Wikileaks wadai Afrika inachunguzwa na CIA kwa kutumia vifaa kama simu za mkononi na runinga

Ndo mana simu zinaisha chaji fasta mana kutwa ziko zinafanya kazi bila wenyewe kujua
Watu wanalalamika kwamba smartphones hazikai na change chaji kumbe muda mwingi zina syncronize na server CIA MOSSAD KGB etc
 
Watu wanalalamika kwamba smartphones hazikai na change chaji kumbe muda mwingi zina syncronize na server CIA MOSSAD KGB etc
Me nilishtuka zaid mwaka jana kuna habari iliLeak kwamba CIA wanaweza had kutumia battery za simu kujua mtu alipo so lzm aiwashe.
 
KEKO UNAPAFAHAMU LAKINI HAYA EM LOG OFF UNA TUHUMA WEWE USIJE UKAIJIWA
 
HII THREAD ITA
HII THREAD LAZIMA IKUCOST NIMEDHAMIRIA LAZIMA ULALE NDANI LEO UTATOKA MWEZI UJAO
 
Mbona kuna software nyingi tu commercial za kudukua simu zinapatikana hata kwenye internet. Na pia zipo websites zinazotoa free services Za ku track simu unayohitaji kuitrack. Sasa Kama Kwa Wateja binafisi zinapatika sembuse CIA!
 
Africa hawana haja yakuhangika kuhack,,,yaani tecnolojia ni yao wenywe SISI hata kutengeneza pini hatuwezi,,,,waje tu tuwambie uwazi AU tuwape makabrasha. ...
Aibu kwel
 
hiyo ni kweli. Kama mtakunbuka USA waliingia kwenye mgogoro na China kuhusiana na window 8 kwamba imetengenezwa ili iwe inachukua taarifa na kuwapelekea.
 
Wala msijidanganyee kabisa yani wazungu hawana stress na Africa madiplomats tu wanatoa data zote bila kwere
 

Ha ha haa, mkuu umenichekesha sana eti abadili kwenye kilugha chake!
 
Acha uongo, huko Lumumba ndo elimu mnayofundishwa hii.?
Data hata ukiweka kwenye komputa zinasafiri juu kwa juu utake usitake taarifa nyeti za Siri hutakiwi kuziweka kwenye komputa wala kumtumia mtu kwa simu. Una uhuru wa kukubali au kukataa. Mimi sina tatizo la simu au email kudukukuliwa sioni tatizo Kama si mhalifu ruksa hakuna cha kuhofu napinga matumizi ya komputa na simu kwenye maswala nyeti Kama ya kijeshi na kiusalama kwenye maswala nyeti kuna taarifa zinatakiwa kufichwa
 
Aisee we jamaa umenichekesha sana
 

Hakuna kitu kama hicho. Na uache uongo, Kusafiri juu kwa juu ndo kusafiri kivipi..? Ndo elimu mnayoffundishwa hapo lumumba.? My friend unaongea kitu usichokijua. Ngoja nikueleweshe kwa uchache tuu kuwa udukuzi unaozungumziwa hapa ni udukuzi unaokuwa facilitated na chombo cha kielectronic (TV,Radio, PC nk) ambacho kipo connected na internet and not otherwise. TV kama za chogo, LED & LCD TV ambazo si smart, pamoja na computer ambazo hazipo connected na internet haziwezi kudukuliwa kwa njia hiyo iliyoelekezwa hapo juu.
 
tatizo ni Tv za vyumba vya kulala ss!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…