Wilaya Kaliua na sakata la Mwalimu Johari kupigwa ofisini

Wilaya Kaliua na sakata la Mwalimu Johari kupigwa ofisini

Chato tena

Member
Joined
Jan 17, 2021
Posts
24
Reaction score
50
Wilaya ya Kaliua inakumbwa na majanga mengi kwa watumishi wake changamoto inayoikabili wilaya ni Rushwa ya ngono kwa watendaji wake hasa wakuu wa vitengo kuwakata watumishi wa kada za chini.

Tukianzia sakata la mwalimu johari kupigwa na mkuu wake wa shule. Ni kweli mkuu wa shule alimpiga mwalimu na kumdhalilisha vibaya Haswa.Unajua waalimu wengi huwa ni waoga sana wakiambiwa waseme watoe ushahidi wengi wao huishia kukimbia. Uzuri mwalimu Johari namfahamu na nimefanya naye kazi ni mchapa kazi kweli sio madam wa kulia lia. Aliipaisha shule ya msingi Ufukutwa na ikawa inafanya vizuri. Alikuwa promoted to Halmashauri.

Changamoto alialiyoipata mwalimu Johari kutakwa kimapenzi na mkuu wake wakitengo Kwani mwalimu mkuu anatumika na afisa elimu kumbana mwalimu johari. Yaani huyo afisa elimu naona karibia waalimu wa kike wote ni mademu zake. mfano kuna mwalimu mmoja anaitwa madam Siwa wa mwangaza primary kila ikotokea kazi maalum lazima apate na mara nyingi huwa madam anapewa special duty mfano kuwa reseved party. Kufanya kazi wilaya ya Kaliua kwa wanawake ni shida bora hata kipindi cha pima.

Ukija sekondari ndio balaa kuna mkuu mmoja Kaliua high school bado ni kijana sana na dhani wangesubiri kidogo nafasi aliopewa nadhani anakula sana wanafunzi ni ushari tu, alikuwepo mkuu mmoja anaitwa Beni physics yeye ilikuwa kazi yake ni kuuza vyakula vya wanafunzi, sasa huyu wa sasa kazi yake ni kula wanafunzi sasa hofu yangu nikale ka ugonjwa ketu pia headmaster wa Kaliua ni rafiki yake na afisa elimu sekondari. Kazi ni kupasiana watoto zetu.

Mkurugenzi wa Kaliua (mandevu) yeye yuko busy na simu muda wote. Yeye mwenyewe ndio anaongoza kula wafanyakazi, kiufupi Kaliua hatuna mkurugenzi yule anafaaa kuwa kiongozi katika magroup ya watsap, insta, facebook, telegram na n.k. Maana yake kila ukiongea nae yuko busy kuna malalalamiko mengi sana katika waliya hii lakini yeye yuko,

Mfano kuna kijana mmoja anaitwa mpaji ni kiongozi wa uvccmm kazi yake ni kuwaibia vijana pesa kwa kuwaambia vijana kuna ajira mwisho wa siku mtu anaambukia vumbi kali. Kesi zimepelekwa viongizi wa chama chake lakini wameishia kulindana, mfano kuna jammaa kapigwa 1.5m kesi iko kwa mkurugenzi mpaka sasa. Mkurugenzi mpaka sasa anazungusha na kijana yuko mtaani anadunda.

Ukiaangalia kwaundani Kaliua mpaka sasa haina viongozi wala nini, hasa huyu DED na DAS (man from UDOM) wake ndio hovyo kabisa, mkuu wa wilaya anapiga kazi vizuri

Pia soma;


 
Japo hujapangilia vizuri uzi wako ila goja nichangie.

Inasikitisha Sana kuona udhalilishaji wa namna hii, nashangaa kuona dunia hii bado kuna watumishi "wapumbavu" watu hawana ajira wao wanafanya mambo ya hovyo wakati kuna vijana mtaani wanatamani wapate hata hizo nafasi, badala ya kuchapa kazi wao wanaharibu jamii.

Ushauri, silaumu ujumbe huu lakini naona umetaja Sana majina ya watu Sina hakika kama hizi habati ni proved!! Pia ningeshauri upeleke ngazi husika za uongozi, mtandaoni inaweza isilete mantiki !!
 
Japo hujapangilia vizuri uzi wako ila goja nichangie...
Ukweli madam johari ni kiburi haiwezekani umechelewa kazini halafu unaujasiri wa kujibu hopeless.

Mkuu wa shule kwa heshma yake alishndwa kuvumilia matusi ya Johari aka mzabuwa makofi japo alikosea kumzabula johali makosa lakini Johari ni kiburi kimemjaa.
 
Ukweli madam johari ni kiburi haiwezekani umechelewa kazn halafu unaujasiri wa kujibu hopeless.mkuu wa shule kwa heshma yake alishndwa kuvumilia matusi ya Johari aka mzabuwa makofi, japo alikosea kumzabula Johali makosa.lakini Johari ni kiburi kimemjaa.
Unaona sasa kumbe kuna hidden information ambazo hajasema!!

Haiingii akilini mkuu wa shule aka conduct such action. Hawa wadada tunapamhana nao kwenye mahusiano sembuse kazini!! Kama ni kiburi mkuu aliona hiyo ndio njia pekee ya kum shape! Though alikosea
 
Hujapandishwa daraja na hata nyongeza ya mshahara huna halafu unazinguliwa eti na afisa elimu, eti mkuu wa shule, eti afisa elimu kata. Walimu msikubali kunyanyaswa kiasi hicho.

Ukiona umetoa taarifa hawazifanyii kazi. Kusanya ushahidi halafu muundie kamati ya kumuweka sawa kwa namna yeyote. Matatizo haya ya walimu kunyanyaswa serikali sijui hawaoni.

Chama Cha walimu nacho ni ujinga tu na kwa Nini hakijafutwa mpaka Sasa hivi nashangaa maana hakina msaada wowote kwa walimu. "Mungu wasaidie Hawa walimu" wanafanya kazi kwenye mazingiira magumu Sana.
 
Ukweli madam johari ni kiburi haiwezekani umechelewa kazn halafu unaujasiri wa kujibu hopeless.mkuu wa shule kwa heshma yake alishndwa kuvumilia matusi ya johari aka mzabuwa makofi,japo alikosea kumzabula johali makosa.lakini johari ni kiburi kimemjaa.
For sure mwalimu Johari hana kiburi chochote nimefanya nae kazi kama mkuu wangu namfahamu sana sasa haya ya kiburi labda wamekutuma.

Malalamiko mwngi sana yako halmashauri nitayaweka hapa ili muone watu wanavyojifanya mungu watu katika Halmashauri zetu
 
Unaona sasa kumbe kuna hidden information ambazo hajasema!!

Haiingii akilini mkuu wa shule aka conduct such action. Hawa wadada tunapamhana nao kwenye mahusiano sembuse kazini!! Kama ni kiburi mkuu aliona hiyo ndio njia pekee ya kum shape!! Though alikosea
Hivi unamjua huyo mkuu vizuri ni tabia yake kupiga watu ni mbabe sana.
 
kwa picha ya uandishi wake inaonekana ni mkazi wa kaliua,na ni mwalm.ukweli madam johari ni kiburi haiwezekani umechelewa kazn halafu unaujasiri wa kujibu hopeless.mkuu wa shule kwa heshma yake alishndwa kuvumilia matusi ya johari aka mzabuwa makofi,japo alikosea kumzabula johali makosa.lakini johari ni kiburi kimemjaa.
Hata ww kwa picha ya uandishi wako yawezekana umo kwenye kundi la viongozi wa hovyo waliotajwa kwenye mada hii..vyovyote vile ambavyo johari yupo hakuna kinachoweza kutengeneza VALIDITY ya yeye kupigwa
 
For sure mwalimu johari hana kiburi chochote nimefanya nae kazi kama mkuu wangu namfahamu sana sasa haya ya kiburi labda wamekutuma. Malalamiko mwngi sana yako halmashauri nitayaweka hapa ili muone watu wanavyojifanya mungu watu katika halmashauri zetu
yalete Hapa hayo malalamiko,tuyajadili.hata hivyo nidhamu kazini ni must,sio ombi.kuchelewa kazn ni kosa, lakn huwez kujibu hopeless unapoulizwa!!! Kila Kaz Ina miiko.kwani unataka kuniambia mtoro hapo ni johari tu?? unataka kuniambia mkuu wengine huwa hawaulizi?? kilicholeta shida ni majibu ya shit!!! halafu johari inaonekana ni single mother uongo kweli.nachojua na ndivyo ilivyo wanawake waalimu ni wastaarabu Sana,why johari na matusi.kuna Jambo zaidi Hapa.
 
Hapo kaliua dc pima ndo alikuwa na uwezo kidgo lkn saa hivi sukuma siku ziende tu
 
yalete Hapa hayo malalamiko,tuyajadili.hata hivyo nidhamu kazini ni must,sio ombi.kuchelewa kazn ni kosa, lakn huwez kujibu hopeless unapoulizwa!!! Kila Kaz Ina miiko.kwani unataka kuniambia mtoro hapo ni johari tu?? unataka kuniambia mkuu wengine huwa hawaulizi?? kilicholeta shida ni majibu ya shit!!! halafu johari inaonekana ni single mother uongo kweli.nachojua na ndivyo ilivyo wanawake waalimu ni wastaarabu Sana,why johari na matusi.kuna Jambo zaidi Hapa.
Nitaandaaa thread nzima yenye kuonyesha unyanyasaji wa wakuu wa vitengo.


 
Back
Top Bottom