CCM na ubaguzi wenu....ila kumbuka ukitoka moshi mjini mpaka Tarakea ni lami....shangaeni tu na propoganda zenu kule bahi hata maji ya kunywa hakunaNilikutana na mzungu mmoja kanishangaza kaniambia
Ukisafiri kote duniani Wilaya nyingi huwa na aina mbili au tatu za pombe za kienyeji.Lakini wilaya ya Rombo Mkoa wa Kilimanjaro ina pombe za kienyeji zaidi ya hamsini!!! Hivyo kwa mujibu wake kuwa wilaya inayoongoza duniani kote kuwa wilaya yenye aina nyingi za pombe za kienyeji kuliko wilaya yoyote duniani.
Hivi niwapongeze au niwatukane?
Huyo mama yuko chemistry lab, hiyo ni distillation process,spirit hicho kitu,konyagi cha mtoto. IGP wetu alisomeshwa na mama yake kwa biashara hiyo(rejea historia siku ameteuliwa). Huyo mama naye anatafuta chochote kwa ajili ya familia yake. SHUKRANI kwa MAMA WOTEUnamuona huyo mama kwenye picha anavyo ijua chemistry!! "FILTRATION" ya kufa mtu! hizo pombe sio kweli ni nyingi hivyo.
Nilikutana na mzungu mmoja kanishangaza kaniambia
Ukisafiri kote duniani Wilaya nyingi huwa na aina mbili au tatu za pombe za kienyeji.Lakini wilaya ya Rombo Mkoa wa Kilimanjaro ina pombe za kienyeji zaidi ya hamsini!!! Hivyo kwa mujibu wake kuwa wilaya inayoongoza duniani kote kuwa wilaya yenye aina nyingi za pombe za kienyeji kuliko wilaya yoyote duniani.
Hivi niwapongeze au niwatukane?
Naona bado upo kwenye kampeni ya ant-chagga,Jana ulikuja na siasa zimeirudisha nyuma Kilimanjaro.Nilikutana na mzungu mmoja kanishangaza kaniambia.
Ukisafiri kote duniani Wilaya nyingi huwa na aina mbili au tatu za pombe za kienyeji. Lakini wilaya ya Rombo Mkoa wa Kilimanjaro ina pombe za kienyeji zaidi ya hamsini!
Hivyo kwa mujibu wake kuwa wilaya inayoongoza duniani kote kuwa wilaya yenye aina nyingi za pombe za kienyeji kuliko wilaya yoyote duniani.
Hivi niwapongeze au niwatukane?
mbege + wanzuki+ chibuku + komoni +kangara + gongo + ulanzi + mataputapu + banana........ hahaha rombo bana! ndo maana kuna kipndi wanawake wa huko walikua wanawagombania wanaume wa kenya, inasemekana wanaume wa rombo ni wepesi zaidi ya urojo, by the way acha walewe kwa sababu hao ndo mtaji wa CHADEMA.[/QUOTE
OOOH kumbe lengo lako ni la kisiasa kuwatukana warombo kwa kutumia haki yao ya kidemokrasia.warombo wanajitambua sio misukule ya kisiasa kama ulivyo.ndezi!
na Dodoma wanaongoza kwa kitu gani duniani?Nilikutana na mzungu mmoja kanishangaza kaniambia.
Ukisafiri kote duniani Wilaya nyingi huwa na aina mbili au tatu za pombe za kienyeji. Lakini wilaya ya Rombo Mkoa wa Kilimanjaro ina pombe za kienyeji zaidi ya hamsini!
Hivyo kwa mujibu wake kuwa wilaya inayoongoza duniani kote kuwa wilaya yenye aina nyingi za pombe za kienyeji kuliko wilaya yoyote duniani.
Hivi niwapongeze au niwatukane?