Tetesi: Wilaya ya Rombo ni ya kwanza duniani kwa kuwa na aina nyingi za pombe za kienyeji

Tetesi: Wilaya ya Rombo ni ya kwanza duniani kwa kuwa na aina nyingi za pombe za kienyeji

Hivi huwezi ona kuwa hili ni tatizo? Ona hawa wanaokunywa mbege kwa staili hii.HAPO KUNA VIBABU NA VIBIBI HAVIJAPIGA MSWAKI VINA MIAKA.Vingine waweza kuta vina ugonjwa wa kifua kikuu.Hapo si kuambukizana maradhi kweli?


532512_4358284754521_1925628223_n.jpg
mbege hainywewi hivyo hata kidogo.njoo rombo ujionee tunavyokunywa kistaarabu.ACHA UDANGANYIFU.
 
Ka mangi mdogo kakitandika mbege huyu akikua lazima nguvu za kiume hazitaweza kufanya kazi.

11376450_1463109807332546_90712737_n.jpg
NAKWAMBIA NIKITANDIKA MBEGE YA KICHAGGA MKEO AKIKUTANA NAMI UTAONA ANAFURA TUMBO TUU.NASEMA MBEGE YA KICHAGGA SIO HIZI ZA KICHINA.KARIBU .SISI TUNASEMA RIIAA MBEE !!
 
CCM na ubaguzi wenu....ila kumbuka ukitoka moshi mjini mpaka Tarakea ni lami....shangaeni tu na propoganda zenu kule bahi hata maji ya kunywa hakuna
sasa hapo ccm inaingiaje kwanza hauoni ccm imewapendelea sana nyie hamkupaswa kuitosa ccm hata kidogo
 
Ulikutana,na mzungu,mzungu ndo nani,wa wapi, huo utafutitivaliufanyia wapi, ?
Hawesukwa na ure varimu,
Vaorombo vajerumani kila neno veikya ho herufi "v" volkswagen ,veshtile v.......
 
mbege hainywewi hivyo hata kidogo.njoo rombo ujionee tunavyokunywa kistaarabu.ACHA UDANGANYIFU.

Kuna unywaji wa kawaida na wa special ocassion kwenye kimila.Hiyo ya kunywa watu wengi chombo kimoja ni kwenye special occasion ya kimila.
 
sasa hapo ccm inaingiaje kwanza hauoni ccm imewapendelea sana nyie hamkupaswa kuitosa ccm hata kidogo
CCM simlishasema wachaga ni chadema ,ndo maana kwa maandiko yako mengi humu ni kuwaponda wachafa tu.....sis hatuna shida na ccm hao ni wanyonyaji ,Rombo tunakunywa mbege ila tuna shule kila kijiji za sekondari,wale maskini pale baha wa ccm ,ambao hata maji hawana kawasaidieni kwanza
 
mbege hainywewi hivyo hata kidogo.njoo rombo ujionee tunavyokunywa kistaarabu.ACHA UDANGANYIFU.
huyu jamaa mpuuzi kweli, yaani ameokota sijui picha kutoka wapi anasema eti ni za rombo, rombo ni kijani tupu, hakuna ukame kama wa kwenye hizo picha zake
wala hawapiki mbege kwenye ma tank kama alivoonyesha,

na rombo wapo civilized sana hawanywi mbege kupitia mirija gani sijui hiyo
 
Nakubali kwa asilimia mia,mbege ndio pombe kuu ya kwetu,pombe nyingine zinauzwa kibiashara na hazizalishwi Rombo bali zinapelekwa kuuzwa,hata hivyo nashangaa mleta mada kaitaja Rombo kuongoza kwa uuzwaji wa pombe za kienyeji wakati hapo Dar kuna wilaya inauza pombe zote za kila aina,Rombo ni moja ya wilaya zenye maendeleo makubwa katika nchi hii,umeme,shule,barabara,maji,biashara nk.
 
huyu jamaa mpuuzi kweli, yaani ameokota sijui picha kutoka wapi anasema eti ni za rombo, rombo ni kijani tupu, hakuna ukame kama wa kwenye hizo picha zake
wala hawapiki mbege kwenye ma tank kama alivoonyesha,

na rombo wapo civilized sana hawanywi mbege kupitia mirija gani sijui hiyo[/QUOTE

Ni kweli.
Huyu ni mpuuzi tu.kalishwa maneno ya chuki dhidi ya warombo katafuta aandike nini.mtu kama huyu twamwita "ilema"
 
Dar kuna wilaya inauza pombe zote za kila aina

Unajua wilaya inayoongoza kwa kuwa na bar nyingi Tanzania? Wilaya hiyo ni kinondoni na eneo linaloongoza kwa baa nyingi kwa kinondoni ni Sinza na nyingi ni za warombo
 
Nilikutana na mzungu mmoja kanishangaza kaniambia.

Ukisafiri kote duniani Wilaya nyingi huwa na aina mbili au tatu za pombe za kienyeji. Lakini wilaya ya Rombo Mkoa wa Kilimanjaro ina pombe za kienyeji zaidi ya hamsini!

Hivyo kwa mujibu wake kuwa wilaya inayoongoza duniani kote kuwa wilaya yenye aina nyingi za pombe za kienyeji kuliko wilaya yoyote duniani.

Hivi niwapongeze au niwatukane?

gin4.jpg


images
HATA BAA NYINGI MIJINI ZINA MAJINA YA KULEKULE KM ROMBO,MAWENZI,HAI
 
Hivi huwezi ona kuwa hili ni tatizo? Ona hawa wanaokunywa mbege kwa staili hii.HAPO KUNA VIBABU NA VIBIBI HAVIJAPIGA MSWAKI VINA MIAKA.Vingine waweza kuta vina ugonjwa wa kifua kikuu.Hapo si kuambukizana maradhi kweli?


532512_4358284754521_1925628223_n.jpg
Pia wewe utazeeka nyambafu!!

Ulioona kwamba ni wachafu na wasioweza kupiga mswaki ni hao wazee pekee?!
Kuna vijana kibao wachafu na wasiojithamini wanaonuka midomo utadhani shimo la choo..wewe umeona VIBIBI NA VIBABU tu. Uzee sio uchafu na wala sio laana bali ni baraka Pia uchafu au usafi ni hulka ya mtu haihusiani na umri.
 
Nilikutana na mzungu mmoja kanishangaza kaniambia

Kwa hiyo kwa sababu umeambiwa na huyo f a l a.......ndio umeidhinisha utafiti wako kuwa ni dunia nzima.......?.....ulimpima akili ukahakikisha sio kichaa.......au kalewa.......?.....
 
Rombo kweli ina pombe nyingi sana hasa za kienyeji na wanasafirisha kupeleka Kenya pia.
Me nimesoma huko baba yangu alikuwa afisa tarafa alipa wakati mgumu sana kukabiliana na tatizo la kumaliza pombe haramu hasa gongo.
Kuna kipindi kuna mama alimfata hadi nyumbani akamwambia yy ni mjane watoto wake wote anawasomesha kwa gongo ikiwemo mwalimu wetu wa chemistry ambapo kamsomesha hadi level ya degree kwa ajili ya biashara hiyo.
Darasa nililokuwa nasoma asilimia kubwa walikuwa wanasomeshwa kwa biashara ya gongo.
Pombe nyingi sana lkn mbona umeitaja gongo tu?
BTW naona gongo ni pombe nzuri sana kuliko banana na viroba vilivyohalalishwa na serikali yako SIKIVU ya chama cha MAJIPU.

Since those time watu wamelelewa na wamesomeshwa kwa business ya gongo na waliokuwa wanatumia ni hawa hawa wananchi wa kawaida lkn Leo hii vijana wa viroba na banana wameisha jumla, nguvu kazi imepotea hawana matumaini tena
 
Back
Top Bottom