chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,835
tunasubili.hapo ndo tutapata picha vizuri.sio ku aqueeze bila factNitaandaaa thread nzima yenye kuonyesha unyanyasaji wa wakuu wa vitengo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tunasubili.hapo ndo tutapata picha vizuri.sio ku aqueeze bila factNitaandaaa thread nzima yenye kuonyesha unyanyasaji wa wakuu wa vitengo.
Acha kumtetea mkuu wa wilaya , kifupi mkuu wa wilaya naye hafai kuwepo hapo kwa sababu naye ni sehemu ya tatizoWilaya ya Kaliua inakumbwa na majanga mengi kwa watumishi wake changamoto inayoikabili wilaya ni Rushwa ya ngono kwa watendaji wake hasa wakuu wa vitengo kuwakata watumishi wa kada za chini.
Tukianzia sakata la mwalimu johari kupigwa na mkuu wake wa shule. Ni kweli mkuu wa shule alimpiga mwalimu na kumdhalilisha vibaya. Haswa.Unajua waalimu wengi huwa ni waoga sana wakiambiwa waseme watoe ushahidi wengi wao huishia kukimbia. Uzuri mwalimu Johari namfahamu na nimefanya nae kazi ni mchapa kazi kweli sio madam wa kulia lia. Aliipaisha shule ya msingi Ufukutwa na ikawa inafanya vizuri. Alikuwa promoted to halmashauri.
Changamoto alialiyoipata mwalimu Johari kutakwa kimapenzi na mkuu wake wakitengo Kwani mwalimu mkuu anatumika na afisa elimu kumbana mwalimu johari. Yaani huyo afisa elimu naona karibia waalimu wa kike wote ni mademu zake. mfano kuna mwalimu mmoja anaitwa madam Siwa wa mwangaza primary kila ikotokea kazi maalum lazima apate na mara nyingi huwa madam anapewa special duty mfano kuwa reseved party. Kufanya kazi wilaya ya Kaliua kwa wanawake ni shida bora hata kipindi cha pima.
Ukija sekondari ndio balaa kuna mkuu mmoja Kaliua high school bado ni kijana sana na dhani wangesubiri kidogo nafasi aliopewa nadhani anakula sana wanafunzi ni ushari tu, alikuwepo mkuu mmoja anaitwa Beni physics yeye ilikuwa kazi yake ni kuuza vyakula vya wanafunzi, sasa huyu wa sasa kazi yake ni kula wanafunzi sasa hofu yangu nikale ka ugonjwa ketu pia headmaster wa Kaliua ni rafiki yake na afisa elimu sekondari. Kazi ni kupasiana watoto zetu.
Mkurugenzi wa Kaliua (mandevu) yeye yuko busy na simu muda wote. Yeye mwenyewe ndio anaongoza kula wafanyakazi, kiufupi Kaliua hatuna mkurugenzi yule anafaaa kuwa kiongozi katika magroup ya watsap,insta,facebook, telegram na n.k.Maaanake kila ukiongea nae yuko busy kuna malalalamiko mengi sana katika waliya hii lakini yeye yuko,
Mfano kuna kijana mmoja anaitwa mpaji ni kiongozi wa uvccmm kazi yake ni kuwaibia vijana pesa kwa kuwaambia vijana kuna ajira mwisho wa siku mtu anaambukia vumbi kali. Kesi zimepelekwa viongizi wa chama chake lakini wameishia kulindana, mfano kuna jammaa kapigwa 1.5m kesi iko kwa mkurugenzi mpaka sasa. Mkurugenzi mpaka sasa anazungusha na kijana yuko mtaani anadunda.
Ukiaangalia kwaundani Kaliua mpaka sasa haina viongozi wala nini, hasa huyu DED na DAS (man from UDOM) wake ndio hovyo kabisa, mkuu wa wilaya anapiga kazi vizuri
Na tukofia twao tumeandikwa CWT, tubayaaa.CWT ni hivyo sana tatizo hakina mshindani kiko chenyewe kama chenyewe.Cwt ni kikundi cha wahuni tuuu
Unaonaje mwenzangu kada ya ualim ife?Na tukofia twao tumeandikwa CWT, tubayaaa.
Yani ualimu jau sana
Iboreshwe nduguUnaonaje mwenzangu kada ya ualim ife?
Wewe siyo moyo wake, unakomaa na hoja eti Johari hana kiburi. Alichokifanya kwako sicho atakachokifanya kwangu.For sure mwalimu johari hana kiburi chochote nimefanya nae kazi kama mkuu wangu namfahamu sana sasa haya ya kiburi labda wamekutuma. Malalamiko mwngi sana yako halmashauri nitayaweka hapa ili muone watu wanavyojifanya mungu watu katika halmashauri zetu
Nakuheshimu bure kakaWewe siyo moyo wake, unakomaa na hoja eti Johari hana kiburi. Alichokifanya kwako sicho atakachokifanya kwangu.
Una uhakika na ushahidi Headmaster Kaliua High school na DEO Secondary wanashirikiana kuwala wanafunzi? Unajua umechoma Moto kichaka? Unaweza kutoa ushirikiano kwa tuhuma hizi za hovyo za watumishi wetu? Unafahamu majina na vidato vya wanafunzi? Mazingira ya kuvuana chupi je? Umeripoti Polisi, PCCB, Usalama wa Taifa, kwa Afisa utumishi au kwa DC nk?Amenikela sana we acha tuu
Niko on field na niko kazini kama ukitaka maushahid kama yote yapo hakuna shida halafu siandikagi vitu vya kubumba kaka.Una uhakika na ushahidi Headmaster Kaliua High school na DEO Secondary wanashirikiana kuwala wanafunzi? Unajua umechoma Moto kichaka? Unaweza kutoa ushirikiano kwa tuhuma hizi za hovyo za watumishi wetu? Unafahamu majina na vidato vya wanafunzi? Mazingira ya kuvuana chupi je? Umeripoti Polisi, PCCB, Usalama wa Taifa, kwa Afisa utumishi au kwa DC nk?