza sifa za vyeti hivyo kwenye harusi, misiba Na makungamano mbalimbali kwa majina Dr, Prof Na Vinginevyo.