Kumbe kuna watu uko CCM na wenyewe wanapendezwa na hii agenda ya CHADEMA ya No Reforms No Elections?
Akiwa anazungumza leo kwenye ukumbi wa Mlimani City wakati yuko kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake Dkt Slaa amesema kuwa kuna baadhi ya watu CCM wanaunga agenda ya CHADEMA ya No Reforms No Elections akidokeza kuwa hata namna CCM walivyopitisha mgombea wao kwenye Uchaguzi hii haijakaa sawa kisheria
"Hata CCM wanasema No Reforms No Election kazaneni hapo hapo. Mliona ngoma iliyofanyika Dodoma, waliofanya wakati wanatetea wanaogombea. Kwanza wamevunja sheria. Wameanza Uchaguzi wa mapema kinyume na sheria alafu sisi wanatuambia tuko nje ya sheria"
"No Reform, No Election" ilipaswa kuwa ajenda ya kitaifa; na kiukweli ina manufaa zaidi kwa CCM kuliko hata CHADEMA. Ni vile tu hawataki kufungua jicho la tatu..!
Huyu mzee anaendeshwa zaidi na hisia,aidha ni mwota njozi, ccm haikuvunja sheria kwa sababu, halmashauri kuu ilikuwa pale na kamati kuu,ingelikuwa mh. Samia angejifanyia yeye binafsi bila ya uwepo wa muhimili hiyo ingelalamikiwa!
Huyu mzee anaendeshwa zaidi na hisia,aidha ni mwota njozi, ccm haikuvunja sheria kwa sababu, halmashauri kuu ilikuwa pale na kamati kuu,ingelikuwa mh. Samia angejifanyia yeye binafsi bila ya uwepo wa muhimili hiyo ingelalamikiwa!
Kumbe kuna watu uko CCM na wenyewe wanapendezwa na hii agenda ya CHADEMA ya No Reforms No Elections?
Akiwa anazungumza leo kwenye ukumbi wa Mlimani City wakati yuko kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake Dkt Slaa amesema kuwa kuna baadhi ya watu CCM wanaunga agenda ya CHADEMA ya No Reforms No Elections akidokeza kuwa hata namna CCM walivyopitisha mgombea wao kwenye Uchaguzi hii haijakaa sawa kisheria
"Hata CCM wanasema No Reforms No Election kazaneni hapo hapo. Mliona ngoma iliyofanyika Dodoma, waliofanya wakati wanatetea wanaogombea. Kwanza wamevunja sheria. Wameanza Uchaguzi wa mapema kinyume na sheria alafu sisi wanatuambia tuko nje ya sheria"
Huyu mzee anaendeshwa zaidi na hisia,aidha ni mwota njozi, ccm haikuvunja sheria kwa sababu, halmashauri kuu ilikuwa pale na kamati kuu,ingelikuwa mh. Samia angejifanyia yeye binafsi bila ya uwepo wa muhimili hiyo ingelalamikiwa!
"No Reform, No Election" ilipaswa kuwa ajenda ya kitaifa; na kiukweli ina manufaa zaidi kwa CCM kuliko hata CHADEMA. Ni vile tu hawataki kufungua jicho la tatu..!
Kumbe kuna watu uko CCM na wenyewe wanapendezwa na hii agenda ya CHADEMA ya No Reforms No Elections?
Akiwa anazungumza leo kwenye ukumbi wa Mlimani City wakati yuko kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake Dkt Slaa amesema kuwa kuna baadhi ya watu CCM wanaunga agenda ya CHADEMA ya No Reforms No Elections akidokeza kuwa hata namna CCM walivyopitisha mgombea wao kwenye Uchaguzi hii haijakaa sawa kisheria
"Hata CCM wanasema No Reforms No Election kazaneni hapo hapo. Mliona ngoma iliyofanyika Dodoma, waliofanya wakati wanatetea wanaogombea. Kwanza wamevunja sheria. Wameanza Uchaguzi wa mapema kinyume na sheria alafu sisi wanatuambia tuko nje ya sheria"
Huyu mzee anaendeshwa zaidi na hisia,aidha ni mwota njozi, ccm haikuvunja sheria kwa sababu, halmashauri kuu ilikuwa pale na kamati kuu,ingelikuwa mh. Samia angejifanyia yeye binafsi bila ya uwepo wa muhimili hiyo ingelalamikiwa!