KERO Wilaya ya Nyang'hwale mkoa wa Geita hela za likizo za walimu mbona kimya?

KERO Wilaya ya Nyang'hwale mkoa wa Geita hela za likizo za walimu mbona kimya?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

shuka chini

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2024
Posts
842
Reaction score
1,928
Habarini wadau.

Naongea kwa masikitiko makubwa hela za likizo mpaka sasa wilaya nyang'hwale mkoa wa geita mambo ni kimya .

Hivi nyie maafsa mnaohusika mbona hamna huruma jamani tumefunga tunaingia wiki ya pili lakini mpaka muda huu mmekaa kimya tukifatilia mnadanganya eti mtandao unasumbua.

Ifike hatua muache uongo ridhikeni na mabuu mnayopiga jamani. Wahurumieni walimu wapeni haki zao za msingi.

Mama tunakuomba uingilie kati hawa viongozi wanazingua sana. Afsa milonga tunakutegemea tutetee walimu mtupe haki zetu.

Nawasilisha wadau wilaya hii inaupuuzi mwingi.
 
Dar mbona hata hatuwazi hiyo hela maana mara ya mwisho kupewa hatujui ni lini
Vipi mwamba uko wapi Kharumwa, Nyang'hwale sec,Shabaka,busolwa
Dah Nyang'hwale long time sana hiyo ndichi
 
Dar mbona hata hatuwazi hiyo hela maana mara ya mwisho kupewa hatujui ni lini
Vipi mwamba uko wapi Kharumwa, Nyang'hwale sec,Shabaka,busolwa
Dah Nyang'hwale long time sana hiyo ndichi
Hivi iyo hela ipo?
 
Dar mbona hata hatuwazi hiyo hela maana mara ya mwisho kupewa hatujui ni lini
Vipi mwamba uko wapi Kharumwa, Nyang'hwale sec,Shabaka,busolwa
Dah Nyang'hwale long time sana hiyo ndichi
Nipo mkuu ila hautakiwi kujua nipo wapi au wewe ndio nasoro au makoye unataka unijue hautonijua kamwe
 
Habarini wadau.

Naongea kwa masikitiko makubwa hela za likizo mpaka sasa wilaya nyang'hwale mkoa wa geita mambo ni kimya .

Hivi nyie maafsa mnaohusika mbona hamna huruma jamani tumefunga tunaingia wiki ya pili lakini mpaka muda huu mmekaa kimya tukifatilia mnadanganya eti mtandao unasumbua.

Ifike hatua muache uongo ridhikeni na mabuu mnayopiga jamani. Wahurumieni walimu wapeni haki zao za msingi.

Mama tunakuomba uingilie kati hawa viongozi wanazingua sana. Afsa milonga tunakutegemea tutetee walimu mtupe haki zetu.

Nawasilisha wadau wilaya hii inaupuuzi mwingi.
Ukifanya kazi loko govoo,jua 50% ya haki zako kama mtumishi wa umma umezipoteza.
 
wanalipana wao kwa wao huko maofisini ,.walimu mtasubiri mwezi wa nane ndo watalipa
 
Kwa kiasi kikubwa halmashauri zinachangia saba kiuchonganisha serikali na wananchi? Sijui kwa nini naamini Makonda anaweza kudeal nao.
 
Habarini wadau.

Naongea kwa masikitiko makubwa hela za likizo mpaka sasa wilaya nyang'hwale mkoa wa geita mambo ni kimya .

Hivi nyie maafsa mnaohusika mbona hamna huruma jamani tumefunga tunaingia wiki ya pili lakini mpaka muda huu mmekaa kimya tukifatilia mnadanganya eti mtandao unasumbua.

Ifike hatua muache uongo ridhikeni na mabuu mnayopiga jamani. Wahurumieni walimu wapeni haki zao za msingi.

Mama tunakuomba uingilie kati hawa viongozi wanazingua sana. Afsa milonga tunakutegemea tutetee walimu mtupe haki zetu.

Nawasilisha wadau wilaya hii inaupuuzi mwingi.
shida sana
soon watasema mfumo umefungwa hadi september
 
Hata Halmashauri ya Wilaya ya Magu tunafanyiwa hayohayo; CWT (W) Magu tusaidieni.
Acha utoto.
Kakuambia nani kuwa hao cwt wapo kwa ajili ya walimu?

Hao wapo kwa ajili ya UCHAWA na kujitafutia umaarufu wa kisiasa.
Kwani wameshamaliza kukusanya fedha za kuchukulia fomu?
 
Back
Top Bottom