Go Bus
Member
- Mar 10, 2025
- 51
- 47
Mtekaji👀Lala mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtekaji👀Lala mkuu
Wanasema NO election au tayari yamekuwa maneno yangu!Ndugu najua umeandika kwa kuchanganyikiwa iko hivi.
Ccm inamsimamisha uraisi bara dr. samia suluhu hassan.
Na kule zanzibar ni mh. Mwinyi.
Na si hivyo tu. Uchaguzi upo, ni haki ya kikatiba ya kila mwananchi aliye juu ya miaka kumi na nane.
Na atayeshinda ni CCM chini ya samia na mwinyi ,bara na zanzibar respectively, Washiriki uchaguzi, na hata wasiposhirika hao wapinzani. Ccm itashinda tu. Tena mapema.
Kwa amanihuelew ulichoandika. Pumzika.
Tunajaribu kutikisa mbuyu😂😂Vijana wa CCM, mna sikitisha sana.
Ili mradi chambi chambi,
Mnasubirii Teuzi, huku vichwani ni makopo TU.
Kisia nani ataongoza Nchi uchaguzi ukizuiliwa... Ila inauma Jitu Zima kujifunza siasa kwakoMwenye maamuzi ya Nani atakua Raisi ni wananchi.
Mpaka tulipo fikia lolote linawezekana, wananchi wakiamua ccm itoke madarakani ni simple Tu.
Usijichoshe...Wanasema NO election au tayari yamekuwa maneno yangu!
Lile huwa ni kusanyiko la majangili tupuJe wajumbe waliambiwa kuwa tunaenda kufanya uchaguzi wa mgombea wa Urais?
Anajua uozo wa CCMBalozi Slaa kashindikana,walidhani watamnyamazisha