Wilder hakutaka hela nyingi kuliko AJ.Alikuwa anataka 50:50 split lakini ametangaza kwamba yupo tayari kwa 60:40 hakuna sababu sasa.Amalizane na Parker March 31 then Blonze Bomber atakuwa anasubiriAj hajamkwepa wilder, last time eddie hearn wameshindwana sabb ya maslahi wilder anataka pesa nyingi kumliko joshua na kitu ambayo haipo broze hana thamani hyo,,,,, then pambano la wilder na ortiz limekuja kabla ya pambano la joshua na parker
Hakuna alomkimbia mwenzake.Floyd alikuwa anataka blood testing iwe ya kiwango cha juu sababu nyuma ya pazia Pac Man alikuwa anatuhumiwa kutumia Performance Enhancing DrugsJibu swali boss.. Nani alikuwa anamkimbia mwenzake..
Hayo mengine ya umri sijui pretty boy ni blah blah tu
Ashakutana na watu 39. wote 39 walikula KO.Mmoja mara ya kwanza alimaliza round zote 12 lakini naye akaoshia kula first round KO kabla ya kuzipiga na Ortiz. Wilder is 40-0Ortiz mwenyewe alikuwa mzembe round ya 7 alitakiwa amkalishe wilder na pambano liishie hapo
Ila wilder ni sugu nae, japo itamkost akikutana na watu wenye mikono mizito, defence technique zake ni hovyo kabisa..
Hata mimi naweza nikaingiza ngumi kadhaa kama nakutana nae.
Ali mwenyewe ashakula vitasa mara kadhaa.Kapigana mara 61. Kashinda mara 56. Kadundwa mara 5. KO 37 tuWatu wa hivi ndo waajabu zamani inahusika nn asa
Kama ni ya Kike,vp mwanaume anakubali kupigwa na style ya kike? Ina maana hata mwanamke atampiga kama yule mwenye kutumia style ya kike alimkalisha chiniNo sijasema alikuwa anamkwepa kupigana nae ...namaanisha style ya kupigana ya Wilder ni ya kike ....alikuwa anamkimbia Ortiz ulingoni .....anapigana kwa kuvizia sana ...ndio maana alipojichanganya uso kwa uso round ya 7 akatandikwa kama mtoto ....anyway Wilder anaweza kumsumbua AJ round nyingi sababu ya kukimbiakimbia lakini udhaifu wake kwenye defence atapigwa vibaya .....Wilder pia ana mikono mirefu na mabondia wengi aliopigana nao akiwemo Ortiz ngumi zao zinashindwa kumfikia vizuri sababu ya height pia kitu ambacho ni tofauti kabisa kwa AJ ....AJ ni bondia aliyekamilika tofauti kabisa na Wilder
When was Pac Man prime and when was Floyd prime? Kama unazungumzia kuhusu prime,kwa nini unatalk about PacMan prime and NOT floyd prime? Mbona husemi wangepigana kwenye floyd prime???? Fafanua pleaseNaona umekuja na maneno yako..
Ila pia labda hukuelewa lugha niliyotumia.. "At his prime" hairelate chochote na umri..
Olympic style testing ndo ilikuwa tatizoMkuu kuwa kwenye prime hakudetermine chochote umri wa mtu..
Unaweza ukamantain prime yako kwa miaka hata kumi (consistence) kama unavowaona akina Ronaldo na Messi tangia wakiwa vijana wa miaka 20 mpaka sasa hawana tofauti..
Lakini pia unaweza ukawa kwenye prime yako kwa muda mchache tu, miaka miwili mpaka mitano ukaanza kuteremka.. Kuanzia 2014 Pac Man hakuwa yule wa 2007-12.. Na Floyd ndio kipindi alichokuwa akimkwepa..
Floyd alikuwa anapigana kwa uzito chini ya 70kg na Wilder yupo plus or minus 100kg .siku na Ortiz alikuwa 97kg. Unafikiri bondia wa 70kg anaweza simama na 100Kg???Nani anapigana kitozi Wilder au AJ?
Halafu umetumia kigezo cha urefu ,embu kaangalie Tyson alivyokuwa anapigana na majitu marefu marefu lakini alikuwa anayakalisha . au hata Floyd amepigana na majitu marefu marefu lakini ameyakalisha kama kawa.
Mike Tyson naye ashakula sana vitasa. Kapigana mara 58. kashinda 50.Kapigwa 6. no Contest 2 .44 KOUjamtendea haki Mike Tyson
Lete evidence kwamba floyd alimkimbia Pac Man.Weka hata link tuHivi mkuu unakielewa nilichokwambia na we unachokibishia??
Mbona argument yetu ni jambo dogo sana.. Ubishi sio nani angepigwa.. hizo sasa zinabaki kuwa predictions tu..
Argument ni hii "wewe unasema AJ anamkimbia Wilder ukimaanisha kwamba AJ hamuwezi au anamwogopa Wilder, nami nikakujibu mbona May alikuwa akimkimbia Pacquioa?"
Sasa go figure it..
wewe boya soma kwanza heading kabla hujaanza kupayuka payuka.Wewe ni Pimbi hata hujui ngumi zinaendeshwaje. I guarantee you kwa uzito wa floyd wilder akiconnect moja tu,lazima floyd azimike moja kwa moja au atazindukia mortuary.
Hao wazee kwa kupenda kuonekana wao bora kwa kila kitu hawajambo.Watu wa hivi ndo waajabu zamani inahusika nn asa