Slaa sio mwana CDM.Wakuu,
Wilbroad Slaa amuunga mkono Lissu kugombea nafasi ya Uenyekiti CHADEMA.
Asema CHADEMA na Watanzania wanamhitaji Lissu katika kipindi hiki, akiwa ni kiongozi bora na mwenye msimamo.
Mambo yanazidi kuwa moto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Slaa sio mwana CDM.Wakuu,
Wilbroad Slaa amuunga mkono Lissu kugombea nafasi ya Uenyekiti CHADEMA.
Asema CHADEMA na Watanzania wanamhitaji Lissu katika kipindi hiki, akiwa ni kiongozi bora na mwenye msimamo.
Mambo yanazidi kuwa moto.
Mbowe hajawahi kugombea urais?Maigizo bado yanaendelea
dr slaa akae alee wajukuu zake, kama ktk siasa hana jipya, alishawahi kugombea hadi urais
TL naye hana jipya.
Na Tapeli mkuu Freeman amegombea Urais Mara ngapi?Maigizo bado yanaendelea
dr slaa akae alee wajukuu zake, kama ktk siasa hana jipya, alishawahi kugombea hadi urais
TL naye hana jipya.
Kama Mbowe alivyowekwa mfukoni na sa100?Yeye Slaa mbona hana msimamo? Au anafikiri ya Sheraton alvyowekwa mfukoni na Mwakyembe watu wamesahau?
Lissu kufungwa mkono na watu wanaochukuliwa kama 'waasi' wa Chadema imekaaje ? Au ni sawa tu maadamu Mbowe anaungwa mkono na Pro- Ccm ?..Dr.Slaa anawajua vizuri sana Mbowe na Lissu.
..chochote atakachosema kuhusu hao wawili tukisikilize kwa umakini.