Wikileaks wadai Afrika inachunguzwa na CIA kwa kutumia vifaa kama simu za mkononi na runinga


Mkuu kuna Watu huwa hawakai na kujiuliza maana ya binadamu kuumbwa kwa sura na Mfano wa Mungu.Sisi binadamu ni sehemu ya waumbaji.Watu Wengi wangejua maajabu ya tekinolojia yote iliyokwisha vumbuliwa duniani toka kuwepo kwake wangestaajabu sana.Ngoja dunia iendelee kuwa "kiganja" kutoka kuwa "Kijiji" tutastaajabu zaidi.Juzi nimeona Ndege moja YouTube iki-takeoff na kufanya Landing majini.Maana yake Watu wanaanza kutafuta solution ya Ndege kutua majini panapokuwa na dharura Na nimeona Ndege ikitua kwenye mlima.Maana yake hiyo ni hatua kuelekea kutatua tatizo la Ndege kushindwa kutua mahali pasipo Na uwanja.Tatizo ni sisi Waafrika kuyapa kipaumbele majungu, matukio ya maisha ya Watu wengine Na kusahau kukabiliana Na changamoto zilizo mbele yetu.Watu wanaendelea kuaminishwa Na akina Lusekelo Na Gwajima kuwa tatizo la maendeleo yetu ni uchawi, laana Na mapepo.Tatizo letu ni kupata vyeti halafu tunavifanyia Lamination Na kwenda kuviweka kwenye briefcase Na mabegi Na kisha kusubiria kutangaza sifa za vyeti hivyo kwenye harusi, misiba Na makungamano mbalimbali kwa majina Dr, Prof Na Vinginevyo.
 
Shirika la Ujasusi la kitanzania (Shilawadu) halihitaji software...... 😀
 
Acheni utani huku ninako ishi mimi ni mbali sana hawawezi nichunguza hata kidogo japo natumia kilakitu
 
hahahaha
 
Ndiyo maana inabidi tutengeneze viwanda vyetu ili tutengeneze vya kwetu..
 
Mkuu unaonaje ukatutolea mifano ya matukio yenye uhalisia ambayo hayo mambo yalitumika kugundua uhalifu.
 
Kama ni hivyo Osama asingelipua marekani vitisho amabvyo avina msingi
 
CIA wanahangaika kutupeleleza sisi maskini lakini sidhani kama kuna cha maana watakipata toka kwetu,hizi simu mara nyingi watu wanazitumia kwenye kuwasiliana na michepuko yao,kuweka appointment ya kukutana.Hatuna interest na mambo ya US
 
hahaha umetisha mkuu
ndo hivyo kiongozi maana wadaku wakisikia tu faragha yetu haipiti hata dakika 5 utaipata audio whats app tabu yote yanini kujijazia mamsongo na kupasuana bandama bureee!
 
Haya yaliyosemwa na wikileaks siyaamini hata asilimia 50%
Walishindwa nini kuzui mashambulizi yale yaliyowapata
Na vipi kuhusu wale vijana walio kuwa wana tengeneza passport fake mpaka sasa hawajawapata ni vitisho tu kama walivyozoea kucheza drama zao,

Msiwe wajinga kufikiri na kuchanganua mambo
Kuna baadhi ya mambo ni sawa kama kuhack
Lakini msemavyo friji inawatumia taarifa hasa hivi vitu vya kielectonic si kweli maana si kazi rahisi kwenda kila nchi kuingia na makampuni mkataba na kuchomeka hizo chip sa sijui wameweka WI-FI kwenye jokofu...!

Basi nikitaka kutambua kama kuna utumaji wa taarifa nitatumia njia ya chini kabisa kutambia nawasha kiredio kidogo kisha naanza kukinzungusha ili mawimbi yaingiliane nisikie kikiunguru.
 
Kama ni hivyo Osama asingelipua marekani vitisho amabvyo avina msingi
SHIDA HULETA MAARIFA.BAADA YA HAPO WAKATULIZA VICHWA NA KUPATA HILI WAZO HATA TUKIWA SEBULENI,MSALANI,BAA,KWENYE BAO,KAHAWA NAKADHALIKA BASI WATUONE AU WATUSIKIE KWA KILA TUNACHOFANYA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…