Wilaya na mikoa inayoongoza matokeo ya mitihani

Haya matokeo ya mwaka huu naona hajawekwa wazi inavyokuwa hata magazetin
 
Serikali imeamua futa biashara ya mitihani na matokeo.
Kuanzia sasa hapatakuwa na rankings za shule au wanafunzi.
 
Wamefuta rankings Ndo zinasababisha udanganyifu wa mitihani Kwa mashule Ili kuvuta wateja
Nimependa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…