Pre GE2025 Wilbroad Slaa: Hata CCM wanasema kuhusu No Reforms No Election kazaneni hapo hapo. Mliona kilichofanyika Dodoma, wamevunja sheria!

Pre GE2025 Wilbroad Slaa: Hata CCM wanasema kuhusu No Reforms No Election kazaneni hapo hapo. Mliona kilichofanyika Dodoma, wamevunja sheria!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu,

Kumbe kuna watu uko CCM na wenyewe wanapendezwa na hii agenda ya CHADEMA ya No Reforms No Elections?

Akiwa anazungumza leo kwenye ukumbi wa Mlimani City wakati yuko kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake Dkt Slaa amesema kuwa kuna baadhi ya watu CCM wanaunga agenda ya CHADEMA ya No Reforms No Elections akidokeza kuwa hata namna CCM walivyopitisha mgombea wao kwenye Uchaguzi hii haijakaa sawa kisheria

"Hata CCM wanasema No Reforms No Election kazaneni hapo hapo. Mliona ngoma iliyofanyika Dodoma, waliofanya wakati wanatetea wanaogombea. Kwanza wamevunja sheria. Wameanza Uchaguzi wa mapema kinyume na sheria alafu sisi wanatuambia tuko nje ya sheria"

Slaa hana jipya .CHADEMA Haina mvuto
 
Dingi anapuuzwa sijaona akipewa attention kubwa licha ya kuwekwa sero n.k.
He is trying to be relevance but mhh. Haaminiki.
 
Huyu mzee anaendeshwa zaidi na hisia,aidha ni mwota njozi, ccm haikuvunja sheria kwa sababu, halmashauri kuu ilikuwa pale na kamati kuu,ingelikuwa mh. Samia angejifanyia yeye binafsi bila ya uwepo wa muhimili hiyo ingelalamikiwa!
Halmashauri kuu ndio nn ww popoma chama kilivunja kanuni full stop
 
Wakuu,

Kumbe kuna watu uko CCM na wenyewe wanapendezwa na hii agenda ya CHADEMA ya No Reforms No Elections?

Akiwa anazungumza leo kwenye ukumbi wa Mlimani City wakati yuko kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake Dkt Slaa amesema kuwa kuna baadhi ya watu CCM wanaunga agenda ya CHADEMA ya No Reforms No Elections akidokeza kuwa hata namna CCM walivyopitisha mgombea wao kwenye Uchaguzi hii haijakaa sawa kisheria

"Hata CCM wanasema No Reforms No Election kazaneni hapo hapo. Mliona ngoma iliyofanyika Dodoma, waliofanya wakati wanatetea wanaogombea. Kwanza wamevunja sheria. Wameanza Uchaguzi wa mapema kinyume na sheria alafu sisi wanatuambia tuko nje ya sheria"

Tindo
Mambo ndo kama hayo .....watajitokeza wengi tu acha watu wachekeche
 
Samia anazidi kulipigilia misumari jeneza la CCM mazishi yanakuja.
 
"No Reform, No Election" ilipaswa kuwa ajenda ya kitaifa; na kiukweli ina manufaa zaidi kwa CCM kuliko hata CHADEMA. Ni vile tu hawataki kufungua jicho la tatu..!
Mkuu, nadhani wanawake wange ipigia sana hii NO R, NO E, ukizingatia kwamba kwenye Rasimu ya Mapendekezo ya Katiba ya Mzee Warioba, ilipendekeza kwamba katika kila jimbo kuwe na wabunge 2, kwa maana ya KE na ME. KE washindane kivyao na ME nao kivyao na hatimaye kupata hao Wabunge 2 ndani ya Jimbo na hatimaye Bunge kuwa na uwiano wa kijinsia
 
Rasimu ya Mapendekezo ya Katiba ya Mzee Warioba, ilipendekeza kwamba katika kila jimbo kuwe na wabunge 2, kwa maana ya KE na ME.
Kifungu cha ovyo sana kwenye ile rasimu.
 
Je Ndio mkakati wa Chadema kuhakikisha CCM inabaki madalakani!?

Nchi itahitaji Rais atapigwa miaka 5 mingine bila uchaguzii🐔🐔🐔
 
Ndugu najua umeandika kwa kuchanganyikiwa iko hivi.
Ccm inamsimamisha uraisi bara dr. samia suluhu hassan.
Na kule zanzibar ni mh. Mwinyi.

Na si hivyo tu. Uchaguzi upo, ni haki ya kikatiba ya kila mwananchi aliye juu ya miaka kumi na nane.
Na atayeshinda ni CCM chini ya samia na mwinyi ,bara na zanzibar respectively, Washiriki uchaguzi, na hata wasiposhirika hao wapinzani. Ccm itashinda tu. Tena mapema.
 
Ndugu najua umeandika kwa kuchanganyikiwa iko hivi.
Ccm inamsimamisha uraisi bara dr. samia suluhu hassan.
Na kule zanzibar ni mh. Mwinyi.

Na si hivyo tu. Uchaguzi upo, ni haki ya kikatiba ya kila mwananchi aliye juu ya miaka kumi na nane.
Na atayeshinda ni CCM chini ya samia na mwinyi ,bara na zanzibar respectively, Washiriki uchaguzi, na hata wasiposhirika hao wapinzani. Ccm itashinda tu. Tena mapema.
Hatukatai CCM kushinda

Hata akichukua urais na majimbo yote ya ubunge ni sawa ila tunachohitaji nikuwepo kwa uchaguzi wa haki na uhuru unaosimamiwa na tume huru na sio bao la mkono
 
Back
Top Bottom