mzungu mwongo huyo,amesafiri duniani kote kwa kutumia mda gani labda?? kwanza anafanya shughuli gani?Nilikutana na mzungu mmoja kanishangaza kaniambia.
Ukisafiri kote duniani Wilaya nyingi huwa na aina mbili au tatu za pombe za kienyeji. Lakini wilaya ya Rombo Mkoa wa Kilimanjaro ina pombe za kienyeji zaidi ya hamsini!
Hivyo kwa mujibu wake kuwa wilaya inayoongoza duniani kote kuwa wilaya yenye aina nyingi za pombe za kienyeji kuliko wilaya yoyote duniani.
Hivi niwapongeze au niwatukane?
Na hao ndio wanaoongoza kwa kulipa kodi!Unajua wilaya inayoongoza kwa kuwa na bar nyingi Tanzania? Wilaya hiyo ni kinondoni na eneo linaloongoza kwa baa nyingi kwa kinondoni ni Sinza na nyingi ni za warombo
Hivi huwezi ona kuwa hili ni tatizo? Ona hawa wanaokunywa mbege kwa staili hii.HAPO KUNA VIBABU NA VIBIBI HAVIJAPIGA MSWAKI VINA MIAKA.Vingine waweza kuta vina ugonjwa wa kifua kikuu.Hapo si kuambukizana maradhi kweli?