Wilaya ya Songwe kuna shida kubwa sana

Wilaya ya Songwe kuna shida kubwa sana

Songwe Yetu

Member
Joined
Nov 22, 2021
Posts
84
Reaction score
99
Nimeoona bandiko moja la askofu kwamba kuna kijana mmoja fundi bodaboda ametekwa na polisi nikashtuka sana na nikajiuliza maswali mengi sana.

Mkuu wa wilaya Mkurugenzi katibu tawala wilaya wote wapo. wawakilishi wa raisi wapo bado watu wanatekwa? Raisi fukuza mkuuu wa wilaya na mkurugenzi kwa kushinda kusimamia na kuwaongoza wananchi.

Mkurugenzi kuna barua ziko kwake zaidi ya wiki tatu hajazisaini na yuko ofisini kazi yake ni kuingia na kutoka na hajui anachokifanya, Yupo yupo tu, kazi yake ni kupigana kalenda.

Mkuu wa wilaya yeye anadhani bado yupo kaole anaigiza kazi yake ni kuwaibia wasukuma mifugo, Ameannzisha vituo ambavyo wafugaji wote watakusanya mifugo yao kisha kujichukulia anavyotaka hawa watu ni wezi
 
kuna taarifa nimezipata hivi punde kumbe watumishi walioajiriwa wilayani songwe 2020 na 2021 hawajathibishwa kazini mwajiri wao kazi kufanya utaliii wa ndani
 
Huyo DC wa Songwe kila siku ni kushinda clouds tv tu,kujisifia tu,kwakuwa alikuwa mfanya kazi hapo kabla ya uteuzi!!
 
Nimeoona bandiko moja la askofu kwamba kuna kijana mmoja fundi bodaboda ametekwa na polisi nikashtuka sana na nikajiuliza maswali mengi sana.

Mkuu wa wilaya Mkurugenzi katibu tawala wilaya wote wapo. wawakilishi wa raisi wapo bado watu wanatekwa? Raisi fukuza mkuuu wa wilaya na mkurugenzi kwa kushinda kusimamia na kuwaongoza wananchi.

Mkurugenzi kuna barua ziko kwake zaidi ya wiki tatu hajazisaini na yuko ofisini kazi yake ni kuingia na kutoka na hajui anachokifanya, Yupo yupo tu, kazi yake ni kupigana kalenda.

Mkuu wa wilaya yeye anadhani bado yupo kaole anaigiza kazi yake ni kuwaibia wasukuma mifugo, Ameannzisha vituo ambavyo wafugaji wote watakusanya mifugo yao kisha kujichukulia anavyotaka hawa watu ni wezi
Ccm mbere kwa mbere
 
Mkuu wa wilaya Mkurugenzi katibu tawala wilaya wote wapo. wawakilishi wa raisi wapo bado watu wanatekwa? Raisi fukuza mkuuu wa wilaya na mkurugenzi kwa kushinda kusimamia na kuwaongoza wananchi.
Mambo ya kutekana wamerudia tena? Yalaaah!!!
 
Teuzi za viongozi WA nchi hii ni za kuzitilia Sana Shaka imagine mtu anateuliwa Tu kisa maarufu kichwani mweupeeeee unadhani atakwenda kufanya nn?
 
Back
Top Bottom