Wikileaks wadai Afrika inachunguzwa na CIA kwa kutumia vifaa kama simu za mkononi na runinga

Wenzetu wapo mbali kisa misingi mizur ya uwekezaji kwenye elimu. Sisi tumelala kwahiyo hata kujua kuna kudukuliwa huo muda hatuna . maana tupo bize na wapinzan unazan waliomba nchi ili kupambana na wapinzan.

Ufumbuz wa hayo wanayofanya hao CIA ni kuwa na elimu bora ili tutoe wataalamu wengi na tuwatumie na kufuata ushaur wako ili tufike mbali
 
Mkuu wengi hatuya amini lakini yana ATHIRI NA ATHARI KWA JAMII INAYO KUZUNGUKA
 

Nani amesema WIFI imewekwa kwenye jokofu?

Wakati mwingine kama hufahamu jambo linaloongelewa ni bora usichangie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…