DOKEZO Wilaya ya Uyui inalazimisha Walimu kuchangia michango ya Mwenge

DOKEZO Wilaya ya Uyui inalazimisha Walimu kuchangia michango ya Mwenge

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Sio walimu tu urambo Tabora wafanyakazi wote wa serikali ni lazima kuchangia plus maduka nayo yana mchango wa mwenge
Wewe umeandika sahihi kabisa.

Michango ya Mwenge wa Uhuru imekuwa ni kwa kila Mfanyakazi wa Halmashauri husika pamoja na Wafanyabiashara sio Walimu peke yao.

Kwahiyo ili kuondoa hiyo kadhia ni kuuweka Mwenge wa Uhuru kule Makumbusho ya Taifa.

Maana madhumuni ya Mwenge wa Uhuru yalishatimizwa mwaka 1961 wakati Marehemu Nyirenda anaupandisha Mlima Kilimanjaro kwa niaba ya Serikali.

Sasa imepita miaka 62 bado Mwenge unakimbizwa.

Hayo ni matumizi mabaya ya Rasilimali fedha na muda
 
Wewe umeandika sahihi kabisa.

Michango ya Mwenge wa Uhuru imekuwa ni kwa kila Mfanyakazi wa Halmashauri husika pamoja na Wafanyabiashara sio Walimu peke yao.

Kwahiyo ili kuondoa hiyo kadhia ni kuuweka Mwenge wa Uhuru kule Makumbusho ya Taifa.

Maana madhumuni ya Mwenge wa Uhuru yalishatimizwa mwaka 1961 wakati Marehemu Nyirenda anaupandisha Mlima Kilimanjaro kwa niaba ya Serikali.

Sasa imepita miaka 62 bado Mwenge unakimbizwa.

Hayo ni matumizi mabaya ya Rasilimali fedha na muda
hawaelewi
 
Arusha hapa shule ya msingi mkombozi mwanafunzi akikosa ela ya mkakati au ela ya chakula anachapwa,sasa sijui wizara ya elimu ili jambo wanalijua au la
 
Wilaya ya Uyui inalazimisha waalimu kuchangia michango ya Mwenge na Mwalimu asiyechangia wanamuwajibisha. Pia, imesisitiza Walimu na Wanafunzi kuwepo shuleni kipindi chote cha mpumziko mafupi kwa ajili ya mapokezi ya Mwenge.

Pia, Mkurugnzi kanunua vitenge vyake na amevisambaza kwa Waratibu elimu Kata. Kila mwalimu anunue na ashone kwa ajili ya kuvaaa sare wakati wa Mwenge na ni lazima Walimu wengi wametishwa na wamenunua.

DED anatumia cheo chake kwa maslahi yake amewatumia waraka WARATIBU, MWALIMU MKUU, NA WAKUU SHULE KUTO VITISHO KWA AJILI YA KUWALAZIMISHA WAALIMU WANAO WAONGOZA.

Serikali ingilieni kati kwa DED huyu anaichonganisha serikali na watumishi, pia ameshindwa kuheshimu mihula iliotolewa na tamisemi na wizara ya elimu
vitenge vya mkurugenzi hivyo vinapigiwa promo
Hili Kama ningekuwa mwalimu nisingesubiria serikali iingilie Kati mwenyewe Ningemalizana na hao ded mkurugenzi na uchafu wowote njiani.

Nikiwa advance niligoma kununua tisheti ya alfu nne na materials Ni lowa quality. Nilimjibu Mwalimu kuwa miradi mingine inakuwa Ni Yas shule Ila Sasa inawekewa sheria ya kulazimishana.
Hata hii 2% ya walimu mie ningekataa niambiwe nafadikaje, mfano nssf mbona wabunge hawawekewi ama wao haawatakuja kuwa wazee ,Ni sawa na hizi Bandari kuwa za ZANZIBAR wao hawataki kunufaiika na dipii wedi kweli ama siee ndio tumependelewa
 
Back
Top Bottom