Wilaya Kaliua na sakata la Mwalimu Johari kupigwa ofisini

Wilaya Kaliua na sakata la Mwalimu Johari kupigwa ofisini

Haya ni majungu halafu unawadharirisha walimu hao kwani wao wameshindwa kujieleza
 
Kwa namna ulivyopangilia mada nyingi katika moja, na kutaja taja majina ya watu na vyeo vyao inaonekana mtoa post unajaribu kuwachafua watu ili waharibikiwe na nafasi zao!

Piga kazi hakuna mshahara ktk kufanya majungu sana sana utaumia roho na kupata vidonda vya tumbo hasa pale unapowaona uliowachafua wanadunda na kufanya kazi zao.
Nikweli majungu yapo sana makazini
 
Serikali imalize hili sakata haraka,Walimu wanateseka na kunyanyaswa sana.
 
Chama Cha walimu nacho ni ujinga tu na kwa Nini hakijafutwa mpaka Sasa hivi nashangaa maana hakina msaada wowote kwa walimu. "Mungu wasaidie Hawa walimu" wanafanya kazi kwenye mazingiira magumu Sana.
CWT ni hovyo kuliko chama chochote kilichopata kuwepo duniani hapa.

Hakiwezi kufutwa kwa sababu za kisiasa, si unajua ukikaribia uchaguzi Chama twawala hujichotea mpunga wa kampeni ..sa tutakifutaje hapo?

Kiufupi walimu hawana mtetezi na walimu wenyewe wengi wao hawajitambui
 
Ukweli madam johari ni kiburi haiwezekani umechelewa kazini halafu unaujasiri wa kujibu hopeless.

Mkuu wa shule kwa heshma yake alishndwa kuvumilia matusi ya Johari aka mzabuwa makofi japo alikosea kumzabula johali makosa lakini Johari ni kiburi kimemjaa.
Aisee,mwambie johari aache kiburi ajira ni ngumu,kama ticha big anamtaka waelewane tu maana atateseka sana.

Nimependa walimu wakike wanavyoitwa kwa heshima lazima neno Madam litangulie ndo utaje jina lake

Madam ticha Johari punguza kiburi.
 
CWT ni hovyo kuliko chama chochote kilichopata kuwepo duniani hapa ..

Hakiwezi kufutwa kwa sababu za kisiasa, si unajua ukikaribia uchaguzi Chama twawala hujichotea mpunga wa kampeni ..sa tutakifutaje hapo?

Kiufupi walimu hawana mtetezi na walimu wenyewe wengi wao hawajitambui
Ni kama BAKWATA vile.
 
Tatizo vijana wa JF ujuaji mwingi sheria za kazi hamjui ? Kazi kutetea ujinga tu ndio wahusika wenyewe kwa mujibu wa kanuni za utumishi "standing Order " hakuna mahari mkuu wa shule au kiongozi yeyote yule anaruhusiwa kupiga mtumishi kwa kosa lolote lile , kanuni zinasema mtumishi akichelewa kazini kuna onyo , akirudia karipio akirudia , karipio Kali , haya mambo ya kupiga watu mnayatoa wapi ? Na baadhi ya illiterate mnashangilia .
IMG_20210215_152839_6.jpg
IMG_20210215_152413_4.jpg
 
Wilaya ya Kaliua inakumbwa na majanga mengi kwa watumishi wake changamoto inayoikabili wilaya ni Rushwa ya ngono kwa watendaji wake hasa wakuu wa vitengo kuwakata watumishi wa kada za chini.

Tukianzia sakata la mwalimu johari kupigwa na mkuu wake wa shule. Ni kweli mkuu wa shule alimpiga mwalimu na kumdhalilisha vibaya Haswa.Unajua waalimu wengi huwa ni waoga sana wakiambiwa waseme watoe ushahidi wengi wao huishia kukimbia. Uzuri mwalimu Johari namfahamu na nimefanya naye kazi ni mchapa kazi kweli sio madam wa kulia lia. Aliipaisha shule ya msingi Ufukutwa na ikawa inafanya vizuri. Alikuwa promoted to Halmashauri.

Changamoto alialiyoipata mwalimu Johari kutakwa kimapenzi na mkuu wake wakitengo Kwani mwalimu mkuu anatumika na afisa elimu kumbana mwalimu johari. Yaani huyo afisa elimu naona karibia waalimu wa kike wote ni mademu zake. mfano kuna mwalimu mmoja anaitwa madam Siwa wa mwangaza primary kila ikotokea kazi maalum lazima apate na mara nyingi huwa madam anapewa special duty mfano kuwa reseved party. Kufanya kazi wilaya ya Kaliua kwa wanawake ni shida bora hata kipindi cha pima.

Ukija sekondari ndio balaa kuna mkuu mmoja Kaliua high school bado ni kijana sana na dhani wangesubiri kidogo nafasi aliopewa nadhani anakula sana wanafunzi ni ushari tu, alikuwepo mkuu mmoja anaitwa Beni physics yeye ilikuwa kazi yake ni kuuza vyakula vya wanafunzi, sasa huyu wa sasa kazi yake ni kula wanafunzi sasa hofu yangu nikale ka ugonjwa ketu pia headmaster wa Kaliua ni rafiki yake na afisa elimu sekondari. Kazi ni kupasiana watoto zetu.

Mkurugenzi wa Kaliua (mandevu) yeye yuko busy na simu muda wote. Yeye mwenyewe ndio anaongoza kula wafanyakazi, kiufupi Kaliua hatuna mkurugenzi yule anafaaa kuwa kiongozi katika magroup ya watsap, insta, facebook, telegram na n.k. Maana yake kila ukiongea nae yuko busy kuna malalalamiko mengi sana katika waliya hii lakini yeye yuko,

Mfano kuna kijana mmoja anaitwa mpaji ni kiongozi wa uvccmm kazi yake ni kuwaibia vijana pesa kwa kuwaambia vijana kuna ajira mwisho wa siku mtu anaambukia vumbi kali. Kesi zimepelekwa viongizi wa chama chake lakini wameishia kulindana, mfano kuna jammaa kapigwa 1.5m kesi iko kwa mkurugenzi mpaka sasa. Mkurugenzi mpaka sasa anazungusha na kijana yuko mtaani anadunda.

Ukiaangalia kwaundani Kaliua mpaka sasa haina viongozi wala nini, hasa huyu DED na DAS (man from UDOM) wake ndio hovyo kabisa, mkuu wa wilaya anapiga kazi vizuri
Pambane na hali zenu maana huko ni CCM tupu
 
Hiyo kazi ya ualimu ingenishinda ningewapasua sana bora huku najiamulia lakufanya
 
Hivi unamjua huyo mkuu vizuri ni tabia yake kupiga watu ni mbabe sana.
mkuu hakuna mkuu wa kitengo chochote kumpiga mtumishi kwa ajili ya mambo ya kiofisi kwanza ni udhalikishaji kama n kwa kina mama sio kuwa na watetea hapana .zipo sheria na kanuni za kumuwakibisha mtupishi pindi anapovuka mipaka ya kazi kuna ngazi tofauti tofati na njia zake .Binafsi watumishi weng wao wanafamilia sasa unaanzia wap kumdhalilisha mama wa watu aise gusa wife wangu na cheo chako cha k*ma nikoneshe standing order inataka nn . mambo ya ovyo ukuu wa idara umeegesha kwa mda unanyanyasa wengine HIYO HAIKUBALIKI WAALIMU N WATU WANAOJITUMA NA WENYE NIDHAM SANA KWA SABABU N WAOGA SANA
NASHAURI WAALIMU SOMENI SHERIA ZA KAZI NA MIPAKA YENU MPATE HAKI ZENU ZAMA ZIMEBADILIKA
 
Ukweli madam johari ni kiburi haiwezekani umechelewa kazini halafu unaujasiri wa kujibu hopeless.

Mkuu wa shule kwa heshma yake alishndwa kuvumilia matusi ya Johari aka mzabuwa makofi japo alikosea kumzabula johali makosa lakini Johari ni kiburi kimemjaa.
Mwalimu mkuu, punguza jazba kwenye kazi za umma, jifunze pia kupima ufanisi wa kazi badala ya kumfanyia timing mwl.johari ili umuoneshe kuwa wewe ni mwalimu mkuu. Ukimtaka ki binafsi, fika bei😂😂😂
 
Aisee wadada shida sana, nina Afisa mmoja kagombana na Secretary wangu nilipomgusa kumuhoji akakimbilia ngazi za juu akadai namshika maziwa aisee, nilibaki nimeduwaa na kumwachia Mungu!
 
Umesahau kapigwa na Mwalimu pia, ambaye ni miongoni mwa unao watetea!
 
Mi nikisoma taarifa za mtumishi kumpiga mwanamke mtumish kwenye mambo ya kiutendaji najiuliza hivi mke wangu apigwe na sijui boss wake iiii! Kwa vile si kitendo cha kisheria hata mimi sita opt hatua za kisheria. Yan umpige mke wangu!!!! Aisee baada ya hapo ukamwelezee Mungu ulichofanya mke wa mtu huko huko. Mabos wa hiv mna bahat sana.
 

Attachments

  • IMG-20210215-WA0011.jpg
    IMG-20210215-WA0011.jpg
    78.9 KB · Views: 2
Back
Top Bottom